Joseph Haule (Prof. Jay): Sasa nipo Imara, Namshukuru Rais Samia, Mbowe, Watanzania na Familia. See you soon

Yaani yeye mwenyewe kasema yupo imara. Halafu wewe ulivyo mjinga unasema hajapona vizuri.
Unashangaa kukonda wakati alikuwa anaumwa?
Kupungua mwili ni afya sana.
 
Sasa mtu kukosa pesa ya panadol wataka ilaumiwe serikali?
 
Sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Bwana. Nitakufa nikifikisha 95 yrs huko.
Kwa atttude yako hata ufikishe miaka 100 bado hutainjoi maisha , umejaa visasi na unafurahia sana mahangaiko ya watu. kama umeokoka basi dini huenda ina watu wa hovyo na wanafiki kupitiliza .
Kuna uzi ulikuwa unafurahia kuliona kaburi la mumeo , hapa unatangaza makuu ya bwana.
 
Mkuu hii ndio dawa na ukweli ambao wengi hawataki kuusikia.
 
Unataka kusema alikuwa anakunywa pombe katika kipindi chote cha mwaka mzima akiwa kitandani?.
Kwa nini usiseme dawa zimemfanya mdomo kuwa hivyo?
Tuache ujuaji
 
Wewe nawe,nilisema wapi ninafurahia?Nilisema now iam sure mme wangu yupo wapi.Sio kama zamani unaambiwa ninakwenda Mwanza,kumbe mtu yupo Serena hotel. Ninaongea facts.
 
Zile karanga wanameza kila kila siku naskia ni hatari sana...halafu zinaleta hasira sana..
Mtu wa ngwengwe unaweza kumuomba akupishe tu upite akakutolea povu hutaamini!!
Wana hasira sana,inabidi kuwaelewa tu.Akikuwekea hasira wewe mchukulie poa tu.Si yeye ni Madawa. Ila asante Mungu kuna hizo dawa,maana watu wangekufa sana.Dawa zimesaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…