E Easy E JF-Expert Member Joined Feb 19, 2012 Posts 2,054 Reaction score 1,725 Dec 27, 2024 #81 micind said: Ila jose chameleon ana sauti ya kuimba aisee, kuna watu walipewa karama, kuna ngoma yake ile ya valuvalu kaimba live huwa sichoki kuisikiluza yaani, basi tu maisha ni safari Click to expand... Kuna ile iliyotoka baada ya valuvalu inaitwa 'tubonge'... aisee ni bonge la jiwe.. kaimba sana mule
micind said: Ila jose chameleon ana sauti ya kuimba aisee, kuna watu walipewa karama, kuna ngoma yake ile ya valuvalu kaimba live huwa sichoki kuisikiluza yaani, basi tu maisha ni safari Click to expand... Kuna ile iliyotoka baada ya valuvalu inaitwa 'tubonge'... aisee ni bonge la jiwe.. kaimba sana mule
LUTULWITU JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 584 Reaction score 983 Dec 27, 2024 #82 Ulevi na wanawake ni anguko la wasanii wengi