Joseph Kasheku Musukuma achukua Fomu ya kugombea Uspika

Joseph Kasheku Musukuma achukua Fomu ya kugombea Uspika

Pale taasisi ya kibunge inapoonekana ya mchezo mchezo tuu.
 
Wahenga walisema kwamba ''Msafara wa mamba haukosi kenge''
 
Kama sauti hii ni kweli..
then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia
P
Possibility ni kubwa ukiangalia na upepo unavyoonekana.

Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa vile ni loud speaker,anaweza akapata.
Lakini hapo Lusinde atakosa kampani.
 
Kwa vile ni loud speaker,anaweza akapata.
Lakini hapo Lusinde atakosa kampani.
Kweli hapo atakosa lakini hapana yupo Kishimba yule mbunge wa kahama.
 
Back
Top Bottom