Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PAKA ndie alikuwa kikoba chake awakuzikana,tukadai chetu.Wanasiasa wa africa ni majizi tu,mwendazake angemaliza miaka kumi angewafunika wote hao
Ndio asili ya viongozi wetu wa kiafrica.Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.
Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.
Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
Uizi huo ulithibitishwa wapi, weka evidenceKwahiyo unajifanya hujui kuwa dos Santos alikua mwizi au
Hapana, wote hao na Ronaldo wanakopi ukoo wa huyu mwamba kama harmonize ilivyo kwa baresa au diamond ilivyo kwa dangoteAna undugu na Neymar PSG?
Asante, ni maoni yako piahuna akili.
Isabela hajaolewa ndugu, acha kudanganyaHuyo yupo huko Barcelona na Portugal kwa mama ake....anakula bata, pesa nyingi imechimbiwa ulaya huko....ila juzi Kati kafiwa na mume wake yule chotara wa kikongo
Kwahiyo tusitafute pesa tukiogopa kufaYani pesa yote hiyo halafu unakufa unaiacha,wacha tu niendelee kumtukuza Mungu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji817]Upo sahihiIsabella ana hela kama mchanga....
Utajiri ni utajiri. Njia zilizotumika kuupata ndio tofauti. Chakarika uwe tajiriUtajiri wa kiufisadi
Lazima uwe tajiri
Ova
Mwambie huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utajiri ni utajiri. Njia zilizotumika kuupata ndio tofauti. Chakarika uwe tajiri
Tafuta makala inaitwa "LUANDA LEAKS" ndio utagundua uchafu wa familia ya huyo raisi mstaafu wa Angola.Mali gani alizoiba?, weka source za majarida na hukumu zilizotolewa mahakamani kuwa ni mwizi
Amepigwa marufuku kukanyaga Marekani kwa tuhuma za ufisadi pia anakabiliwa na mashitaka huko nchini kwake AngolaIsabella ana hela kama mchanga....
Kama hujui hata kuandika humu hufai. Watu wanajadili mantiki dogo.Mali gani alizoiba?, weka source za majarida na hukumu zilizotolewa mahakamani kuwa ni mwizi
Joao Lourenco (JLo) Rais was Sasa wa Angola ameshafanikiwa kuwanyang'anya familia ya huyo mkimbizi Marehemu Dos Santos mabilioni ya Dollar waliyoiba huko Angola na kuyakimbizia Ulaya. Tena kwa msaada wa serikali za huko huko Ulaya . Kwa hiyo mpaka anakufa, hakuwa na ukwasi huo.Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.
Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.
Mimi naweka hawa hapa.
1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto
2.the Moi family
.. Weka wa kwako na wewe
View attachment 2293800
Stori hiyo imesha_expire. JLo kashawanyoosha yeye na baba yake mpaka wamekuwa wakimbizi huko Ulaya.Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.
Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.
Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
Unashangaa JK, Ridhiwani na familia yake kuwa na hela wakati wanna uwezo wa kuzipata kihalali na kiharamu.Familia yake wote wanahela mbayaa, kuanzia baba mpaka watoto wake..