ohohoooooo pascal umeisha anza kuleta njaa njyaa zako hapaKama sauti hii ni kweli..
then Spika wetu mpya ni Dr. TuliaVoices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
P
Itoshe kusema mkuu una unabii ndani yako hapo tunasubiri unabii kutimia tu.Kama sauti hii ni kweli..
then Spika wetu mpya ni Dr. TuliaVoices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
P
Hivyo tutegemee kwa Dr. Msukuma huenda akawa ajaehivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbukusa sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!
Kwani hilo ni la ajabu? CCM hawana heshima na elimu kabisa TZ ndo nchi yenye bunge ambapo profesa anaka na wadarasa la saba kujadili national issues, na sio lahisi kuona tofauti yao wakiwa wana jadiliMbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Dkt Joseph Musukuma amechukua fomu ya kugombea kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mchana huu hapa katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam. #MillardAyoUPDATES
View attachment 2076887
kwani bunge lenyewe unalionajee?? na ndiyo maana wenye akili tulimwelewa sana mchungaji msigwaaHivyo tutegemee kwa Dr. Msukuma huenda akawa ajae
Huyu ndio atafaa!Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
View attachment 2076891
Doctor Msukuma ni haki yake kikatiba hahahahahMbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
View attachment 2076891
Atatuwakilisha