Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kinachoongelewa ni match au picha zake?akiwa katika jezi zao anatumika vizuri kabisa. Ingia kwenye Channel ya MUTD (Man United) utakuta wanafanya biashara na kuingiza hela kwa kuonyesha mechi za enzi za akina Giggs na Porbosky
That's all I knowHuyu kijana anatumiwa vibaya,,,,
Picha alipiga akiwa na jezi ya Simba as team "Group" na Melt wanamkataba na Simba sc ,,so yeye aende mahakamani akaombe tafsiri ya mkataba wake na Simba but I know that mkataba wa kwanza wa mkude na Simba una mfanya image yake kusalia Mali ya Simba forever...
Mwache ajichanganye si alisain mkataba ilimradii
Kama thamani ya mtu haipimwi kisheria unaweza kuniambia kwanini Mkude anaenda mahakamani?Wewe kakudanganya nani kesi kama hizo zinaamuliwa kwa kuangalia thamani ya mtu. Kwanza unaipima vipi thamani ya mtu kisheria?
Nawewe unaamini kuwa ukitumia picha ya Jonas Mkude katika namna yeyote itaweza kukuingizia shilingi bilioni 1?NDIYO PICHA YAKE WAITUMIE HATA KAMA HANA THAMANI.
Kwani picha za video na still si ni concept ile ile? Mzee hazeeki mara mbiliKinachoongelewa ni match au picha zake?
Hivi wewe mzee unazeeka au namna gani?
Yes, lakini akiwa kwenye uhalisia wake wa jezi za enzi wanammiliki. Wasimuedit wakamvalisha jezi za sasaMan U sasa hivi wanaweza tengeneza tangazo kwa kutumia image ya Lukaku?
Kwani metl wametoa tangazo jipya la mkude au picture za zamani alivyokuwa simba?Mechi sawa nafahamu maana zina copyright nazunguzia image, mfano Man U sasa hivi wanaweza tengeneza tangazo kwa kutumia image ya Lukaku? Nb:mimi sio mjuzi wa hayo mambo
Kesi ya kina FA na AY walitumia nini kujua thamani ya ule wimbo au hii ya juzi ambayo Bocco ameshinda baada ya picha yake kutumika bila ridhaa yake?Kama thamani ya mtu haipimwi kisheria unaweza kuniambia kwanini Mkude anaenda mahakamani?
Kipi kilichomfanya mkude aweke demand ya 1B...
Ww una thamani ganiMkude kadanganywa na nani?
Mkude hana thamani ya hela hiyo kwenye holi hata jaji atamcheka.
Bado hujasema kenge weweYani ukihamia yanga tu
Akili zinapungua kama sio kuondoka kabisa
Alishatoka huko, AKILI zimemrudia! Tofauti na Mkude, kishatokwa akili!Safi Sana namshangaa Feisal yanga wanatumia picha yake kwenye tangazo la documentary yao lakini yeye yupo kimya.
Hizo n terms binafsi..Kumbe Real Madrid sasa hivi wanaweza mtumia Benzema kwenye matangazo! nlikua sijui