Jonas Mkude aishtaki Mohammed Enterprises kwa kutumia picha yake bila idhini, adai fidia Tsh. Bilioni 1

Amepata mwalimu mzuri sana ila kipindi cha kwenda kupimwa mkojo hakufungua mashitaka
 
Aaaaahaa
 
Kumbe Real Madrid sasa hivi wanaweza mtumia Benzema kwenye matangazo! nlikua sijui
 
Anatafuta za kunywea pombe. Mambo ya hakimiliki unapoteza haki zako kama umejiuza kwa kusaini mkataba. Hata Diamond anaweza akautumia wimbo wa Harmonize aliouimba wakati akiwa chini ya lebo ya Wasafi
 
akiwa katika jezi zao anatumika vizuri kabisa. Ingia kwenye Channel ya MUTD (Man United) utakuta wanafanya biashara na kuingiza hela kwa kuonyesha mechi za enzi za akina Giggs na Porbosky
Mechi sawa nafahamu maana zina copyright nazunguzia image, mfano Man U sasa hivi wanaweza tengeneza tangazo kwa kutumia image ya Lukaku? Nb:mimi sio mjuzi wa hayo mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…