[h=1][FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
[/FONT][/h][FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
[/FONT][/h][FONT=Georgia, Times New Roman, serif][FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Chameleone amesema kuwa application ya Mziiki ambayo Diamond ni balozi wake wa Tanzania ipo kwenye mazungumzo naye ili kumfanya balozi wake wa Uganda na hivyo ilimuomba afanye wimbo na Diamond kama anthem ya Afrika Mashariki.[/FONT][FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Lakini we talked about business na hatujamalizana nao. Lakini sio eti mimi nimempigia (Diamond) kumuomba tufanye collabo na kitu kama[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]hicho, amesema Chameleone. Wale wa Mziiki app ndo wanahitaji mimi na yeye tufanye kazi ya anthem ya Mziiki app. Wanajaribu kuunganisha yeye na mimi tufanye collaboration lakini sio eti mimi nimemu whatsapp na nimemuomba collaboration , thats not right, CHANZO UG >>>[/FONT]
[/FONT][FONT=Georgia, Times New Roman, serif]hicho, amesema Chameleone. Wale wa Mziiki app ndo wanahitaji mimi na yeye tufanye kazi ya anthem ya Mziiki app. Wanajaribu kuunganisha yeye na mimi tufanye collaboration lakini sio eti mimi nimemu whatsapp na nimemuomba collaboration , thats not right, CHANZO UG >>>[/FONT]