babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Unaijua nyimbo ya jamilaKitu gani Mkuu?
Huyo dogo ajaajiliwa ila anapigaga kazi hapo akiitwaBado sijakuelewa, huyo dogo ameajiriwa na senga?
Yah ndo kupambana huko, msumari huwezi kutoboa bila kugongwa sana.Huyo dogo ajaajiliwa ila anapigaga kazi hapo akiitwa
Wee kumbe jau....Yah ndo kupambana huko, msumari huwezi kutoboa bila kugongwa sana.
Nakasero Hospitali, kashaondoka zamani tu kwenda US.Taswira hiyo ni ya Marekani?
Yaani mtu anaanguka akiwa amelala? Aiseeππ...Niliwaambia watu kipindi kile ameanguka akiwa amelala kuwa ni pombe ...
πππUnaijua nyimbo ya jamila
Natanguliza tena samahn kama takua nakusumbua...πππ
Ndiyo
Mimi nyimbo zote za chameleone nazijua.
Hiyo Jamila ilibamba sana.
Pombe mbaya ukiziywa bila utaratibu zinakufundisha ustarabu.Nime kuwa nikiona picha za huyu gwiji wa muziki katika eneo hili la E.Africa akiwa hospitalini kwakweli hali yake inasiktisha.
Kwani amepatwa na nini?
View attachment 3185132
Pia Soma: Mtoto wa Jose Chameleone: Baba yangu afya yake si nzuri, lakini waandaaji hawa wanaendelea kumualika na kumtumia kama chombo cha kuzalisha pesa
Huo ndio ukweli, unataka akifanikiwa aseme hakuwahi kupitia shida?Wee kumbe jau....
ππππ
Nilijua mtu na heshima zako mkuu...
Mbaga basi yaishe bana..Huo ndio ukweli, unataka akifanikiwa aseme hakuwahi kupitia shida?
Karibu nikupe kitiNatanguliza tena samahn kama takua nakusumbua...
Madamu naomba uniimbie kidogo
Samahani lakini...
Mungu amponyee ndio tumaini lake kwa sasaNime kuwa nikiona picha za huyu gwiji wa muziki katika eneo hili la E.Africa akiwa hospitalini kwakweli hali yake inasiktisha.
Kwani amepatwa na nini?
View attachment 3185132
Pia Soma: Mtoto wa Jose Chameleone: Baba yangu afya yake si nzuri, lakini waandaaji hawa wanaendelea kumualika na kumtumia kama chombo cha kuzalisha pesa
Hii et kaimba kweli...Karibu nikupe kiti
Unielezee....
Jamila akaanza kulia πππ
Hahaaaa. Vijawa wa 2000 wao wanajua chapati tuuWatu walioimba mziki wa maana kama fizikia kama huyu kljamaa hauwajui
Ila unawajua janjajanja arts kina Zuchu wanaoimba Cha!pa!ti! Siendii
Ngoma hiiNime kuwa nikiona picha za huyu gwiji wa muziki katika eneo hili la E.Africa akiwa hospitalini kwakweli hali yake inasiktisha.
Kwani amepatwa na nini?
View attachment 3185132
Pia Soma: Mtoto wa Jose Chameleone: Baba yangu afya yake si nzuri, lakini waandaaji hawa wanaendelea kumualika na kumtumia kama chombo cha kuzalisha pesa