Jose Chameleone: Siko katika Levo ya Kuomba Collabo na Diamond Platnumz

Hahaaa,kwa chameleon hapana.

Hajaishiwa kiasi hicho.

Tubonge.
 

Hahahaha dah pole aisee
 
Last edited by a moderator:

Nakuomba binamu ukimaliza ubize uje kule whatsapp puliziiii
 
Aah hiki kitu kinampunguzia heshima Jose kama hayupo level moja na Dai kwann umuongelee mbona dai hajawahi kusema kuwa kinyonga amemuomba collabo...!!

Namuheshimu sana kinyonga kwa mafanikio yake na umuhimu wake kwenye soko la muziki ila alichofanya kilitakiwa kifanywe na wapuuzi kama msanii mmoja hivi wa Tanzania...

Kinyonga ur too old for that
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…