Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Naogopa sana aseee# Sumu kaliKumsativa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa sana aseee# Sumu kaliKumsativa
Moderator wote muache kufuta nyuzi
Kwa Tanzania hakujawahi kuwepo kwa sanduku la kura.Ushindi ni kwenye sanduku la kura tu nje ya hapo hamna ushindi
Kwa mujibu wa Dkt.Nape kuna halali, nusu halali na haram ila inayotumika zaid ni haramKwa Tanzania hakujawahi kuwepo kwa sanduku la kura.
Yule ni Profesa wa wizi wa kura na huwa anajisifu hadharani.Kwa mujibu wa Dkt.Nape kuna halali, nusu halali na haram ila inayotumika zaid ni haram
Swali ambalo ninapenda kuuliza ni hili:Lakini umma wa ndani tayari kupitia kelele za wananchi zinampa mamlaka rais awashughulikie kwa mujubu wa sheria Maliyamungu na wavuta bangi wenzie wote waliopo katika Task Force.
Ile Taasisi nyeti Ina mamlaka sawa na aliyepo, shida ni haionekani.Kwa wale waliosomea Cuba tu ,
Naomba ufafanuzi kidogo kwa kile alichokisema Mzee Butiku na kukusisitiza kwamba
Tunaye Rais mmoja tu wa Tanzania 🇹🇿
Hatuna maraisi wawili wala watatu tunaye mmoja tu !
Ambaye ndiye anayetakiwa na Katiba kuiendesha Nchi kwa mujibu wa Sheria na kuilinda Katiba ya Nchi kama alivyoapa kuilinda !
Je Taasisi yake Mzee Butiku imehisi wapo wengine huko pembeni ndio wanaoleta hizi Tafrani ???!!
Sasa Si waache KAZI ikiwa imewashinda,kabla ya kuwahukumu, mna hela za kutunza familia zao endapo wakiwa serious kwenye kuhoji hao unaowataja?
Kilikuwepo,Swali ambalo ninapenda kuuliza ni hili:
Kwani hii "Task Force" iliundwa hasa kwa sababu zipi? Ni nani aliunda hii Kikosi Kazi?
nenda ukawe mwandishi. mwandishi anaripoti habari,sio habari unayoitaka ww. ndio maana kuna investigative journalists, newcasters nk. usi-generalize waandishi wa habariSasa Si waache KAZI ikiwa imewashinda,
Waandishi wenzao tunawaona gaza wakikwepa mabomu kupata habari, hapa wanawaogopa wajinga wajinga!!
Mkuu 'Rabbon', unajuwa hujanitendea haki hata kidogo!Kilikuwepo,
Ingawa hakikuwahi kuelekezwa kung'ata watoto ndani ya family!!
Kivipi,Mkuu 'Rabbon', unajuwa hujanitendea haki hata kidogo!
Sasa unaripoti habari bila kuchunguza ni ya Kweli au la?nenda ukawe mwandishi. mwandishi anaripoti habari,sio habari unayoitaka ww. ndio maana kuna investigative journalists, newcasters nk. usi-generalize waandishi wa habari
Walitekwa na kuumizwa na wengine wameuawa kabisaBy the way, investigative journalist wako wapi Nchi hii?
Ona huyuUshindi ni kwenye sanduku la kura tu nje ya hapo hamna ushindi
Waandishi ni waandishi tu kabla ya kuwaweka kimahsusi.nenda ukawe mwandishi. mwandishi anaripoti habari,sio habari unayoitaka ww. ndio maana kuna investigative journalists, newcasters nk. usi-generalize waandishi wa habari