José Eduardo dos Santos ni tajiri Dangote hafui dafu

José Eduardo dos Santos ni tajiri Dangote hafui dafu

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.

Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.

Mimi naweka hawa hapa.

1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto

2.the Moi family

.. Weka wa kwako na wewe

img_1656167445640_1.jpg
 
Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.

Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.

Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
Weka source sio maneno matupu, hayo mambo peleka Facebook
 
Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.

Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.

Mimi naweka hawa hapa.

1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto

2.the Moi family

.. Weka wa kwako na wewe

View attachment 2293800
Afrika matajiri Ni wengi kuliko hao wanaolipa Kodi kihalali
 
Back
Top Bottom