Huyo jamaa ile PhD aliyopewa uchochoroni ndio imempa confidence kihivyo..!!
Lakini yote ni sawa tu kwa sababu kwa hili wanaloita bunge mtu yeyote yule anaweza kuwa spika na labda hata huyo msukuma ni nafuu maanake hakuna bunge pale kwa maana halisi ya neno lenyewe, ile kwa lugha nzuri ni "Halmashauri Kuu ya Ccm".
Lakini yote ni sawa tu kwa sababu kwa hili wanaloita bunge mtu yeyote yule anaweza kuwa spika na labda hata huyo msukuma ni nafuu maanake hakuna bunge pale kwa maana halisi ya neno lenyewe, ile kwa lugha nzuri ni "Halmashauri Kuu ya Ccm".