secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Pombe ikisafiri sijui watamsingizia nani.Wanaisingizia pombe mazee...🤨
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe ikisafiri sijui watamsingizia nani.Wanaisingizia pombe mazee...🤨
Wewe myebusi unatafutwaNdo nani?
Siyo tusinywe kupita kias bali tusinywe kabisaMtoto wake anasema sababu ni pombe iliyozidi kiasi.
Mungu ampe neema ya uponyaji, Kristo amezaliwa akahuishe viungo vyake akawe mzima.
Somo kwetu sisi ni tusinywe pombe kupita kisasi.
Siyo tusinywe kupita kias bali tusinywe kabisa
AMINA
Jamaa kipaji kikubwaIla jose chameleon ana sauti ya kuimba aisee, kuna watu walipewa karama, kuna ngoma yake ile ya valuvalu kaimba live huwa sichoki kuisikiluza yaani, basi tu maisha ni safari
Jamaa kipaji kikubwaIla jose chameleon ana sauti ya kuimba aisee, kuna watu walipewa karama, kuna ngoma yake ile ya valuvalu kaimba live huwa sichoki kuisikiluza yaani, basi tu maisha ni safari
Mwambie mrisho senga...Kila lenye mwanzo lapaswa kuwa na mwisho
Madam kwemaJamaa kipaji kikubwa
Na nyimbo zake asilimia kubwa zinaelimisha jamii
Ile collabo na Prof J "Ndivyo sivyo"
"Jamila"
Afya yake iimarike jamaa, tunamuombea.
Mrisho senga amemuajiri nani?Mwambie mrisho senga...
Alipe vzri vijana wake....
Unamjua akini...Mrisho senga amemuajiri nani?
Kwema, HabariMadam kwema
Niko poa madamu .Kwema, Habari
Kitu gani Mkuu?Niko poa madamu .
Samahni madamu kuna.kitu umezungumza hapo kimenigusa sana
Daaah kuna mdogo angu yupo nae pale huwa anapiga kazi moja mbili tatu na yeye lakini kwenye malipo jamaa huwa anamzungusha sana.....
Naamini wee ni director wake...?
Bado sijakuelewa, huyo dogo ameajiriwa na senga?Daaah kuna mdogo angu yupo nae pale huwa anapiga kazi moja mbili tatu na yeye lakini kwenye malipo jamaa huwa anamzungusha sana.....
Si ndo huyo wa tuongee tamthilia..
Juzi nilikutana nae nikaona jamaa poa sana kumbe sometimes anazingua