Tuambie wewe mwerevu unayejua. Badala ya kutushambulia tunataka kujua alikuwa anaumwa nn toa maelezo alikuwa anaumwa kitu gani!Sio kweli nyie wajinga ndo mnataka kuandika pumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie wewe mwerevu unayejua. Badala ya kutushambulia tunataka kujua alikuwa anaumwa nn toa maelezo alikuwa anaumwa kitu gani!Sio kweli nyie wajinga ndo mnataka kuandika pumba
Mbona una kiranga sana we poyoyo??Huyo single mother Mkuu hajitambui na yupo depressed na mahusiano so achana naye.
We ni mke wake au wewe ninani Katika familia ya Prof jize ?Mnafiki mkubwa wewe. Ndiyo unajiona una utu sana kuliko tunaouliza . Nyambafu. Utakufa tu mbwa wewe
Cha ajabu ni nini?Nilikua nakuona una usmart kidogo kumbe ni wale wale tu!
Kwani Ukimwi si upo?Unakataa nini sasa?Ni Dr wake tu ndo anaweza thibitisha, na maDr % kubwa wana maadili hawana mihemko mitandaoni.
Nyie wachawi mlitaka prof Afe nasema mtakufa nyie na prof ataishi miaka ya KobeMbona una kiranga sana we poyoyo??
Sijui kwa nini wanawake wa jf wa namna hiyo wako na hasira hivi?Huyo single mother Mkuu hajitambui na yupo depressed na mahusiano so achana naye.
Toka Pina alipomchana kwamba ana ngoma, basi akawa anajitetea kila wimboSikuwahi kumuona akiwa na nywele nyingi huyu binaadamu.
Nakutakia afya njema Prof. J
"Walisema nina ngoma kwakua nilikonda ghafla, wanataka kunizika mapema mimi sijafa."
"Waliosema nina ngoma wengine tushafuki"
Povu la nn ? Wewe jibu swali la mleta uzi. Mbona kakonda sana?Ulivyoandika ..."huyu jamaa hajapona vizuri.Halafu mbona kakonda sana"...!?Umeonesha upumbavu wako wa Kigera-Etuma.Muulize mkewe akujibu kama kapona.".om.a niok.!
Single mother, nina hela,sina Ukimwi.Mnapenda kuhukumu watu Sana hamjui Kesho yenu Mbwa nyie singo maza mlio na laana WTF
Ukimwi wewe Kama unao endeleeni kumeza dawa proof Hana ukimwi na Dua zenu za kutaka prof jize Afe naomba ziwageukie nyie wachawiKwani Ukimwi si upo?Unakataa nini sasa?
Kuna visababishi kama vile mkojo ukikaanao sana utakiwi kubana hajaHvi ugonjwa wa Figo huwa unakuja ghafla kama ilivyokuwa kwa huyu mwamba? Au kuna visababisbishi vilivyoharibu figo???
Yaani mtu kaumwa muda wote huo halafu unauliza why amekonda sana? Watu mna masihara sana
Sasa si utulie ule Bata na sio kuzushia watu rumours kuwa wana Ukimwi Wakati hujawapima!?Single mother, nina hela,sina Ukimwi.
Yaani mtu kaumwa muda wote huo halafu unauliza why amekonda sana? Watu mna masihara sana
Kweli Mkuu Kama huyu singo maza mchawi VictoireWaafrika wengi wana vinasaba vya uchawi. Kuwaombea wenzao mabaya tu. Halafu wanafikiria kufa ni big deal. Kumbe wote tunakufa, tena kwa maajabu ya Mungu sasa, mgonjwa anaweza kubaki, mzima akatangulia mbele ya haki
mkuu kwani huo ugonjwa wa ukimwi why ukitajwa ni lazima uhitaji ruhusa ya daktari?.mbona tunataja kila siku watu kuumwa cancer, BP, nimonia, kisukari, malaria, homa, etc bila ruhusa ya madaktari?.hayo yote si ni magonjwa?.au tofauti yake ni nini hasa hadi moja kuonekana linahitaji ruhusa ya dokta kulitaja?Wewe ni daktari wake mkuu? Na hata kama ni daktari wake amekuruhusu useme ugonjwa wake kwa jamii?