Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Asante mama Samia kwa kujali afya ya watanzania. Karibu Prof Jay tuendeleze maridhiano. Wale jamaa walimtelekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mama Samia kwa kujali afya ya watanzania. Karibu Prof Jay tuendeleze maridhiano. Wale jamaa walimtelekeza
Unaumwa zaidi ya mwaka utaacha kukonda, ukuumwa wiki tu unapungua tuache kuwa wachawi.Ulivyoandika ..."huyu jamaa hajapona vizuri.Halafu mbona kakonda sana"...!?Umeonesha upumbavu wako wa Kigera-Etuma.Muulize mkewe akujibu kama kapona.".om.a niok.
Ni wajibu wa serikali japo inafanya haya pale inapoona ina maslahi.Shukrani Kwa Serikali kupitia Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu (MB) Kwa kugharamia matibabu ya Profesa Jay.
Unataka kusema alikuwa anakunywa pombe katika kipindi chote cha mwaka mzima akiwa kitandani?.
Kwa nini usiseme dawa zimemfanya mdomo kuwa hivyo?
Tuache ujuaji
46 yrs
Itoshe kusema tu wewe ni mpumbavu na juha wa kutupwa.Asante mama Samia kwa kujali afya ya watanzania. Karibu Prof Jay tuendeleze maridhiano. Wale jamaa walimtelekeza
Wewe ndiye ulimpa huo UKIMWI!!??Ukimwi mbaya,jamaa kakonda kawa mdogo utafikiri ndo kwanza kamaliza form six.Sasa asiache dozi kabisa.
Ila pombe aisee john mtembezi akiwa mdomoni unaona hisi kabisa lips inawaka moto sasa kama ndio mtu wa kila siku lips lazm zibabukeInawezekana hufuatilii habari mwanzo kabisa alipolazwa walisema hao hao madaktari kwamba ana matatizo ya figo ambayo yamechangiwa na (1) Kutokujua na kuangalia afya yake (2) Pombe. Lakini huo mdomo kwa wanaojua umelika na ukilika hivyo ni kwasababu ya pombe. Kama unafikiri mimi nadanganya na hupendi mawazo yangu kasome jumbe za wengine.
Na azizi k je anakunywa sema nyie mnakejeli prof jay sijui mnamatatizo gani Mpo Kama mashetani tuIla pombe aisee john mtembezi akiwa mdomoni unaona hisi kabisa lips inawaka moto sasa kama ndio mtu wa kila siku lips lazm zibabuke
Sijamkejeli mtu wala hakuna sehemu nimemuandika prof nimezungumzia tu jinsi midomo inavyoweza kuathirika sabb ya pombe kaliNa azizi k je anakunywa sema nyie mnakejeli prof jay sijui mnamatatizo gani Mpo Kama mashetani tu
Oyaaa wewe ibilisi hii vita huwezi shindaUkimwi mbaya,jamaa kakonda kawa mdogo utafikiri ndo kwanza kamaliza form six.Sasa asiache dozi kabisa.
Kwahiyo tunakubaliana kwamba sio kila kifo ni mpango wa Mungu au sioAisee ana roho ngumu
Watu wengi wangepata huduma kama yake wasingekufa ni kukosa huduma tu na gharama kubwa
Huduma mbovu za afyaKwahiyo tunakubaliana kwamba sio kila kifo ni mpango wa Mungu au sio
Hivi hizi BIMA za serikali zina cover gharama za pmagonjwa kama haya ya muda mrefu na gharama kubwa?Mungu azidi kukubariki. Nilichogundua Watz wengi wanakufa kwa kukosa matibabu mazuri. Asingepata matibabu mazuri leo angekua kwa baba muumba.