Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Chadema wameibuka washindi tena this time......wacha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kuna watu hawajui kuwa vita (war) hujengwa kwa mapambano(Battles). Huwezi kushinda vita bila ya kushinda mapambano mengi.Chadema wameibuka washindi tena this time......wacha tu
Ewaaaaaa umeweka vyema sanaUnajua kuna watu hawajui kuwa vita (war) hujengwa kwa mapambano(Battles). Huwezi kushinda vita bila ya kushinda mapambano mengi.
CHADEMA hata kama bado haijashinda vita yake ya kuitoa CCM madarakani, lakini mara kadhaa imekuwa ikishinda mapambano.
Ingawa wakati mwingine ushindi huo huja kwa gharama ya uhai isiyotarajiwa lakini ni ya lazima (Collateral damage). Bado CHADEMA inasonga mbele.
Kwenye pambano hili kama ulivyosema, CHADEMA imeibuka tena mshindi.
On August 15th, 1988, Julius Nyerere, former president of Tanzania, gave a public lecture at a church in Managua. President Daniel Ortega spoke next.Liberation Theology in Latin America
By Olivia Singer
During the mid-20th century, disenchanted members of the clergy and the oppressed classes of Latin America united together to reinterpret the role of the Catholic Church in everyday society and to reclaim religion towards the pursuit of social justice. Liberation theology encouraged a break from an elitist notion of the Church and the return of control to the people. By involving the poor in their own liberation and offering Christianity as a tool towards a more perfect society, liberation theologians dramatically changed the relationship between not only the Church and the state, but also the Church and the people. Guided by the innovative Peruvian priest, Gustavo Gutiérrez, this movement reinvigorated marginalized people in Peru and throughout Latin America, while still utilizing a formal theological approach. Though ultimately opposed by the Vatican because of its radical leanings, liberation theology both permanently implicated the Church in the destiny of the oppressed and allowed for the participation of the poor in the future of the Catholic Church.
Photograph of Gustavo Gutiérrez Merino, courtesy of user Mohan
Rise of Liberation Theology
Throughout the 19th century, the Church aligned itself with the upper classes and only minimally addressed the grievances of the poor. The great Latin American independence movements, which had promised liberation and new hope through separation from the Iberian empire, only benefitted an elite sector of society, the light-skinned creoles (Tombs 27). Essentially, the creole class assumed the gaps in governance left behind by the peninsulares and did little to alleviate the struggles of the lower classes. These nationalistic uprisings maintained a Catholic church that tended to identify itself with the rich (Brown 9-10). Since religion had played a major role in the conquering of Latin America, the Church naturally aligned itself with the ruling elite (Tombs 15). Rather than a reflection of the people, the Catholic Church acted as a privileged model of success and power.
By the early 20th century, despite a consistent reinforcement of the status quo social structure, the Church began to exhibit evidence of slight moves towards a social tradition. The Church transitioned from simple encouragement of individual charity to an acknowledgement of distributive and social justice. Inspired by Leo XIII’s 1891 Rerum Novarum (Of New Matters), the notion of “an option for the poor” or special consideration for lower classes began to become more prominent (Tombs 44). Throughout this time period, Latin American states experienced growing urbanization and industrialization as efforts increased to create a more independent economic system through nationalizing programs like import substitution (Skidmore, Smith and Green 358). Such rapid economic changes led to increasing pressure for similar political and social reforms (Tombs 49-50). Rapid change forced the Church to either fall behind or reevaluate its practices if it wished to maintain its position of influence. One of the most important manifestations of a changing religious ideology was the advent of the Catholic Action movement. In Peru, this movement was led by Holguin of Arequipaand Farfán of Cusco, who established some separation between the Church and the state and introduced a more militant Catholicism (Peña 1994, 39). This initial organization helped to link social activists and leftists who would later work to create liberation theology (Peña 1995, 2). The Catholic Action movement helped to alter the role of religion in society, linking the Church to political action. These changes underlay a growing desire to break the allegiance between the Church and the rich. Slowly, the Church began to recognize the possibility of a crucial role in the world of the oppressed (Brown 9-10).
Pope Leo XII, author of Rerum Novarum, courtesy of the U.S. Library of Congress
Among these participants in the Catholic Action movement was Gustavo Gutiérrez, the most famous figure in the founding and promulgation of liberation theology (Peña 1994, 39). Gutiérrez was a Peruvian theologian and priest, ordained in 1959. Part Quechua Indian, Gutiérrez did not represent a part of Lima’s aristocracy, but rather rose from the oppressed class. As a result of his intellectual prowess and success as a student at San Marcos University, Gutiérrez was offered the opportunity to pursue graduate studies in Louvain, Belgium and Lyon, France, where he was exposed to the canon of traditional European theology (Brown 22). This experience abroad provided Gutiérrez with valuable intellectual skills and an understanding of traditional theology. Later on, such formal knowledge of the Catholic structure and teachings, when coupled with the views of the popular constituency, allowed for effective organizing and dramatic change (Peña 1994, 38). Upon his return from Europe, Gutiérrez began to realize how little the theories that he had learned abroad applied to the current situation of poverty and oppression in Latin America (Peña 1995, 5). The texts that he had studied covered in depth the path to salvation, but focused little on the physical situation of the poor. Gutiérrez felt that the Church had a duty to recognize these structural inadequacies and help the impoverished of Latin America. Hoping to address some of this social injustice, Gutiérrez became a lay militant of the Catholic Action movement as archdiocesan adviser and later national adviser to the UNEC (The National Union of Catholic Students) (Klaiber 238). Work for this movement allowed Gutiérrez to gain essential connections and networking opportunities that would later assist in the dissemination of liberation theology.
Moved by the Cuban Revolution of 1959 and increasing pressure for similar change, progressive clergy members began meeting to discuss the future of the Church and its role in the politics of society. CELAM or the Latin American Episcopal Conference worked to push the Second Ecumenical Council of the Vatican or Vatican II, a series of meetings from 1962 through 1965 that focused on Church unity and renewal, toward a more progressive stance. Vatican II represented an international conference where high-level Catholic religious figures rethought Church policy and discussed processes of modernization (Vatican II Online Documents). In 1968, CELAM organized a meeting in Medellin, Colombia, with the hope of supporting base ecclesiastic communities and continued reformation of the Church (Sigmund 23). It was at this conference that Gustavo Gutiérrez first presented the term “liberation theology” in a paper called “Toward a Theology of Liberation” in which he articulated a commitment to actions and expressed the importance of theology as critical evaluation, stating that “theology is reflection” (Tombs 105). The concepts referenced during this talk in 1968 were more clearly laid out in his 1971 magnum opus, “A Theology of Liberation.” In an atmosphere of increasing clerical reform, liberation theology emerged as a new way of “being human and Christian” (Gutiérrez in Gibellini, 2). A highly networked group of religious figures began a movement to align Christianity with the needs of the poor.
Major Components of Liberation Theology
Liberation theology looks to understand Christianity and religion through the salvific process of liberation. Such a theology does “not stop with reflecting on the world, but rather tries to be a part of the process through which the world is transformed” (Gutiérrez 1973, 12). People are encouraged to become active agents of their own destiny and in effect to liberate themselves from the confines of injustice. This theology extends beyond development to three distinct levels of real freedom or liberation, representing the aspirations of oppressed peoples, a means to look at history and a new approach to Biblical interpretation (Gutiérrez 1973). At the first level, the poor were to liberate themselves from economic exploitation. Overcoming poverty became a fundamental tenant of liberation theology. At the second level, the hope was liberation from fatalism, the recognition of free will. Lastly, at the theological level, liberation from sin would result in ultimate liberation and communion with God (Tombs 123-125). Espousing these three tenants helped to recognize the varying ways in which Catholic teachings could be applied, creating a space for liberation in both a worldly economic and highly spiritual sense.
By creating a process to overcome historical constraints, liberation theology presented the possibility of liberation at the political, existential and theological levels (Tombs 125). Rather than focusing solely on the potential of the afterlife, liberation theologians encouraged the pursuit of a satisfactory life on Earth. Proposing a “preferential option for the poor,” the Church was encouraged to extend its work to directly address the struggles of the impoverished and to work specifically to ameliorate “physical and spiritual oppression” (Sigmund 21-22). Rather than small ineffective reforms, liberation theology supported work towards systemic change and even the possibility of revolution as a means of freeing the poor from oppression (Hillar). While violence was not encouraged, it was justified as a possible last resort or necessity of the revolution (Lynch 1991). For the first time, formal religious theology used Biblical interpretation to promote the political and social influence of the Church in the empowerment of the poor.
Traditional Opposition to the Movement
Pope Benedict XVI during a trip to Brazil in 2007, courtesy of Agência Brasil
As followers of liberation theology grew in numbers, the Vatican felt increasingly threatened by the movement’s connections to radical movements and leftist tendencies. The Congregation for the Doctrine of the Faith, a part of the Vatican’s office, issued a number of critical instructions that questioned the movement’s Biblical usage and its emphasis on Marxist notions of class struggle. Then Prefect Joseph Cardinal Ratzinger (now Pope Benedict XVI) writes that the purpose of the instruction is to alert religious figures and the faithful of “the deviations, and risks of deviation, damaging to the faith…brought about by certain forms of liberation theology which use, in an insufficiently critical manner, concepts borrowed from various currents of Marxist thought” (CDF Vatican Website). The Vatican felt that the connection between the movement and Marxism where incompatible with Catholic teachings. Marx encourages class struggle and social disruption that conflicted with the traditional order and stability of the Church (Peña 1995). The Vatican feared that these forms of social unrest and questioning would weaken the power and influence of the Church.
However, the connections between Marxism and liberation theology are not as clear-cut as critics have tried to argue. Though liberation theology recognizes the power of man as a master of his own fate and proposes revolutionary praxis in a manner similar to Marxism, liberation theology lacks many fundamental aspects of Marxism. Liberation theology attempts to draw on certain aspects of Marxist theory, while denying others, which directly conflicts with Marx’s requirement that his work be taken as a whole. The theology makes no claims against the incompatibility between religion and empiricism and maintains Christian doctrine, which Marx vehemently opposed. When more carefully compared to each other, the sole clear connection between Marxism and liberation theology is a focus on empowering the poor and class struggle (Lynch 20, 26). Despite the fairly scant theoretical connections between the two, words like revolution and socialism linked and continued to link liberation theology with the highly controversial and often feared doctrine of Marx, preventing more widespread acceptance and formal approval of the Vatican. Opposing the notion of class struggle, supporters of traditional theology felt that the movement’s promotion of a “people’s church” could undermine Catholic institutions by departing from classic doctrine and weakening the authority of Catholic teachings (Peña 1995).
To some extent, the fears of the Vatican were indeed enacted by the liberation theology movement through the creation of Christian Base Communities (CEBs) and Theological Reflection workshops. Christian Base Communities were small Christian groups led by lay figures in individual towns or small areas that embodied the teachings of liberation theology. They encouraged popular participation and worked to try to avoid pastoral problems by creating an emphasis on community work and support. CEBs taught peasants basic skills like reading and writing along with religious teachings in an effort to empower and liberate them (Hillar). From these groups, the poor were able to organize and create a sense of unity that allowed for social questioning. Later into the movement, the base communities not only acted as a means to disseminate liberation theology, but also as a means of inspiration for the liberation theology movement. CEBs allowed the poor to direct the movement and to emphasize the struggle of the oppressed (Tombs 199).
Similar to the CEBs, Gustavo Gutiérrez organized the Jornadas de Reflexión (Theological Reflection Workshops). These workshops, held throughout the summer, allowed for discussion of liberation theology and created a space for dialogue between activists, theologians and all those who had an interest in learning about the theology. Initially started in 1971 with two hundred participants, the workshops grew over the 1970s and 80s to reach 2.496 participants by 1987 (Peña 1994, 42). The workshops created a space for popular exchange and allowed for deeper explanation of the concepts of the movement. The sense of power and autonomy that the CEBs and the Theological Reflection Workshops created within the lower classes was exactly what the Vatican had feared. The ability of the poor to work to redefine their own fate and their own relationship with the Church exemplified the kind of loss of traditional authority of which Ratzinger spoke. However, rather than the feared deviation from the Christian faith, this empowerment of the poor and inclusion of a popular sentiment created a more tangible way for the oppressed to access and interact with their Christianity. Though the opposition greatly feared this empowerment, liberation theology ands its programs undeniably educated and enhanced the lives of lower classes by providing the outlets and tools to more actively address their own situations.
Ultimate Decline and Lasting Impact of Liberation Theology
By the late 1980s and early 1990s, the movement had begun to lose its push as new economic and social concerns arose that liberation theology could not directly address. Even the once “new-age” theories of liberation began to seem outdated as notions of revolution and the hopes of the impoverished altered with the falling of the Berlin Wall and the continued rise of neoliberalism (Tombs 272). The Vatican’s continued pressure against the movement began to take its toll. By arguing that liberation theology could lead to disunity and excessive focus on material success, opposition was able to successfully undercut the more noble goals of this movement (Lynch 1994, 3). Evidence that the movement was clearly in retreat could be seen by the frequent changes that it began to undergo, leaving little certainty as to its true direction. A new focus on spirituality added an “other-worldly” dimension that liberation theologians had long sought to avoid. By arguing that this movement secularized the Christian faith and effectively rid Catholicism of its connection to the afterlife, John Paul II and other prominent religious leaders were able to quell the movement and alarm people enough to associate liberation theology with a loss of faith (Lynch 1994, 10). By the 1980s, the Catholic right proposed reconciliation theology in direct opposition to liberation theology. Supported by the Vatican, reconciliation theology suggested that by reconciling oneself to God and to others, conflict could be avoided and class struggle skirted (Peña 1995, 23). Essentially, the Vatican and more traditional sects of Catholicism proposed a watered-down version of the theology that avoided the physical and social disruption that liberation entailed.
Despite its ultimate fall in popularity, liberation theology changed the role of the Church in Peru and all of Latin America forever. By giving a voice and sense of empowerment to the impoverished, liberation theology held the Church accountable for the welfare of the lower class, recognizing the essential role of social justice in Christian teachings. This movement rethought the power structures of Latin American society and showed that religion could promote highly politicized campaigns. Although the prospect of radical change alarmed the Vatican, the potential for an uprising finally incorporated the voices of the poor in religious discourse. Religious figures like Gustavo Gutiérrez helped to use formal clerical training to integrate the liberation of the working class into Biblical interpretation. Followers of the movement demanded that the Church move beyond simple charity work towards a more active role in the promotion of social justice. Liberation theology brought the focus of the Church away from solely eternal salvation to the more pressing necessity of earthly liberation of the poor from oppression and suffering. Source : Liberation Theology in Latin America | Modern Latin America
TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO
Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu Watanzania wote na kuwaomba sisi sote tushirikiane kuunga mkono kwa dhati Rais wetu Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada anazofanya za kukomesha tabia mbaya zilizozuka katika Taifa letu za kulawiti, kuteka, kunyanyasa na kuua Watanzania wenzetu.
Tunaye Rais mmoja tu sio wawili wala watatu tuliye mkabidhi Katiba ya nchi yetu ili aitumie kuongoza Taifa letu na kulinda na kuhakikisha usalama wa Watanzania wote na wageni halali wanaoingia katika Taifa letu, na pia kulinda mali zetu. Huu ni wajibu wa Kikatiba wa Rais wetu anautekeleza kwaniaba yetu tumuunge mkono bila maswali.
Pili: kupendekeza kwa Watanzania wote, wananchi na viongozi, kukubali kwamba Taifa letu si la wauaji wala la wahuni, ni Taifa la watu wanaoishi kwa kuzingatia Katiba ya nchi yetu na sheria zinazotokana na Katiba hiyo sisi sote tunao wajibu wa kufuata na kutii Katiba yetu na sheria zote zinazotokana Katiba hiyo, na ambazo hazikiuki Katiba. Hakuna nafasi wala ruhusa kwa raia yoyote wa nchi hii kuishi nje ya utaratibu huu. Huu ndio msingi wa amani, umoja, na maendeleo yanayo shirikisha wananchi wote kwa faida yao. Kwa maana hii, sisi Watanzania ni wastaarabu.
Tusiseme hatuwajui wahalifu hao, tunawajua. Wanaishi miongoni mwetu na katika kaya zetu, wako ndani ya vyombo vyetu vya dola, wako makanisani na katika misikiti. Tunawajua, lazima serikali yetu iwajue. Kwahiyo Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaomba tumsaidie Rais kupata taarifa sahihi kuhusu wabaya wetu hao ili achukue hatua stahili. Anavyo vyombo vya dola vyenye majukumu mahsusi ya kumpa taarifa za uhakika. Nchi yetu imeviwezesha kuwa na uwezo wa kutosha wa utaalamu na
Waandishi wa habari wengi ni chawaNdicho alichokisema Mzee Butiku. Na nimependa anapowalaumu waandishi wa habari kupenda kutafuniwa Kila kitu.
TOKA MAKTABA :
Hivi hapa nikisoma kutoka maktaba kuhusu hii kesi ya komando Zangira alivyokamatwa, waliwezaje kuikamilisha bila kuua mtu :
Juma Thomas Zangira: Mtanzania wa kwanza kushtakiwa kwa kosa la Ujasusi (Espionage)
1. Usuli Takribani miongo minne na ushee hivi iliyopita, ilitokea kesi ya Ujasusi iliyomkabili Mtanzania, Juma Thomas Zangira. Kesi hiyo ya kihistoria na ya aina yake ilimstua si tu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere na Baraza zima la Mawaziri, bali pia ilizua kimuhemuhe kikubwa...www.jamiiforums.com
View: https://m.youtube.com/watch?v=oOR7rZHenKg
Kamanda mstaafu ACP Abdallah Mssika:
ACP (rtd) Abdallah Mssika Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza mtanzania Juma Thomas Zangira
kiongozi mtendaji wa mpelelezi kufuatilia ujasusi na intelejensia mtanzania Juma Thomas Zangira aliyepewa mafunzo ya hali ya juu ya usalama wa taifa na serikali ya Tanzania katika nchi mbalimbali bobevu za .....
View: https://m.youtube.com/watch?v=xBzwGCqiWp8
20181 6 April
"USALAMA WA TAIFA HAWARUHUSIWI KUKAMATA, KAZI ZAKE ZAWEKWA WAZI BUNGENI"
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni George Mkuchika amefafanua bungeni majukumu ya idara ya usalama wa Taifa kwa mujibu wa sheria huku akiainisha mipaka yake katika utendaji kazi
View: https://m.youtube.com/watch?v=3f46rGeV2_o
07 Juni 2023
SHERIA MPYA YA MAREKEBISHO YA USALAMA WA TAIFA
Wakili Livino Ngalimitumba akichambua muswada wa marekebisho wa sheria ya idara ya usalama wa taifa kwenye studio za Wakili TV ambao serikali iko mbioni kuwasilisha bungeni.
View: https://m.youtube.com/watch?v=Dm_SKZlnHBM&
Kama naona nuru kwa mbaaaali katikati ya giza tororoMwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amewaomba watanzania kushirikiana kupinga vitendo vibaya vya ulawiti, kuteka na kuuawa kwa watanzania vinavyoendelea nchini.
Amesema taifa letu si la wauwaji na wahuni, bali wananchi wanaishi kwa kufuata na kutiii katiba na sheria na wahalifu wanajulikana.
Amedai vyombo vya ulinzi na usalama vina nyenzo za kutosha kubaini wahalifu, na viongozi wa vyombo hivi wasituambie kwamba hawajui kinachoendelea nchini.
Vyombo vya ulinzi ni sehemu ya uhalifu hapa nchini. Ni mtu asiyejitambua tu anaweza kusubiri uchunguzi wa hao wahalifu.Mbona taarifa nyingi
Vyombo vya ulinzi vipewe nafasi vifanye uchunguzi vilete taarifa
Wameshasema wanachunguza sasa jamii itulie isubiri taarifa
Matamko yanatosha sasa
Ww ni sehemu ya waumini wa uhalifu hapa nchini, ndio maana unataka hao wahalifu wapewe nafasi ili watoe ripoti ya upotoshaji.Anasema wanajua wao wanasema hawajui hadi wachunguze sasa tumuamini mtu wa barabarani anayesema vyombo vya ulinzi vinajua yote au tuamini vyombo vya ulinzi wanaosema hatujui tutajua tukishachunguza
Binafsi nawaamini vyombo vya ulinzi na usalama kuliko taarifa za barabarani
Yes tunasubiri Mzee Walioba.Safi sana Mzee Butiku kwa kupaza sauti.
TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO
Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu Watanzania wote na kuwaomba sisi sote tushirikiane kuunga mkono kwa dhati Rais wetu Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada anazofanya za kukomesha tabia mbaya zilizozuka katika Taifa letu za kulawiti, kuteka, kunyanyasa na kuua Watanzania wenzetu.
Tunaye Rais mmoja tu sio wawili wala watatu tuliye mkabidhi Katiba ya nchi yetu ili aitumie kuongoza Taifa letu na kulinda na kuhakikisha usalama wa Watanzania wote na wageni halali wanaoingia katika Taifa letu, na pia kulinda mali zetu. Huu ni wajibu wa Kikatiba wa Rais wetu anautekeleza kwaniaba yetu tumuunge mkono bila maswali.
Pili: kupendekeza kwa Watanzania wote, wananchi na viongozi, kukubali kwamba Taifa letu si la wauaji wala la wahuni, ni Taifa la watu wanaoishi kwa kuzingatia Katiba ya nchi yetu na sheria zinazotokana na Katiba hiyo sisi sote tunao wajibu wa kufuata na kutii Katiba yetu na sheria zote zinazotokana Katiba hiyo, na ambazo hazikiuki Katiba. Hakuna nafasi wala ruhusa kwa raia yoyote wa nchi hii kuishi nje ya utaratibu huu. Huu ndio msingi wa amani, umoja, na maendeleo yanayo shirikisha wananchi wote kwa faida yao. Kwa maana hii, sisi Watanzania ni wastaarabu.
Tusiseme hatuwajui wahalifu hao, tunawajua. Wanaishi miongoni mwetu na katika kaya zetu, wako ndani ya vyombo vyetu vya dola, wako makanisani na katika misikiti. Tunawajua, lazima serikali yetu iwajue. Kwahiyo Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaomba tumsaidie Rais kupata taarifa sahihi kuhusu wabaya wetu hao ili achukue hatua stahili. Anavyo vyombo vya dola vyenye majukumu mahsusi ya kumpa taarifa za uhakika. Nchi yetu imeviwezesha kuwa na uwezo wa kutosha wa utaalamu na