Jordan yamwita balozi wake wa Tel Aviv na Saudia, walaani vikali mashambulizi ya Jabaliya

Jordan yamwita balozi wake wa Tel Aviv na Saudia, walaani vikali mashambulizi ya Jabaliya

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hali mbaya waliyonayo wapalestina wa maeneo yote hakukuwa na haja ya matumizi ya diplomasia na ahadi za mazungumzo.Ilikuwa ni kuchukua maamuzi sambamba na ukatili unaofanywa na serikali ya Israel kwa wapalestina wanyonge.

Kinyume chake seikali ya mfalme Abdallah wa Jordan imemuita nyumbani balozi wake nchini Israel kama ni kutoridhishwa na mashambulizi ya jeshi la IDF huko Gaza. Saudia nayo imeelezwa kuwa imetoa onyo kali kwa Israel kutokana na kushambulia kambi ya wakimbizi ya Jabaliya kwa siku mbili mfululizo na kuuwa jumla ya watu 195 na huku wengine 120 ikikisiwa bado wamefunikwa na kifusi.

Upande wa ukingo wa mashariki na mashariki ya Jerusalem tangu kuanza vita na shambulio la Hamas kumekuwa na ongezeko la mashambulizi kwa raia wa Palestina kutoka maadui watatu.

Kwanza wanapigwa na walowezi wa kiyahudi waliopenyezwa katikati yao waliojengewa nyumba kwa lazima na kupewa silaha kila mmoja.Walowezi hawa huwa wanawapiga bila huruma kwenye majumba na kwwenye mashamba wanapokwenda kulima.

Adui wa pili ni jeshi la Israel ambalo linatumia ndege za kivita kupiga maeneo yao na misikiti bila kubagua kati ya makundi ya wapalestina wanaounga mkono Gaza au walioamua kukaa kimya kwa ahadi ya kupewa serikali vita vikiisha.

Adui wa tatu ni hiyo serikali ya Mahmoud Abbas ambayo pamoja kuzingirwa bado tu wamehadaika kuja kupewa serikali.Askari wa PLO kwa jina la sultah huwa wanawapiga wapalestina wenzao wanaolalamika kwa kuandamana kupinga vita Gaza na hapo kwao.

Kuona hivyo vijana wa kipalestina sasa wameamua kushika silaha na kuanza kuwatishia askari wa Mahmoud Abbas wanaowazuia wasilie kwa vipigo wanavyopigwa na IDF.

“When things get beyond the limit, it’s a problem,” said Abu Mohammad, 33. “When you pressure us, there will be an explosion. We’re facing both Israel and the Sultah.”

Maamuzi ya wapalestina wa Jenin yanalingana na wananchi wa mataifa ambayo katika miaka michache iliyopita walirudisha uhusiano na taifa la Israel..Wananchi katika nchi hizo wameendelea na vuguvugu la kupinga wazi wazi uhusiano huo hasa baada ya kuona jinsi vita vinavyoendelea kwenye maeneo ya wapalestina.

Amid war, some Palestinians rage against another target: Their own rulers


1698900697669.png
 
Israeli 🇮🇱 iendelee na harakati zake za kupambana na magaidi.Mambo ya diplomasia yatafuata baada ya kujihakikishia usalama wake 🤔

Tanzania tulipopata changamoto ya vikundi vya kigaidi huko kibiti na baadae Mtwara,hatukusubiri jumuiya za kimataifa kutushauri namna ya kupambana na Hao magaidi.

Hata kenya wanapopambana na Alshaabab huwa hawaombi ruhusu kwa UN ili kupambana.

Vitendo vya Hamas ni vya kigaidi Kwa 100% .Sasa Kwanini mtake Israeli itumie nguvu kiasi kupambana na watu ambao wameua watu wake,kuwadhalilisha na wengine kuwateka?

Ninyi wavaa kobazi, vipedo na vibarangashia,mkiacha midevu viruruvururu imetawanyika, likija suala la mtu wa Imani yenu kufanya mambo ndivyosivyo huwa macho yenu Sio tu kufumbwa bali yanapofuka kabisa 🤔
 
Ikigeuka kwao wanalia wanasema Vita ya kidini

Nchi nyingi wanaandamana kuwasapoti wapalestina, ila ninyi wapagani wa huku bongo mpo upande wa madhaalimu, na mnavyo wachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio kabisaa mnafurahia vifo haijalishi watoto, wazee, wajane yani ninyi 👇

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
 
Nchi nyingi wanaandamana kuwasapoti wapalestina, ila ninyi wapagani wa huku bongo mpo upande wa madhaalimu, na mnavyo wachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio kabisaa mnafurahia vifo haijalishi watoto, wazee, wajane yani ninyi 👇

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
Ficha ujinga wako, nani alianza kuua wenzake?
Je walichagua wa kumuua?
Upagani ndio nini?.
Wauaji ndio wenye dini?

Kuna upagani zaidi ya kuua na kuteka?

Ugaidi nao ni dini?
Kama ugaidi ni dini bora mteketezwe popote mlipo kwa usalama wa dunia.

Peleka uarabu wako kuzimu
 
Nchi nyingi wanaandamana kuwasapoti wapalestina, ila ninyi wapagani wa huku bongo mpo upande wa madhaalimu, na mnavyo wachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio kabisaa mnafurahia vifo haijalishi watoto, wazee, wajane yani ninyi 👇

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
Ficha ujinga wako, nani alianza kuua wenzake?
Je walichagua wa kumuua?
Upagani ndio nini?.
Wauaji ndio wenye dini?

Kuna upagani zaidi ya kuua na kuteka?

Ugaidi nao ni dini?
Kama ugaidi ni dini bora mteketezwe popote mlipo kwa usalama wa dunia.

Peleka uarabu wako kuzim
 
Ficha ujinga wako, nani alianza kuua wenzake?
Je walichagua wa kumuua?
Upagani ndio nini?.
Wauaji ndio wenye dini?

Kuna upagani zaidi ya kuua na kuteka?

Ugaidi nao ni dini?
Kama ugaidi ni dini bora mteketezwe popote mlipo kwa usalama wa dunia.

Peleka uarabu wako kuzimu

Ukristo ni upagani, biblia yenyewe inawasuta
 
Nchi nyingi wanaandamana kuwasapoti wapalestina, ila ninyi wapagani wa huku bongo mpo upande wa madhaalimu, na mnavyo wachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio kabisaa mnafurahia vifo haijalishi watoto, wazee, wajane yani ninyi 👇

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
Kwanini hawakuandamana Hamas waliporusha maroketi?. Hako kamungu kaliona sawa waisraeli kuuwawa? Alafu ushawai kuona Hamas wamevaa sare za jeshi? Wapo kiraia na wanajichanganya kwa raia pia kwa hiyo kuuwa Hamas lazima raia watahusika.
 
Nchi nyingi wanaandamana kuwasapoti wapalestina, ila ninyi wapagani wa huku bongo mpo upande wa madhaalimu, na mnavyo wachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio kabisaa mnafurahia vifo haijalishi watoto, wazee, wajane yani ninyi [emoji116]

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
Nchi zinazoaandamana ni wale waarabu waliokimbilia nchi za ulaya

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Nusra ya Allah ipo karibu, acha wajipongeze mayahudi weusi kutoka Tanzania, ipo siku hawataamini kitakachowatokea mayahudi
Wayaudi kufa hawakuanza leo. Wapalestina wangekuwa na akili Kama yetu watanzania kusingekuwa na Hamas. Vigaidi vilipofika kibiti raia wabongo Ni kuwanyooshea vidole tu Jw Ni kuwanyuka risasi tu.wakakimbiza kobasi msumbuji. Sasa wapalestina wanawaweka majumbani unategemea watakuwa salama
 
Hali mbaya waliyonayo wapalestina wa maeneo yote hakukuwa na haja ya matumizi ya diplomasia na ahadi za mazungumzo.Ilikuwa ni kuchukua maamuzi sambamba na ukatili unaofanywa na serikali ya Israel kwa wapalestina wanyonge.

Kinyume chake seikali ya mfalme Abdallah wa Jordan imemuita nyumbani balozi wake nchini Israel kama ni kutoridhishwa na mashambulizi ya jeshi la IDF huko Gaza. Saudia nayo imeelezwa kuwa imetoa onyo kali kwa Israel kutokana na kushambulia kambi ya wakimbizi ya Jabaliya kwa siku mbili mfululizo na kuuwa jumla ya watu 195 na huku wengine 120 ikikisiwa bado wamefunikwa na kifusi.

Upande wa ukingo wa mashariki na mashariki ya Jerusalem tangu kuanza vita na shambulio la Hamas kumekuwa na ongezeko la mashambulizi kwa raia wa Palestina kutoka maadui watatu.

Kwanza wanapigwa na walowezi wa kiyahudi waliopenyezwa katikati yao waliojengewa nyumba kwa lazima na kupewa silaha kila mmoja.Walowezi hawa huwa wanawapiga bila huruma kwenye majumba na kwwenye mashamba wanapokwenda kulima.

Adui wa pili ni jeshi la Israel ambalo linatumia ndege za kivita kupiga maeneo yao na misikiti bila kubagua kati ya makundi ya wapalestina wanaounga mkono Gaza au walioamua kukaa kimya kwa ahadi ya kupewa serikali vita vikiisha.

Adui wa tatu ni hiyo serikali ya Mahmoud Abbas ambayo pamoja kuzingirwa bado tu wamehadaika kuja kupewa serikali.Askari wa PLO kwa jina la sultah huwa wanawapiga wapalestina wenzao wanaolalamika kwa kuandamana kupinga vita Gaza na hapo kwao.

Kuona hivyo vijana wa kipalestina sasa wameamua kushika silaha na kuanza kuwatishia askari wa Mahmoud Abbas wanaowazuia wasilie kwa vipigo wanavyopigwa na IDF.

“When things get beyond the limit, it’s a problem,” said Abu Mohammad, 33. “When you pressure us, there will be an explosion. We’re facing both Israel and the Sultah.”

Maamuzi ya wapalestina wa Jenin yanalingana na wananchi wa mataifa ambayo katika miaka michache iliyopita walirudisha uhusiano na taifa la Israel..Wananchi katika nchi hizo wameendelea na vuguvugu la kupinga wazi wazi uhusiano huo hasa baada ya kuona jinsi vita vinavyoendelea kwenye maeneo ya wapalestina.

Amid war, some Palestinians rage against another target: Their own rulers


View attachment 2800911
Maneno matupu bila vitendo ni kupoteza muda tu.
 
Back
Top Bottom