Jordan imeshapeleka jeshi lake mpakani tayari kwa vita na Israel

Jordan imeshapeleka jeshi lake mpakani tayari kwa vita na Israel

Wewe utakuwa wa juzi au kama ni wa zamani umeamua kupuuzia historia ya vita baina ya Taifa la Israel na Waarabu. Wamisri wenyewe waligundua kuwa hawawezi kamwe kuja kuishinda Israel kwenye uwanja wa vita, wakaamua kuwekeana mkataba wa amani.
Umeshikana na historia isiyokuwa na mashiko.Nani kakwambia kuwa Israel haiwezi kushindwa.Mbona vita na Hamas imechukua karibia miezi 2 na hawajafikia lengo lao lolote.Hamas wapo na mateka wamewashikiliwa na Hamas.
 
Amani Kwenye Meza Ya Duara
Masuala Ya Kujivunia Vita Siyo Afya Kwa Dunia Hii
 
Taarifa yako ipo outdated sana, inakaribia wiki sasa tangu wanamgambo wa Jordan wasogee mpakani
Habari inahusu Jumanne tarehe 21 Novemba 2023.Kwanini unasema ni tukio la zamani.
 
Baada ya muda mrefu wa ukimya jana Jumanne serikali ya Jordan imeongeza idadi ya askari na vifaa vya kivita mpakani na Israel tayari kwa mapigano iwapo Israel itaendelea kuhatarisha usalama wao na kuvunja mkataba baina yao.

Hayo yamebainishwa na waziri mkuu wa Jordan,Bisher Khasawneh akielezea mwenendo usio kuwa mzuri wa Israel kwa wapalestina wanaoishi ukingo wa mashariki kuvuka mto Jordan

Katika maelezo hayo ya utayari wa kivita waziri mkuu huyo amesema kumekuwa na shinikizo kwa baadhi ya wabunge wa Israel wakisema suluhisho la wapalestina walio maeneo hayo ni kuingia Jordan.

Kivitendo walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiongeza mashambulizi kwa wapalestina kwa kuwatoa kwenye majumba yoo na mashamba kwa nguvu ili waondoke na kuingia Jordan.

Waziri mkuu huyo amesema vitendo hivyo ni aina ya ukiukwaji wa mkataba baina yao wa mwaka 1994.

Akaongeza kwa kusema aina yoyote ya kuwahamisha kwa nguvu na matendo yanayopelekea hilo ni ukiukwaji wa mkataba huo.

Hali hiyo itapelekea na wao kuuona mkataba huo kama ni kipande cha karatasi kilichojaa mavumbi basi.

Vitendo hivyo vya Israel mbali ya kukiukwa kwa mkataba amesema vile vile vinahatarisha usalama wa Jordan jambo ambalo hawataweza kulivumilia.

Watu upande wa Jordan wametoa ushahidi wa kuoona idadi kubwa ya magari ya kivita na vifaru vikielekea kwenye bonde la Jordan mpakani na Israel.

Jordan says it beefs up army presence along borders with Israel

NETANYAHU AKBAR
 
Hamas wanaoishi kwenye mashimo kama panya
Vita ni mbinu.SI busara kumpa adui yako kifua akupige.Huo ni ubabe wa kijinga.
Wakijificha mapangni,wakiyeyuka wakajichanganya na raia zote ni mbinu za kivita hizo kuvuta nguvu za kuendelea na mapambano.
 
haiwezekani.
Jordan ni muungwana sana anaweza kuweka majeshi yake kwenye mipaka yake na Israel Lakini hawezi thubutu kuichokoza wala kuingia vitani na Israel.

Kumbuka dinari ya Jordan na shekeli ya Israel ndizo hutumika kununua bidhaa, huduma na biashara huko Israel, West Bank na Jordan yenyewe.
Ni ndugu hawa wamejazana pande zote mbili, hadi kiwango cha kushindwa kuwatofautisha huyu ni nani wa upande gani, ispokua kwa stakabadhi tu..
Wajordan na Waisraeli ni ndugu wa damu. Wote ni watoto wa Isaka. Jordan ni uzao wa ESAU wakati Israel wengi ni uzao wa Yakobo.
 
hii vita haitafika huko, hamas atamalizwa na israel itaikalia tena kijeshi gaza, hio mikwara mingine ni danganya toto.
jordan zaidi sana kachukua hatua za kawada tu za kiusalama, kama jirani kuna machafuko basi unaongeza ulinzi kulinda mipaka yako, ni hatua ya kawaida. ila jordan hana hitilafu yoyote ya kupigana na israel.
 
Dini ipi boss?

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Ndo inasababisha Israel igombane na majirani?
 
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hizo ndo yule Bwana aliziita the Satanic verses!
 
Mbona amejaa hofu na kutetemeka hivyo?
Mwangalie Netanyahu alivyobaki baada ya siku 42 za vita.Anaonekana kama ni mfu anayetembea.

1700713489235.png
 
Back
Top Bottom