KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
kabla ya kuwahukumu, mna hela za kutunza familia zao endapo wakiwa serious kwenye kuhoji hao unaowataja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaogopa kutekwa 😄kabla ya kuwahukumu, mna hela za kutunza familia zao endapo wakiwa serious kwenye kuhoji hao unaowataja?
Badala ya waandishi wa habari kwenda juwahoji viongizi wamekuwa wakikaa na kujiaminisha vijimaneno ya mtaani. Nenda kwa IGP, Waziri, Mkurugenzi wa usalama, Spika. Sio kukaa kaa tu na kusubiri uchawa. Wekeni tabia ya kwenda kuhoji wahusika mzee amewachambua sana
View: https://www.youtube.com/live/LTs471j6rZI?si=9LgE-leYyk3QxUas
Ni binadamu wenye hisia. Wakiwa waoga ni sawa wakiwa majasiri ni sawa..Wanaogopa kutekwa 😄
Ova
Wajilipue sasa waanze kuwabanaNi binadamu wenye hisia. Wakiwa waoga ni sawa wakiwa majasiri ni sawa..
Kufa kwaajili ya nchi kama TZ, kwakweli hapanaWajilipue sasa waanze kuwabana
Waanze na yule spika
Ova
Badala ya waandishi wa habari kwenda juwahoji viongizi wamekuwa wakikaa na kujiaminisha vijimaneno ya mtaani. Nenda kwa IGP, Waziri, Mkurugenzi wa usalama, Spika. Sio kukaa kaa tu na kusubiri uchawa. Wekeni tabia ya kwenda kuhoji wahusika mzee amewachambua sana
View: https://www.youtube.com/live/LTs471j6rZI?si=9LgE-leYyk3QxUas
Ushindi ni kwenye sanduku la kura tu nje ya hapo hamna ushindiChadema wameibuka washindi tena this time......wacha tu
Muda mwingi Wanaongelea mambo yanayo wavutia waoLakini Tanzania HATUNA waandishi wa habari tena haswa baada ya ujio wa hizi redio za kishikaji. Unakuta mtu anatangaza ila haelewi anatangaza ama anaelimisha nini jamii, anajikuta anaongea na kupiga story as if yuko kijiweni na marafiki zake. Redio binafsi zimeua kabisa tasnia ya habari na muziki wetu wa maana (dansi).
Mkuu nimekufuatilia namna unavyotiririka, kwa hakika unayajua mambo mengi ambayo members wengi humu hatuyajui na tunabaki kuyabishania.Huyu mtu Maliyamungu wa Tanzania na wenzie, inatakiwa apatikane, hata kwa kutolewa 'sadaka' si kwa kuuawa bali wafikishwe mahakamani na kuhukumiwa baada ya vyombo rasmi vya ulinzi na usalama kupewa meno kuwakamata ili amiri jeshi mkuu asalimike na fedheha hii kwa taifa, ijulikane kama je viliundwa na mtangulizi kiasi rais aliyepo anaagwaya kuvikabili.
Lakini umma wa ndani tayari kupitia kelele za wananchi zinampa mamlaka rais awashughulikie kwa mujubu wa sheria Maliyamungu na wavuta bangi wenzie wote waliopo katika Task Force.
Mzee Butiku inabidi apewe ulinzi.Wanaweza kumtekaLeo wamepigwa mvua...asante sana Mzee Butiku....
KumsativaMzee Butiku inabidi apewe ulinzi.Wanaweza kumteka
Unajuwa uwepo wa "Kikosi Kazi", unamjuwa kiongozi wa kikosi hicho? Atakuwa ni huyo huyo.Kundi kama hili kule Uganda ya Amini lilikuwa likiongozwa na Maliyamungu sasa hapa sijui linaongozwa na nani?!
Au ni Wahuni wa UVCCM?