Joseph Butiku: Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijifanye havijui mambo yanayoendelea nchini

Joseph Butiku: Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijifanye havijui mambo yanayoendelea nchini

Tutamsaidiaje rais wakati yeye ni mtuhumiwa namba moja. Ilikuwaje akamrudisha Bashite madarakani wakati ana tuhuma nzito za kushiriki utekaji na mauaji? Haipendezi wazee kama wewe kuwa chawa
Kwa nini umtuhumu huyu na si huyo wa hapo Mzizima?
 
JUNTA (BARAZA LA KIJESHI) LATINO AMERIKA, WALIVYOJARIBU KUKAMDAMIZA UMMA, NYERERE AHOJI

Julius Nyerere katika hotuba yake kuhusu kanisa na Theolojia ya Ukombozi katika Amerika ya Kusini akiwa nchini Managua, Nicaragua. Hotuba yake hii ya mwaka 1988 inaigusa Tanzania ya 2024 kuhusu masuala ya hali ya kisiasa.

Ambapo watawala hawafanyi siasa zinazo wanufaisha wananchi walio wengi na wakikosolewa wanakuwa wakali wanatumia wanaoitwa watu wasiojulikana ambao wanafahamika na watawala kuwauliza maaskofu na kina sheikh Ponda uraia wao, kuua mzee Ali Mohamed Kibao, Ben Saanane, kutesa kutupa porini Mdude Nyagali, Sativa, 'panya road' n.k :


JULIUS NYERERE Former President of Tanzania Speech in Nicaragua in 1988




On August 15th, 1988, Julius Nyerere, former president of Tanzania, gave a public lecture at a church in Managua. President Daniel Ortega spoke next.

THIS VIDEO PRESENTS THE TALK BY NYERERE. In 1979 the Nicaraguan people, under the leadership of the Sandinista Front for National Liberation, had overthrown the Somoza dictatorship.

Many Christians had participated in various ways in the struggle for liberation and continued to take part in the programs of the revolutionary government.

During the 1980s the Sandinista Revolutionary Government, which included three priests in the cabinet, sought to move Nicaragua in a socialist direction but had to concentrate resources on defending the country and the revolution against the US-supported counter-revolutionaries (Contras).

In early 1990, Daniel Ortega was defeated at the polls by a broad coalition which had Violeta Chamorro as its candidate. Julius Nyerere (1922 – 1999) was a Tanzanian anti-colonial activist, politician, and political theorist. He governed Tanganyika as Prime Minister from 1961 to 1962 and then as President from 1963 to 1964, after which he led its successor state, Tanzania, as President from 1964 to 1985. Ideologically an African nationalist and African socialist, he promoted a political philosophy known as Ujamaa.
Source : Joseph Mulligan

El 15 de agosto de 1988, Julius Nyerere, ex presidente de Tanzania, dio una conferencia pública en una iglesia de Managua. El presidente Daniel Ortega habló a continuación

20 August 2022
Managua, Nicaragua

Mwanamapinduzi rais Daniel Ortega alisakama Kanisa kwa kuikosoa serikali


View: https://m.youtube.com/watch?v=1CVkoAWRhAs

Police in Nicaragua have arrested a Catholic bishop known for his criticism of President Daniel Ortega. Rolando Alvarez is being detained at his home in the capital, Managua. This is part of a wider government crackdown on dissent among members of the clergy.

Cracks down on Catholic Church

Daniel Ortega’s regime targets last bastion of dissent with trial of outspoken bishop of Matagalpa Rolando Álvarez, bishop of Matagalpa and Esteli and a critic of president Daniel Ortega, celebrates mass online at a church where he was taking refuge in May. He was arrested in August

.Dressed in a blue shirt rather than clerical garb and gaunt after nearly four months under house arrest, Bishop Rolando Álvarez sat alone in a Nicaraguan court, charged with conspiracy to undermine national integrity and spreading false news.

Last week’s appearance was his first in public since being arrested in August during a raid on his diocesan headquarters in Matagalpa, where he had been holed up with 11 colleagues in protest at Catholic media outlets being closed.

The detention of Nicaragua’s most outspoken prelate, whose trial will begin in January, has sent an unmistakable message to opponents of the regime of president Daniel Ortega and his wife, vice-president Rosario Murillo.

“He’s been very direct and one of the few priests not afraid to speak out,” said Yader Morazán, a lawyer who fled Nicaragua in 2018. “This is about punishing him and sowing terror in the population and other clergy, too.” The business community was cowed into silence after it voiced support for anti-government protesters in 2018.

The leaders of Cosep, the main business organisation, were imprisoned. The regime has shut down more than 3,000 NGOs and forced 54 media outlets to close, according to Confidencial, a Nicaraguan newspaper operating from neighbouring Costa Rica.

Now, it is stepping up its repression of the Catholic Church, which has criticised Ortega’s persecution of protesters and his authoritarian excesses while supporting the families of political prisoners.“It has the objective of closing the last remaining civic space in the country, which is the space for freedom of conscience, freedom of preaching, religious freedom, even of the church,” said Carlos Chamorro, director of Confidencial.

A Nicaraguan exiled in Costa Rica holds a sign reading: ‘Ortega and Murillo Out! #SOSNicaragua’ at a protest against the detention of Bishop Alvarez, in San Jose in August
View attachment 3092476
© Mayela Lopez/ReutersThe persecution of Álvarez and the church comes as Ortega and Murillo consolidate power and imprison opponents.

The ruling Sandinista National Liberation Front swept all 153 municipalities in elections last month that the US called “a pantomime”.The regime continues to hold 225 political prisoners, including “relatives of detained political opponents, allegedly to coerce the latter into surrendering”, the UN high commissioner for human rights, Volker Türk, said last week.“It’s on the way to becoming a virtual North Korea in Central America,” said Tiziano Breda, Central America analyst for the International Crisis Group. “It’s a country where Ortega has reckoned that, to maintain control of the state and to remain in power, the only way to do it is through total suppression of any minimal dissident voice.”

Daniel Ortega and Murillo have routinely condemned bishops as “terrorists” and “coup mongers”. Police have thwarted feast-day processions and officers routinely patrol outside churches in acts of intimidation, according to priests.

The Missionaries of Charity, the order founded by Mother Teresa, left in July after losing its registration. The Vatican’s ambassador, Archbishop Waldemar Sommertag, was expelled in March.

“The last institution left standing as a beacon of hope was the church,” said an exiled priest, who requested anonymity for security reasons.Ortega uses the Catholic Church as a kind of useful device if he needs it and like a carpet if he needs to lay the blame somewhere Ryan Berg The church has had a chequered relationship with Ortega since he first became president in 1979 when the Sandinistas ousted Anastasio Somoza.

Daniel Ortega lost power in 1990, but regained office in 2007, presenting himself as a proper Catholic and courting close relations with the church hierarchy, according to analysts. Ortega and Murillo married in a Catholic ceremony in 2005. He later backed a draconian abortion law in 2006, passed two weeks before an election he won, which bans the procedure in all circumstances.“[The bishops] were distracted by this effort by the Ortegas to crack down on abortion and they didn’t see the rest of the picture,” said Ryan Berg, director of the Americas programme at the Center for Strategic and International Studies, a think-tank.“Ortega uses the Catholic Church as a kind of useful device if he needs it and like a carpet if he needs to lay the blame somewhere.”

The church became an outspoken Ortega critic after protests erupted in 2018 over proposed social security reform.Priests opened their parishes to wounded protesters being pursued by police and paramilitaries.

The bishops’ conference convened a national dialogue to find an exit from the protests and political crisis but then withdrew, alleging bad faith on the government side. Pope Francis has spoken tepidly on Nicaragua. He expressed concern after Álvarez’s arrest in August and called for dialogue. He said in a press conference the following month: “There is dialogue. That doesn’t mean we approve of everything the government is doing or disapprove of it.” Analysts said dialogue between the government and protesters had gone from trying to find a political solution to the 2018 protests to simply seeking to improve conditions for prisoners held in El Chipote prison on the outskirts of the capital, Managua.
View attachment 3092480
Photo: President Daniel Ortega of Nicaragua leader of Sandinistas

Daniel Ortega first came to power in 1979 when the Sandinistas overthrew the dictator Anastasio Somoza

“Dialogue doesn’t make sense with the dictatorship because it’s holding participants from the first dialogue in prison,” said Father Edwin Román, a Nicaraguan priest exiled in Miami.“I don’t think the Catholic Church will lend itself to another circus, when there’s a bishop and priests imprisoned.”The Nicaraguan bishops’ conference has remained silent on Álvarez’s arrest. It did not respond to a request for comment.“The bishops have opted for silence and prayer and not mentioning the problem to not be persecuted,” said the exiled priest.
Source : Financial Times


Mwalimu Nyerere, hakuwa wa kawaida. Anachokisema hapo si kitu kidogo. Anasema ukweli kuhusu unafiki wetu. Christians have made a mess in this world, or rather people who worship other gods and claim to be the christians.
Ingawa, Nicaragua pia, liberation theology imefeli. Ujinga wa ukomunisti umewavaa. Kina Ortega wamewasahau maskini wanakula wao na rafiki zao
 
Mbona taarifa nyingi

Vyombo vya ulinzi vipewe nafasi vifanye uchunguzi vilete taarifa

Wameshasema wanachunguza sasa jamii itulie isubiri taarifa

Matamko yanatosha sasa
Akina nani wanaochunguza?
Kwenye kadhia hii:-
Jeshi la Polisi ni Watuhumiwa wakubwa Namba 1.
Tiss nao ni Watuhumiwa wakubwa Namba 2.

Sasa nani hasa anayepswa kuchunguza suala hili ikiwa Kama wale waliotakiwa wawe wachunguzi ndio watuhumiwa wakuu wa Uhalifu huo?
 
Akina nani wanaochunguza?
Kwenye kadhia hii:-
Jeshi la Polisi ni Watuhumiwa wakubwa Namba 1.
Tiss nao ni Watuhumiwa wakubwa Namba 2.

Sasa nani hasa anayepswa kuchunguza suala hili ikiwa Kama wale waliotakiwa wawe wachunguzi ndio watuhumiwa wakuu wa Uhalifu huo?
Tuhuma za hisia bila ushahidi
 
Ni kweli kabisa ni kama moderator wa JF siku hizi wamekuwa waoga Sana.
Kutokana na masharti ya Jf hao siyo waoga ila ni kazi maalumu ama watu jamii ya Msigwa!

Ni genge lilishapenyeshwa humu, wapo ma mod kibao pamoja na members mf. Tlahtlah na wengineo wa mfano huo, ni mwendo wa kubishana, kuitetea Serikali na kufuta nyuzi hata kuwe kumetokea jambo gani la kukera watawala wamefanya.

Sasa hivi point yoyote ya maana inayoigusa Serikali lazima ifutwe ama iunganishwe na mada nyingine.

Kungelikuwa na platform nyingine ya maana ningelog off kitambo, baada kuona kuna mamluki washapenyezwa kilingeni.
 
Mbona taarifa nyingi

Vyombo vya ulinzi vipewe nafasi vifanye uchunguzi vilete taarifa

Wameshasema wanachunguza sasa jamii itulie isubiri taarifa

Matamko yanatosha sasa
Waoga nyie! mna majeshi yote na silaha zote lakini mnaogopa matamko!

Ndio maana kikosi cha magari mawili yaliojaa “watu” na silaha nzito yanaongozana kumteka “mtu” mmoja tena mzee (RIP) sometimes likikosi lote linawafuata vijana wadogo wadogo tu.

Huwa mnadhani mnawatia raia uoga lakini kimsingi mnajiweka hadharani jinsi mlivyo waoga na mmejaa hofu, heri yenu sababu bado mnaongoza maiti!!!!!
 
Hii inawahusu sana na nyie Moderator wote muache kufuta nyuzi ambazo watu wanajaribu kufunua mambo yaliyo fichika. Watu wanajitahidi kuweka mambo hadharani nyie mnafuta. Mnatupa mashaka sana watumiaji wa huu mtandao.
Ndiomana watu wengi wamehamia tweeter "X". JF ya sasa si ile tuliyokuwa tumeizoea.
 
Mzee wangu ,babu yangu , mzee Butiku ,anazeeka sasa ,
Kama anazeeka vizuri na Busara zake zote na Uzalendo usioyumba, what is the problem? Mzee anayejitambua kwa namna ya kipekee ! He is a role model to this Nation, sio kama wale wazee wengine of his generation ninaowajua ambao hata waliokuwa na nafasi kubwa zaidi yake Serikalini , sitting to the top most seat of Power in our Nation , but are always turning their eyes blind and deaf eared during such times of crisis . Shames up on them and we pray to Allah that the Hottest Place in Hell should be deserved for them ( especially to "Him" the former Number ....the smiling killer !)
 
Kweli vilikuwepo vikundi vya vijana wa chama cha NAZI cha Hitler na mamluki wa kigeni ndani ya GESTAPO SS waliofadhiliwa na kuratibiwa na machawa wa Hitler ambao waliogopwa na Polisi pia kuogopwa na jeshi rasmi.

Hili kundi la TASK FORCE la paramilitary la watu wasiojulikana Tanzania litakuwa limeundwa kwa mtindo huo huo wa GESTAPO na SS

The SS (Schutzstaffel) was a major paramilitary organisation under Adolf Hitler and the Nazi Party in Nazi Germany.

Mkuu wa Usalama wa Taifa Bw. Suleiman Abubakar Mombo ambaye amepata kuwa muambata katika ubalozi wa Tanzania mjini Brasil Brazil kama atatumika vizuri na hayumo ktk kuratibu, atakuwa amepata uzoefu mzuri wa Latin Amerika ya ilivyokuwa chini ya Junta ya madiktekta wa kijeshi walivyoweza kudhibitiwa magenge yao ya kutishia watu kwa ukatili, vifungo feki, kupotezwa na kuuawa.

Hivyo ikiwepo nia njema basi vyombo vyetu rasmi vya ulinzi na usalama vikipata sapoti ya amiri jeshi mkuu (rais JMT), sapoti ya chama kongwe kupitia Katibu Mkuu wanaweza kabisa kukisambaratisha kikosi hiki cha watu wanaosemekana wamepewa jina la Watu Wasiojulikana lakini ambao wanajulikana ila wanaogopwa vikali. Hatujui sababu ya kuogopwa na serikali.

TOKA MAKTABA :
Brasilia, Brazil

Bolozi wa Tanzania nchini Brazil awasilisha hati za Utambulisho
June 27, 2017, 11:28 pm


Balozi wa Tanzania nchini Brazil Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil Mhe. Michel Temer, Tarehe 26 Juni, 2017. Rais Temer alisifu jitihada za Serikali ya Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kupigana na umasikini na kuleta maendeleo kwa wananchi. Brazil imeihakikishia kuunga mkono juhudi za Serikali ya Tanzania katika kufanikisha miradi mbalimbali ya ushirikiano.

Mhe. Rais Michel Temer na Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil Mhe. Aloysio Nunes Ferreira Filho (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, watatu kutoka kulia ni Mama Balozi Jane Nchimbi, Bw. Frank J. Mhina, Afisa Ubalozi na Mkuu wa Utawala; na Bw. Suleiman Abubakar Mombo (the Plenipotentiary Minister of the Embassy) yaani Afisa Mwandamizi wa Ubalozi.

Balozi Dkt. Nchimbi na Mama Balozi Jane Nchimbi, wakisindikizwa Mara baada ya kumaliza kuwasikisha hati za Utambulisho kwa Rais

Wasiojulikana wanafahamika na askari polisi wa Oysterbay Police Station na RPC wa Tanga katika kesi ya Sativa na ya Kombo Mbwana

View: https://m.youtube.com/watch?v=okVNdL59wLU
 
1726048879210.png
 
Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, watatu kutoka kulia ni Mama Balozi Jane Nchimbi, Bw. Frank J. Mhina, Afisa Ubalozi na Mkuu wa Utawala; na Bw. Suleiman Abubakar Mombo (the Plenipotentiary Minister of the Embassy) yaani Afisa Mwandamizi wa Ubalozi.
Katibu mkuu ni mtu aliye karibu sana na aliyekuwa afisa ubalozi ktk ubalozi wa Tanzania nchini Brazil ambaye sasa ni mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Suleiman Mombo.

Nchimbi asichukizwe na tamko la CHADEMA, bali iwe chachu ya kuichagiza serikali ya CCM na vyombo vya dola kulipata hili dude lililowahifadhi watu wasiojulikana wanaoteka watu, kushikilia kupoteza na kuua :


13 September 2024

SAKATA LA UTEKAJI CCM WATOA TAMKO KUPITIA NCHIMBI, WACHUKIZWA NA KAULI ZA CHADEMA


View: https://m.youtube.com/watch?v=wzhd5pVK0zs

Dr. Emmanuel Nchimbi na Suleiman Mombo wameishi jijini Brasil katika ubalozi wa Tanzania. Wameona na kusikia makundi ya kihalifu kule Ecuador, El Salvador na mataifa kadhaa ya bara la Latino Amerika ambayo yalikuja kuwa hatari siyo kwa raia tu bali hata serikali zilizo madarakani.

Ukaribu wa Katibu mkuu Emmanuel Nchiimbi na Mkuu wa Usalama wa Taifa Suleiman Mombo ni lulu ambayo ikitumika kwa uzuri na nia njema ya kukipata kikundi hiki cha wasiojulikana ni wakati huu wa sasa.

Dr. Emmanuel Nchimbi na mkuu Sukeiman Mombo waielekeze hali hiyo ya kuchukizwa kwa Kundi la Watu Wasiojulikana watumie ushawishi wao, rasilimali za serikali na waajiriwa safi wa vyombo vya ulinzi na usalama kuweza kuwatia mbaroni watu hawa wasiojulikana na kutupa umma mrejesho wa mafanikio ya kazi waliyopewa na mwenyekiti wa CCM ambaye ni rais wa JMT kuwasaka haraka watu hawa wanaoleta hofu kwa kuteka na kuua watu.
.PICHA TOKA MAKTABA :

Mhe. Rais Michel Temer na Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil Mhe. Aloysio Nunes Ferreira Filho (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, watatu kutoka kulia ni Mama Balozi Jane Nchimbi, Bw. Frank J. Mhina, Afisa Ubalozi na Mkuu wa Utawala; na Bw. Suleiman Abubakar Mombo (the Plenipotentiary Minister of the Embassy) yaani Afisa Mwandamizi wa Ubalozi.

Balozi Dkt. Nchimbi na Mama Balozi Jane Nchimbi, wakisindikizwa Mara baada ya kumaliza kuwasikisha hati za Utambulisho kwa Rais
 
Vita dhidi Makundi ya wahuni nchini Ecuador nchi ya bara la Amerika ya Kusini ambapo Tanzania inaweza kujifunza jinsi ya kupambana na makundi ya wahuni waliopachikwa watu wasiojulikana:

By Jorge R. Imbaquingo | March 21, 2024
President Noboa has deployed more than 30,000 soldiers and policemen to contain the chaos. While homicides have fallen, kidnappings and extortion remain high.
Ecuadorian soldiers carry out an anti-gang operation in Guayaquil on Feb. 5.

Ecuadorian soldiers carry out an anti-gang operation in Guayaquil on Feb. 5John Moore/Getty Images
FacebookXLinkedInThreadsEmailShare
Reading Time: 4 minutes
QUITO — Two months have passed since Ecuador’s President Daniel Noboa declared a “state of internal conflict” and deployed more than 30,000 security forces to deal with scenes of drug-related violence that shocked the country and, indeed, the world.

The emerging picture is of a very popular president, boasting an 80% approval rating as Ecuadorians rally behind his crackdown; an apparent decline in homicides, but persistent levels of other criminality, including kidnappings and extortion; and a great deal of information we simply don’t know, as the government seeks to control the narrative and hold the country together.

Noboa, just 36, had an unprecedented start to an unusually shortened term. Mostly reserved and soft-spoken, he has granted only a few interviews to local and international news outlets, maintaining nevertheless an upbeat tone about the outcome of the fight against organized crime.

“We have notably improved on issues like security, reducing dramatically the number of daily violent deaths that were the byproduct of a state overtaken by narcoterrorism,” he said in an interview with CNN en Español earlier this month. Most observers believe he is clearly paving the way to run again for the presidency at the next election in February 2025....
Read more : Ecuador's War on Drug Gangs: A Mixed Picture So Far
 
Huyu mwandishi Benjamini Mzinga ana mambo ya kichoko sana anabembelezea UDC na yeye .
 
Back
Top Bottom