Joseph Haule (Prof. Jay): Sasa nipo Imara, Namshukuru Rais Samia, Mbowe, Watanzania na Familia. See you soon

mkuu nafikiri ni dhana na hofu tu na labda unafiki wetu watz kuhusu ukimwi...mm sijawahi kusikia watz hata kumi kuanzia wagonjwa wenyewe hata ndugu zao wakisema wanaumwa au wamekufa kwa ukimwi but hayo magonjwa mengine yote tunayasema bila hofu yoyote..inashangaza sana kuogopa kusema ukimwi wakati statistics zinaonesha tuna waathirika zaidi ya 1.7miln..sasa hawa watu hawaumwi wala kufa?.hii taboo ya kuona ukimwi kama kitu kibaya sana na hakipo wakati ni ugonjwa kama malaria, cancer, TB, etc nadhani sio sahihi...au kwakuwa fikra ni kuwa ugonjwa unaotokana na tabia mbaya?sasa si bora kusema tu ili wengine wajue upo na kuacha!
 
Mwamba bado anaumwa aisee! Mpaka sura imebadilika!
 

Nachokiona kwa jamii yetu kuna watu bado wapo na tabia za unyanyapaaji ndio mana hata kama mtu ana hiyo shida wengi hawapendi kuweka wazi. Kwanza hakuna mwenye uhakika kama ni umeme kweli ama vipi na pia hata kama ni kweli si vyema kumtangaza kama mwenyewe hajataka iwe wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Bwana. Nitakufa nikifikisha 95 yrs huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…