Kibingu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 1,078
- 1,445
Atakatwa na mamaHakika huenda anaweza kujishindia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakatwa na mamaHakika huenda anaweza kujishindia.
Dr. Joseph Kasheku Musukuma ngoosha, yayaa mayoMbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Possibility ni kubwa ukiangalia na upepo unavyoonekana.Kama sauti hii ni kweli..
then Spika wetu mpya ni Dr. TuliaVoices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
P
Ni haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P