José Eduardo dos Santos ni tajiri Dangote hafui dafu

José Eduardo dos Santos ni tajiri Dangote hafui dafu

Huyo yupo huko Barcelona na Portugal kwa mama ake....anakula bata, pesa nyingi imechimbiwa ulaya huko....ila juzi Kati kafiwa na mume wake yule chotara wa kikongo
Isabela hajaolewa ndugu, acha kudanganya
 
Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.

Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.

Mimi naweka hawa hapa.

1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto

2.the Moi family

.. Weka wa kwako na wewe

View attachment 2293800
Joao Lourenco (JLo) Rais was Sasa wa Angola ameshafanikiwa kuwanyang'anya familia ya huyo mkimbizi Marehemu Dos Santos mabilioni ya Dollar waliyoiba huko Angola na kuyakimbizia Ulaya. Tena kwa msaada wa serikali za huko huko Ulaya . Kwa hiyo mpaka anakufa, hakuwa na ukwasi huo.
 
Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.

Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.

Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
Stori hiyo imesha_expire. JLo kashawanyoosha yeye na baba yake mpaka wamekuwa wakimbizi huko Ulaya.
 
Back
Top Bottom