Jordan yamwita balozi wake wa Tel Aviv na Saudia, walaani vikali mashambulizi ya Jabaliya

Jordan yamwita balozi wake wa Tel Aviv na Saudia, walaani vikali mashambulizi ya Jabaliya

Hali mbaya waliyonayo wapalestina wa maeneo yote hakukuwa na haja ya matumizi ya diplomasia na ahadi za mazungumzo.Ilikuwa ni kuchukua maamuzi sambamba na ukatili unaofanywa na serikali ya Israel kwa wapalestina wanyonge.

Kinyume chake seikali ya mfalme Abdallah wa Jordan imemuita nyumbani balozi wake nchini Israel kama ni kutoridhishwa na mashambulizi ya jeshi la IDF huko Gaza. Saudia nayo imeelezwa kuwa imetoa onyo kali kwa Israel kutokana na kushambulia kambi ya wakimbizi ya Jabaliya kwa siku mbili mfululizo na kuuwa jumla ya watu 195 na huku wengine 120 ikikisiwa bado wamefunikwa na kifusi.

Upande wa ukingo wa mashariki na mashariki ya Jerusalem tangu kuanza vita na shambulio la Hamas kumekuwa na ongezeko la mashambulizi kwa raia wa Palestina kutoka maadui watatu.

Kwanza wanapigwa na walowezi wa kiyahudi waliopenyezwa katikati yao waliojengewa nyumba kwa lazima na kupewa silaha kila mmoja.Walowezi hawa huwa wanawapiga bila huruma kwenye majumba na kwwenye mashamba wanapokwenda kulima.

Adui wa pili ni jeshi la Israel ambalo linatumia ndege za kivita kupiga maeneo yao na misikiti bila kubagua kati ya makundi ya wapalestina wanaounga mkono Gaza au walioamua kukaa kimya kwa ahadi ya kupewa serikali vita vikiisha.

Adui wa tatu ni hiyo serikali ya Mahmoud Abbas ambayo pamoja kuzingirwa bado tu wamehadaika kuja kupewa serikali.Askari wa PLO kwa jina la sultah huwa wanawapiga wapalestina wenzao wanaolalamika kwa kuandamana kupinga vita Gaza na hapo kwao.

Kuona hivyo vijana wa kipalestina sasa wameamua kushika silaha na kuanza kuwatishia askari wa Mahmoud Abbas wanaowazuia wasilie kwa vipigo wanavyopigwa na IDF.

“When things get beyond the limit, it’s a problem,” said Abu Mohammad, 33. “When you pressure us, there will be an explosion. We’re facing both Israel and the Sultah.”

Maamuzi ya wapalestina wa Jenin yanalingana na wananchi wa mataifa ambayo katika miaka michache iliyopita walirudisha uhusiano na taifa la Israel..Wananchi katika nchi hizo wameendelea na vuguvugu la kupinga wazi wazi uhusiano huo hasa baada ya kuona jinsi vita vinavyoendelea kwenye maeneo ya wapalestina.

Amid war, some Palestinians rage against another target: Their own rulers


View attachment 2800911
Ila unaipambania dini ya haki sana Mkuu.Hongera sana.Ungetumia japo robo ya nguvu hizi kihubiri upendo,haki,mshikamano ungepata thawabu sana sana sana.
 
Nusra ya Allah ipo karibu, acha wajipongeze mayahudi weusi kutoka Tanzania, ipo siku hawataamini kitakachowatokea mayahudi
Allah hakuwanusuru Mayahudi dhidi ya wapalestina and that same Allah will let the Jews do the same to Palestinians.Akifanya hivyo kuwabagua Mayahudi hatakuwa na sifa za kuwa Mungu.Anayeua kwa upanga afe kwa upanga tuu hakuna namna nyingine.Allah atakuwa mjinga sana akisupport magaidi
 
Ukristo ni upagani, biblia yenyewe inawasuta
Achana na propaganda stick kwenye mjadala.Atakayeamua kuwa ukristu ni dini au Upagani ni Mungu mwenyewe kama yupo.Dini yako kama inakujaza chuki namna hii haikusaidii
 
Where are the proof that Hamas used human shield? Hakuna mahali tumeona proof kwamba hamas wametumia maeneo hayo au hata walikuwepo maeneo hayo
Kwa mfano ungekuwa wewe ni IDF ungemtambuaje kuwa huyu ni Hamas au raia?
Hawa Hamas hawana sare Wala kambi. Wanajichanganya na raia wakati wa kufanya mashambulizi. Israel wamemtumia ustaarabi sana kuwaambia raia wa Gaza wahamie Kusini vinginevyo wangekufa wengi sana
 
Halafu wanatoa tishio kwa hamas [emoji3] wana chuki balaa dhidi ya waarabu/waislamu na Uisilamu kwa ujumla.
Swali la kizushi,Kama waisrael wote wangekuwa waislam ungeandika haya?Ni lini umekemea mauaji ya waislamu kwa waislamu wenzao?Kungekuwa na maandano kutoka nchi za kiarabu kama.waisrael wangekuwa waislam?
 
Nchi nyingi wanaandamana kuwasapoti wapalestina, ila ninyi wapagani wa huku bongo mpo upande wa madhaalimu, na mnavyo wachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio kabisaa mnafurahia vifo haijalishi watoto, wazee, wajane yani ninyi [emoji116]

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

Hatuchukii waarabu ila tunachukia ugaidi
 
Issue sio kupambama na magaidi, issue hapa ni kuua raia wasio na hatia. Ndio maama kwenye vita wakiuawa askafu 20,000 hutasikia human rights maana hao ndio jukumu lao. Lakini kupiga hospitali, shule, makazi na sehemu waliopo raia ni kosa kimataifa maana hao hawahusiki na vita au operation yenyewe

Magaidi yanajificha kwenye miundombinu ya raia unategemea Idf wafanye nini zaidi ya kukandamiza hapo hapo
 
Hali mbaya waliyonayo wapalestina wa maeneo yote hakukuwa na haja ya matumizi ya diplomasia na ahadi za mazungumzo.Ilikuwa ni kuchukua maamuzi sambamba na ukatili unaofanywa na serikali ya Israel kwa wapalestina wanyonge.

Kinyume chake seikali ya mfalme Abdallah wa Jordan imemuita nyumbani balozi wake nchini Israel kama ni kutoridhishwa na mashambulizi ya jeshi la IDF huko Gaza. Saudia nayo imeelezwa kuwa imetoa onyo kali kwa Israel kutokana na kushambulia kambi ya wakimbizi ya Jabaliya kwa siku mbili mfululizo na kuuwa jumla ya watu 195 na huku wengine 120 ikikisiwa bado wamefunikwa na kifusi.

Upande wa ukingo wa mashariki na mashariki ya Jerusalem tangu kuanza vita na shambulio la Hamas kumekuwa na ongezeko la mashambulizi kwa raia wa Palestina kutoka maadui watatu.

Kwanza wanapigwa na walowezi wa kiyahudi waliopenyezwa katikati yao waliojengewa nyumba kwa lazima na kupewa silaha kila mmoja.Walowezi hawa huwa wanawapiga bila huruma kwenye majumba na kwwenye mashamba wanapokwenda kulima.

Adui wa pili ni jeshi la Israel ambalo linatumia ndege za kivita kupiga maeneo yao na misikiti bila kubagua kati ya makundi ya wapalestina wanaounga mkono Gaza au walioamua kukaa kimya kwa ahadi ya kupewa serikali vita vikiisha.

Adui wa tatu ni hiyo serikali ya Mahmoud Abbas ambayo pamoja kuzingirwa bado tu wamehadaika kuja kupewa serikali.Askari wa PLO kwa jina la sultah huwa wanawapiga wapalestina wenzao wanaolalamika kwa kuandamana kupinga vita Gaza na hapo kwao.

Kuona hivyo vijana wa kipalestina sasa wameamua kushika silaha na kuanza kuwatishia askari wa Mahmoud Abbas wanaowazuia wasilie kwa vipigo wanavyopigwa na IDF.

“When things get beyond the limit, it’s a problem,” said Abu Mohammad, 33. “When you pressure us, there will be an explosion. We’re facing both Israel and the Sultah.”

Maamuzi ya wapalestina wa Jenin yanalingana na wananchi wa mataifa ambayo katika miaka michache iliyopita walirudisha uhusiano na taifa la Israel..Wananchi katika nchi hizo wameendelea na vuguvugu la kupinga wazi wazi uhusiano huo hasa baada ya kuona jinsi vita vinavyoendelea kwenye maeneo ya wapalestina.

Amid war, some Palestinians rage against another target: Their own rulers


View attachment 2800911
Huyo Abda;lah mama'ke ni myahudi mmarekani, mkewe ni myahudi mmarekani.

Ni mnafik tu huyo likija suala ya wayahudi. Juzi kapiga marufuku anga yake isitumiwe na wanaowaunga mkono Wapalestina.

Wafalme kama huyo ni wa vibaraka wa kuondolewa kwa maandamano tu.
 
Maneno matupu bila vitendo ni kupoteza muda tu.
Watu hawajui!

Mwarabu ni mnafiki! Yupo vizuri kwenye biashara. Lakini kwenye haya mambo ya kiusalama mwarabu ni mnafiki.

Alifanya unafiki kipindi cha Ottoman empire n.k walimfanyia unafiki Muammar Gaddafi. Walimfanyia unafiki Qatar kipindi cha Trump na list inaendelea.

Hakuna chochote mwarabu anachoweza kufanya zaidi ya unafiki. Waarabu wa kweli walishapita waliyobakia ni wanafiki.
 
Watu hawajui!

Mwarabu ni mnafiki! Yupo vizuri kwenye biashara. Lakini kwenye haya mambo ya kiusalama mwarabu ni mnafiki.

Alifanya unafiki kipindi cha Ottoman empire n.k walimfanyia unafiki Muammar Gaddafi. Walimfanyia unafiki Qatar kipindi cha Trump na list inaendelea.

Hakuna chochote mwarabu anachoweza kufanya zaidi ya unafiki. Waarabu wa kweli walishapita waliyobakia ni wanafiki.
Dawa yao ni Hamas kwenye maeneo yao.
 
Watu hawajui!

Mwarabu ni mnafiki! Yupo vizuri kwenye biashara. Lakini kwenye haya mambo ya kiusalama mwarabu ni mnafiki.

Alifanya unafiki kipindi cha Ottoman empire n.k walimfanyia unafiki Muammar Gaddafi. Walimfanyia unafiki Qatar kipindi cha Trump na list inaendelea.

Hakuna chochote mwarabu anachoweza kufanya zaidi ya unafiki. Waarabu wa kweli walishapita waliyobakia ni wanafiki.
Nakubaliana na wewe mkuu, hata Israel na US wanafahamu hilo ndio maana hata kauli zao (Arab league) za kutaka Vita visitishwe zinapuuzwa na hawa mabeberu.

Isitoshe hizo tawala za kiimla za kiarabu mf Saudia, Jordan,Bahrain, UAE, Qatar, Morocco n.k zinategemea mno ulinzi kutoka kwa Marekani ili kubakia madarakani.

Kiufupi Wapalestina wenyewe ndio wanaotakiwa wapambane mpaka wapate Uhuru wao.
 
Back
Top Bottom