Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga nao wanatakiwa kushitakiwa na Feitoto tangazo lao la documentary wametumia wakati ameshatoka. Ana wakili uchwara badala ya kumsaidia kutambua haki zake anampeleka kuhijiMeTL wamekuwa wakitumia picha ya Mkude kibiashara kitambo sasa.
Tena kinyume na taratibu za kikanuni za hadhi ya wachezaj...
Inahitajika elimu khs IRC kwa wachezaji wetu na mawakala /ma menej wao[emoji599] JUST IN: Kiungo wa Yanga, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) fidia ya Sh 1 Bilioni kwa kutumia picha zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Instagram na Twitter bila idhini yake. [[emoji2786] Mwanaspoti]
[emoji15]
View attachment 2793797
IRC lipo ktk mikataba yao? Ila image ya mchezaji huwa ni ya club na inatakiwaa iwe sehemu ya mkataba kuwa ,image ya mchezaji itatumika na mdhamiminiMeTL wamekuwa wakitumia picha ya Mkude kibiashara kitambo sasa.
Tena kinyume na taratibu za kikanuni za hadhi ya wachezaji.
Mwana amekaa na Mwanasheria wake wamegundua kuwa picha zile zimemuingizia Mo kiasi kikubwa sana cha pesa sawa na Bilioni 1 za kitanzania.
Kama vile tulivyo msaidia Feo Toto apate haki yake, ninawaasa wadau tuunge mkono jitihada za Mkude. Tutambue kuwa mpira ndio kazi yao.
IRC ya mchezaji mara nyingi inakua chini ya club ,ambapo mdhamini anatumia fursa hiyoYanga nao wanatakiwa kushitakiwa na Feitoto tangazo lao la documentary wametumia wakati ameshatoka. Ana wakili uchwara badala ya kumsaidia kutambua haki zake anampeleka kuhiji
Swali zuri sana ,na hii inatwa IRC ,Image Rights ContractPicha inaweza kuwa yake..je ana hati miliki nayo?
Sijui labda kwasababu sina utaalamu wa sheria kwamba kwasababu Joti alikuwa tiGO na mkataba na sasa yupo Airtel,wale tiGO wataendelea kutumia image yake forever kwasababu alisaini mkataba? Kuna mkataba usio na kikomo? Ngoja vijana wale wachache wanaofaulu pale mawasiliano wajeHuyu kijana anatumiwa vibaya,,,,
Picha alipiga akiwa na jezi ya Simba as team "Group" na Melt wanamkataba na Simba sc ,,so yeye aende mahakamani akaombe tafsiri ya mkataba wake na Simba but I know that mkataba wa kwanza wa mkude na Simba una mfanya image yake kusalia Mali ya Simba forever.
Mwache ajichanganye si alisain mkataba ilimradii
Upo sahihi sanaMeTL wamekuwa wakitumia picha ya Mkude kibiashara kitambo sasa.
Tena kinyume na taratibu za kikanuni za hadhi ya wachezaji.
Mwana amekaa na Mwanasheria wake wamegundua kuwa picha zile zimemuingizia Mo kiasi kikubwa sana cha pesa sawa na Bilioni 1 za kitanzania.
Kama vile tulivyo msaidia Feo Toto apate haki yake, ninawaasa wadau tuunge mkono jitihada za Mkude. Tutambue kuwa mpira ndio kazi yao.
Manara mzungu pori ndio kamshauri.mpira umemshinda anaanza kutapatapa vijana buaaana sijui nani kamshauri
Ukiona mru anadai kiasi fulani kwa case kama hiyo ya Jonas maana yake hay9 ni makadirio ya kiasi cha pesa kinachoweza kuwa kimepatikana kutokana na picha yake kuwepo mahali pale lakini haina maana muhusika ana thamani hiyo.Kama thamani ya mtu haipimwi kisheria unaweza kuniambia kwanini Mkude anaenda mahakamani?
Kipi kilichomfanya mkude aweke demand ya 1B?
Anaenda mahakamani kudai fidia ya 1B, je alidhulumiwa?
1B anayodai ilitokana na mauziano ya bidhaa gani ?
Nini kilichomfanya afikiri 1B ndio kiwango sahihi anachostahili kulipwa?
Kama sio ishu inayo determine thamani ya mtu unaweza kuniambia kwanini haku demand laki 1 au 50,000?
Ndio, mfano CR 7 ,Christian Ronaldo yeye karibu 80% ya image inamilikiwa na bilionea Peter lim toka singaporePicha inaweza kuwa yake..je ana hati miliki nayo?
Hana akili. Anadhani dewj atamkamata. Wacha ajichanganye afu akishindwa anafunguliwa kesi ya kuichafua kampuni ya metl na fidia ni hiyo hoyo bilion sijui ata lipiwa na naniHuyu kijana anatumiwa vibaya,,,,
Picha alipiga akiwa na jezi ya Simba as team "Group" na Melt wanamkataba na Simba sc ,,so yeye aende mahakamani akaombe tafsiri ya mkataba wake na Simba but I know that mkataba wa kwanza wa mkude na Simba una mfanya image yake kusalia Mali ya Simba forever.
Mwache ajichanganye si alisain mkataba ilimradii
Mawakili kanjanja wamemwingiza ChakaView attachment 2793697
Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) fidia ya Sh 1 bilioni kwa kutumia picha zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Instagram na Twitter (sasa X) bila idhini yake.
Mkude amefungua kesi ya madai 192 ya mwaka 2023 mbele ya Jaji Butamo Philip dhidi ya kampuni hiyo akiidai fidia hiyo Kwa kuvunja haki yake ya msingi.