Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Thank you😊Hahaha merry Christmas
Merry Christmas to you
You will never walk alone
Janjajanja nyumbu mnachanja mbuga mkiani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you😊Hahaha merry Christmas
Pombe ukichanganya na ngada lazima utepeteSema nini....
Pombe hua inasingiziwa sana...😪
Hivi kwanini wasanii huwa wanaendekeza sana mambo ya ulevi!!?,ni hela kuwa nyingi,au ulimbukeni?,hivi karibuni pia nimemwona linex nae ivo ivo.UKIMWI siyo ishu Sana... Sema hizo Pombe na madawa ya kulevya (Kwa mujibu wa mtoto wake) ndizo tatizo.
Hajui kwamba upweke ni kujikosa we mwenyewe,sio watu wengine..,angetafuta msaikolojia angemsaidia sana.Amepata ugonjwa wa mastaa wengi
. Ametafuta kwa bidii akapata za kutosha
. Akapata vitu vingi vya ndoto zake
.Akapata umaarufu
.Akapata heshima
So what next?
Sasa ana kila kitu lakini hana marafiki wa kweli.. Anahisi upweke.. Hapati mapenzi ya kweli.. Hapati mtu wa kumsikiliza hisia zake za ndani
Mwisho wa yote anaona pombe ndio rafiki anayeweza kumuondolea upweke kwakuwa pengine kamsahau hata Mungu
Mtoto wake anasema sababu ni pombe iliyozidi kiasi.Nime kuwa nikiona picha za huyu gwiji wa muziki katika eneo hili la E.Africa akiwa hospitalini kwakweli hali yake inasiktisha.
Kwani amepatwa na nini?
View attachment 3185132
Pia Soma: Mtoto wa Jose Chameleone: Baba yangu afya yake si nzuri, lakini waandaaji hawa wanaendelea kumualika na kumtumia kama chombo cha kuzalisha pesa
Ukishakuwa na pesa unadhani umeshamaliza kila kitu na unajua kila kituHajui kwamba upweke ni kujikosa we mwenyewe,sio watu wengine..,angetafuta msaikolojia angemsaidia sana.
Na wala siyo lazima ziwe yingi. Jamaa yangu akikaa muda hajaingiza pesa, siku akizikamata anachanganyikiwa. Atamnunulua mtoto nguo ya bei mbaya, siku ya tano amesahau ananunua nguo ile ile. Mwingine kamshahara tu, ananunua mikate jioni, asubuhi anaagizia maandazi mengi tu, mwisho anaishia anagawa vingine. PESA.Ukishakuwa na pesa unadhani umeshamaliza kila kitu na unajua kila kitu
Watuombe radhi wadau wa Pombe sio?Sema nini....
Pombe hua inasingiziwa sana...😪
Naunga mkono hoja....Watuombe radhi wadau wa Pombe sio?
"....Mimi nikinywa pombe huwa zinashuka chini....."Sema nini....
Pombe hua inasingiziwa sana...😪
HakikaKila lenye mwanzo lapaswa kuwa na mwisho
Safari yetu sote tulio zaliwa na mwanamkeNime kuwa nikiona picha za huyu gwiji wa muziki katika eneo hili la E.Africa akiwa hospitalini kwakweli hali yake inasiktisha.
Kwani amepatwa na nini?
View attachment 3185132
Pia Soma: Mtoto wa Jose Chameleone: Baba yangu afya yake si nzuri, lakini waandaaji hawa wanaendelea kumualika na kumtumia kama chombo cha kuzalisha pesa
Aimama kipepeyo ooh kipepeyo ooh😂Bayuda tulikanabo maratuseka nabo
Tubamanyi tutabagamba
Dah aisee Mahusiano yanaua watu taratibuuu.Mimi huwa naona tokea aachane na mkewe na mkewe kuishi nje na watoto hajawahi kuwa sawa.
Jamaa huwa namkubali sana, huwa namfuatilia naishia kusikitika tu.
Wanaisingizia pombe mazee...🤨"....Mimi nikinywa pombe huwa zinashuka chini....."
By ney wa mitego.