Kupishana kauli wangu mbona kawaida sana... tena nikupe siri moja manake tumefahamiana hivi majuzi tu... suala la kupishana kauli kwangu nimeshalizoea sana tu... huku celebrities mie nakujaga kucheki watoto wazuri kama nyinyi tu lakini jukwaa langu ni la siasa... kule sina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu kwavile mawazo yangu yapo too independent... leo nitakufurahisha kesho nitakuboa! Na ajabu zaidi, watu ambao mara kwa mara huwa na-mingle nao humu jamvini ni
JokaKuu na
Mwita Maranya.... hawa wote mara nyingi kama sio zote huwa tunatofautiana lakini tunatofautiana kwa hoja na sio matusi!!! Sasa inakera mtu anavyoibuka from nowhere anaanza kukushambulia tena kwa matusi lakini hata ukimuonya bado anazidi.. come on
geniviros, am not that good boy who can act like angel! Nikuambie kitu kimoja... in those old days I think I was a good boy, mtu hata akinitukana, namjibu "thanks God, I was raised by mom nd my mom would never accept me to react back with this...!" baada ya hapo, ningekula rundo la like... mwenyewe bichwa hilo!
Anyway, but thank you for your beautiful advice ila na wewe uache tabia ya kuingia Instagram na kuanza kumchamba Mange... just kidding but niitie
Avemaria manake nimemshitukia... kumbe she's old friend of mine lakini akahamia mtaa wa pili bila kunijulisha!!!!!