Jose Chamilioni amepatwa na nini aisee?

Ana nafuu sana kwasasa, kaenda Marekani kutibiwa.
Huyo si mara ya kwanza kupitia magumu ni maisha anapenda.
Aliwai kuruka toka ghorofani huko Arusha.
Mara kibao hafiki ukumbini yuko bwax huko ughaibuni.
Ni maisha yake anyway.
 
Wakuu kweli starehe tufanye ila tufanye kwa kiasi zaidi ya yote usije uka share kilevi chochote sehemu za starehe.

Kuna watu wanajidunga mazitu makali sana, ukiuvaa utageuzwa teja usijue imekuwaje.

Beware
 
Karibu nikupe kiti
Unielezee....
Jamila akaanza kulia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii et kaimba kweli...
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Madam umetisha sanaaaa sanaaaaa aiseee hapo hom wanainjoi sana uwepo wako...

Upo charming sana aiseeeee πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…