Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Mkude shikilia hapo hapo na sisi watanzania wote tupo tunakuunga mkono hata ukitaka kuchangisha hela za kuwalipa mawakili sisi watanzania wote tupo tayari kulipa ili kijana wetu upate haki yako