Joseph Haule (Prof. Jay): Sasa nipo Imara, Namshukuru Rais Samia, Mbowe, Watanzania na Familia. See you soon

Mungu ni mwema sana, sifa na utukufu ni kwake, ubarikiwe sana!.
P
 
Single mother, nina hela,sina Ukimwi.
Malizia kabisa "Single mother, nina hela,sina Ukimwi na sitakufa " ili at least ushtue common sense , you seems to be lacking one !
Mazuri yote duniani ni blessings, na mabaya pia ni blessings .
Idea nzima ya maisha ipo so complicated, na hakuna guarantee ya chochote.
 
Mkuu kama ana ukimwi au ugonjwa mwingine si hadi yeye au daktari wake athibitishe?

Wagonjwa wengi wa moyo, pressure, cancer nk wanasema wazi kuwa wanaumwa, kama mtu hajasema kwa nini mzushe vitu hamna uhakika navyo?

Hoja hapa ni mtu kuja kujipa mamlaka ya kutangaza ugonjwa wa mwenzake wakati sio daktari wake, sio mwanafamilia wala mtu wa karibu. Huyo Victoire anadai ni Dr ila anaropokwa hovyo, hana ethics.
 
Yaani achqngiwe lkn ugonjwa wake usitajwe? Waliochangia kwenye uzi huu wanasema mwamba ana ukimwi uliosababisha Figo kufeli. Kama madai haya siyo kweli leta ya kwako
Mimi sio daktari wake, sio ndugu yake wala sio rafiki yake. Nawezaje kuleta ugonjwa wa mtu nisiyemfahamu vizuri kwenye jamii tena bila ruhusa yake. Acheni uchawi ndugu zangu, huu ni uchawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…