Jonas Mkude aishtaki Mohammed Enterprises kwa kutumia picha yake bila idhini, adai fidia Tsh. Bilioni 1

Inahitajika elimu khs IRC kwa wachezaji wetu na mawakala /ma menej wao
 
IRC lipo ktk mikataba yao? Ila image ya mchezaji huwa ni ya club na inatakiwaa iwe sehemu ya mkataba kuwa ,image ya mchezaji itatumika na mdhamimini
 
Kwa sisi watu wajasiriamali tunaobeti ukijiunga na kampuni ya kuweka madau (bookmark), kwa kitendo chako cha kujisajili tu maana yake umekubali vigezo na masharti yote ya kampuni.

Sasa ukijipa muda wa kupitia vigezo na masharti kwa bookie walio wengi wana kipengele hiki au kinachofanana na hiki hapa chini;

Iwapo utashinda pesa nyingi, kampuni itakutaka kupiga picha ambayo itakuwa mali ya kampuni. Kampuni itakuwa na haki ya kutumia picha hiyo kwa mwaka mzima katika matangazo na promosheni mbalimbali za kampuni.

Iwapo utakataa kupigwa picha, kampuni ina haki ya kutokukupa kiasi hicho cha ushindi. Kiasi hicho kitajumlishwa mwisho wa mwaka kama mapato halali ya kampuni.

Usikute ndugu yetu aliingia mikataba ya namna hii tunayoingia watu tunaobeti bila kusoma.
 
Sijui labda kwasababu sina utaalamu wa sheria kwamba kwasababu Joti alikuwa tiGO na mkataba na sasa yupo Airtel,wale tiGO wataendelea kutumia image yake forever kwasababu alisaini mkataba? Kuna mkataba usio na kikomo? Ngoja vijana wale wachache wanaofaulu pale mawasiliano waje
 
Upo sahihi sana
 
Ukiona mru anadai kiasi fulani kwa case kama hiyo ya Jonas maana yake hay9 ni makadirio ya kiasi cha pesa kinachoweza kuwa kimepatikana kutokana na picha yake kuwepo mahali pale lakini haina maana muhusika ana thamani hiyo.
 
Hana akili. Anadhani dewj atamkamata. Wacha ajichanganye afu akishindwa anafunguliwa kesi ya kuichafua kampuni ya metl na fidia ni hiyo hoyo bilion sijui ata lipiwa na nani
 
Mawakili kanjanja wamemwingiza Chaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…