Umeisoma vizuri lakini hio statement uloquote? kuna sehemu nimesema EXPECTATIONS ZA FANS NA WAMILIKI NI KUCHUKUA UBINGWA?Hapa umepaona? Usajili mdogo vile uwe na matumaini ya ubingwa? Watu wamenunua wakina ronaldo de lima hadi wakina kaka kwa pesa za maana bado aliendelea kula vichapo na wakina canavaro bek aliebeba uchezaj bora wa dunia labda uniambie ulikuwa una maana gani kuhusu ubingwa
Ukinambia uchezaj mbovu bado nashangaa mourinho anafahamika mkabaji yani aende united ageuke pep? huu utani
Ilikuwaje aende united wakat ni mkabaji? Ile timu ina shida sana
Hivi wewe unafikiri football is all about winning titles? kama ni ivo then where is the fun in the sports?
Madrid walikua na wachezaji best na wazuri na walikuwa hawachukui ubingwa, lakini walikuwa wanacheza mpira mzuri sana tena sana.
Labda nikupe mfano mdogo, Mfano Madrid amemchezesha Cassilas kipa na akafungwa 2 bila. Halafu MU yeye akamchezesha Lukaku kipa na yeye akafungwa 2, unafikiri ina make sense?