Jopo la Wanasheria 10 kuwaburuza kortini wanaotumia lugha ya matusi katika mjadala wa Bandari

Wamelipwa na DP World.
 
Between the line ya hii clip inafikirisha sana (Majina)
 
Washamba wakubwa hawa, badala ya kwenda kutetea nchi kwenye mahakama za usuluhishi huko tunagaragazwa, wao wanaendeleza uchawa. Shame on your asses.
 
Hawa watakuwa wamewehuka. Chama kinachowakilisha wanasheria wote,TLS, kimekwishatamka mkataba ni wa hovyo. Hawa wanasema wanaenda kufafanua mkataba wote!! Au wao siyo wanachama wa TLS?
 
Ungesena mawakili waislamu, ungeeleweka
 
Mi nduku yao kama wana bandari zao wakawape hao mabwana zao
 
Kwani mikataba walioingia uko inje inafanana na wa kwetu,au wa kwetu tumepigwa zaidi?
Hizo nchi zingine kama UK, ziliingia IGA kuifunga nchi kisheria ili baadaye idaiwe na kushindwa mahakama za kimataifa sababu ya mikataba mibovu?
 
Mbona kama wamejipanga kidini zaidi. Majina yote ni Islam, Sasa sijui hii nchi wanaoina serikali inatukanwa ni waislam tu! Kwa kivuli Cha uzalendo nchi imegawika. Kwani mbona yalishasemwa sana kuhusu wazungu , wanaoulalamikia walikuwa wapi? Au ni huo ujenzi wa nyumba za ibada?
 
Wangeungana kwenye kesi za mikataba za Kimataifa tungewaona wa maana, lakini huku wanaonyesha sura ya UDINI tu si zaidi ya hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…