Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sofa mojawapo ya kuwa spika ni kuwa na shahadaNi haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P
Hahahaha Kama nakuelewa vileKwani hilo ni laajabu? CCM hawana heshima na elimu kabisa TZ ndo nchi yenye bunge ambapo profesa anaka na wadarasa la saba kujadili national issues, na sio lahisi kuona tofauti yao wakiwa wana jadili
Kwa mgongo wa mzee mchongahivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbukusa sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!
Nyerere ndie amilfanyia mpango wa upinduaji meza. Bila Nyerere urais angeusikilizia radioni kama mimi na wewehivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbukusa sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!
Msukuma apewe kurw za ndiyo kwanz ana PhD jamani mkumbuke hilo🤣🤣🤣Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
View attachment 2076891
Wanasheria wanashida gani mkuuNi haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P
Pascal wewe hujitosi Mkuu?Ni haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P
Sifa ya Uspika ni kujua Kusoma na Kuandika .... Sifa ambayo Msukuma anaikidhi...!!Ni haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P
Itabidi na bunge limuajiri mkalimani ili awe anatafsiri vifungu mbalimbali vilivyoandikwa kwa kizunguMbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Dkt Joseph Musukuma amechukua fomu ya kugombea kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mchana huu hapa katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam. #MillardAyoUPDATES
View attachment 2076887
Twende na kusheku, ana PhD 😊😊Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Dkt Joseph Musukuma amechukua fomu ya kugombea kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mchana huu hapa katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam. #MillardAyoUPDATES
View attachment 2076887
Ni Darasa la 7 lkn Dr na amechukua fomu ya kuomba uspika was Mbuge mm ni miongoni wa watu wengi tunaona ana manufaa makubwa Sana ya kuwatumikia Wananchi kupitia Muhimili huuDarasa la 7 watapata spika
Hongera kwa kutumia haki yako kikatibaMbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
View attachment 2076891
Huyo ana PhD weweeeeeDarasa la 7 watapata spika