Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtatuua kwa presha na hili litimu,tuacheni kwanza tupumueLakini aliyenipa habari ya Simba ni mwenzenu Mkuu, tena mwanachama hai kabisa.
Wadau wote tuliomsema hata kwa kebehi na dhihaka lakini imemsaidia sana ujue kuna nyakati adui aweza kukupa tahadhari yenye msaada kuliko rafiki aiseeHadi afya yake imeimarika! Nimeliona hilo na ni jambo la kheri.
Nashukuru kama unaamini andiko langu lilimgusa.
Hujamtaja Spencer. Kwa sasa hiki ndicho kichwa chake.Sina hofu na Boss Joe , ana vijana km Mustapha..Raj , Ommy hawa wote IT na Marketing wako vzr
Nadhani uwezo wa App na ubora wa contents ni vitu tofauti. Uwezo ni jinsi inavyofanya kazi ya kurusha vipindi bila kukwama kwama.Napenda sana unavyotoa taarifa sio kama wale wapumbavu wengine wanajifanya kuweka code ili waonekane wa maana.
But....
Streaming channel ya kibongo itakayokua sawa na Hulu, Netflix, Amazon Prime au Disney+ hapo anatupanga. Bado sana... Kwa bongo. Na kwa content zipi tulizonazo??
Oh! Kila la kheri kwa Joe. Inaweza kuwa biashara nzuri, ikiwa App itakuwa na vinavyopendwa na kizazi cha Milenia, maana chenyewe ndicho kipo sana online.View attachment 2975932
Ni Joe Kusaga tena…
Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa.
Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya burudani, Joseph Kusaga yuko mbioni kuja na App itakayokuwa katika mtindo unaoshabihiana na App maarufu ulimwenguni Netflix.
Ni App ya burudani…
Maudhui makubwa yatakayopatikana ndani ya App hiyo ni burudani. Zikiwemo series na movies za kibongo, habari za michezo na kutakuwemo pia na vipindi vya matukio ya wanamuziki wa Bongo Flava kama vile matukio wakati wa kuchukua video za nyimbo zao (behind the scenes)
Ni uwekezaji mkubwa!
Taarifa zinasema Joe Kusaga amefanya uwekezaji mkubwa sana katika App hiyo, kuanzia ununuzi wa vifaa vya kisasa vinavyosemekana kuwa na uwezo sawa na App nyingine kubwa za kimataifa kama Prime Video, Hulu, Netflix n.k
Pia itakuwa inapatikana kwenye TV za Smart na Android kama zilivyo hizo App nyingine.
Ni mradi wake binafsi.
Huu ni mradi binafsi wa Joe Kusaga nje ya miradi ya familia yake ambayo wanamiliki miradi mingi kwa pamoja ukiwemo Clouds media.
Pia ni mradi wake bila ya ushirika kama ilivyo Wasafi n.k
Kuzinduliwa June mwaka huu
Mpango wa awali wa uzinduzi ulikuwa tarehe 9 June ambayo ni siku ya kuzaliwa ya Joe Kusaga, lakini kuna mambo yalitokea yakapelekea uzinduzi kusogezwa mbele.
Licha ya changamoto hizo zilizojitokeza, bado uzinduzi utafanyika tarehe yoyote ndani ya mwezi huohuo (June).
Kupitia chanzo cheti,
Nifah.
That's a lot coming from you b..., nashukuru sana.Oh! Kila la kheri kwa Joe. Inaweza kuwa biashara nzuri, ikiwa App itakuwa na vinavyopendwa na kizazi cha Milenia, maana chenyewe ndicho kipo sana online.
Kingine, hongera sana mrembo Nifah kwa kuimarika sana kwenye uandishi wako. Umekuwa na mabadiliko makubwa sana siku hadi siku.
Uandishi safi kabisa unaojikita kwenye taarifa husika, bila 'takataka' zisizo na ulazima kwenye mada kuu. Kiukweli, umeimarika sana. Hongera.
Ova
Itakaa poa sana ila waboreshe content piaView attachment 2975932
Ni Joe Kusaga tena…
Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa.
Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya burudani, Joseph Kusaga yuko mbioni kuja na App itakayokuwa katika mtindo unaoshabihiana na App maarufu ulimwenguni Netflix.
Ni App ya burudani…
Maudhui makubwa yatakayopatikana ndani ya App hiyo ni burudani. Zikiwemo series na movies za kibongo, habari za michezo na kutakuwemo pia na vipindi vya matukio ya wanamuziki wa Bongo Flava kama vile matukio wakati wa kuchukua video za nyimbo zao (behind the scenes)
Ni uwekezaji mkubwa!
Taarifa zinasema Joe Kusaga amefanya uwekezaji mkubwa sana katika App hiyo, kuanzia ununuzi wa vifaa vya kisasa vinavyosemekana kuwa na uwezo sawa na App nyingine kubwa za kimataifa kama Prime Video, Hulu, Netflix n.k
Pia itakuwa inapatikana kwenye TV za Smart na Android kama zilivyo hizo App nyingine.
Ni mradi wake binafsi.
Huu ni mradi binafsi wa Joe Kusaga nje ya miradi ya familia yake ambayo wanamiliki miradi mingi kwa pamoja ukiwemo Clouds media.
Pia ni mradi wake bila ya ushirika kama ilivyo Wasafi n.k
Kuzinduliwa June mwaka huu
Mpango wa awali wa uzinduzi ulikuwa tarehe 9 June ambayo ni siku ya kuzaliwa ya Joe Kusaga, lakini kuna mambo yalitokea yakapelekea uzinduzi kusogezwa mbele.
Licha ya changamoto hizo zilizojitokeza, bado uzinduzi utafanyika tarehe yoyote ndani ya mwezi huohuo (June).
Kupitia chanzo cheti,
Nifah.
App kama hizo bongo zipo nyingi, swala ni mapokezi yake yatakuwaje. Bongo kwenye payment za application subscription fee bado tuko nyuma sana sana.View attachment 2975932
Ni Joe Kusaga tena…
Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa.
Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya burudani, Joseph Kusaga yuko mbioni kuja na App itakayokuwa katika mtindo unaoshabihiana na App maarufu ulimwenguni, Netflix.
Ni App ya burudani…
Maudhui makubwa yatakayopatikana ndani ya App hiyo ni burudani. Zikiwemo series na movies za kibongo, habari za michezo na kutakuwemo pia na vipindi vya matukio ya wanamuziki wa Bongo Flava kama vile matukio wakati wa kuchukua video za nyimbo zao (behind the scenes)
Ni uwekezaji mkubwa!
Taarifa zinasema Joe Kusaga amefanya uwekezaji mkubwa sana katika App hiyo, kuanzia ununuzi wa vifaa vya kisasa vinavyosemekana kuwa na uwezo sawa na App nyingine kubwa za kimataifa kama Prime Video, Hulu, Netflix n.k
Pia itakuwa inapatikana kwenye TV za Smart na Android kama zilivyo hizo App nyingine.
Ni mradi wake binafsi.
Huu ni mradi binafsi wa Joe Kusaga nje ya miradi ya familia yake ambayo wanamiliki miradi mingi kwa pamoja ukiwemo Clouds Media Group.
Pia ni mradi wake bila ya ushirika kama ilivyo Wasafi n.k
Kuzinduliwa June mwaka huu
Mpango wa awali wa uzinduzi ulikuwa tarehe 9 June ambayo ni siku ya kuzaliwa ya Joe Kusaga, lakini kuna mambo yalitokea yakapelekea uzinduzi kusogezwa mbele.
Licha ya changamoto hizo zilizojitokeza, bado uzinduzi utafanyika tarehe yoyote ndani ya mwezi huohuo (June).
Kupitia chanzo cheti,
Nifah.
Achana na ile ya kishamba sana ila ndani ya huu mwaka na last year zishatoka app kama 6 hivi za watu maharufu na zote zisha fail as we are speaking. Humo anataka kuzika hela yake tuIle ya TZ sweet heart iliishiaga wapi?
Fee kule ni buku, of course na content zake japokuwa hana legal permit za kuendesha app yake kwa Tanzania. Akicheza vizuri na subscription fee na content atatoboa ila kwa industry ya uigizaji saivi, hizo content nzuri hawezi kuzipata. Ngoja tumpe benefit of the doubtHilo nakubali Mkuu ila mbona Mange ameweza kutoboa? Issue ni content basi.
Sio buku kama buku, ni dola moja nadhani unaijua exchange rate yake sasa hivi.Fee kule ni buku, of course na content zake japokuwa hana legal permit za kuendesha app yake kwa Tanzania. Akicheza vizuri na subscription fee na content atatoboa ila kwa industry ya uigizaji saivi, hizo content nzuri hawezi kuzipata. Ngoja tumpe benefit of the doubt
Umemaliza kwenye Muha tuHii ni taarifa nzuri ...yule muha na yeye ataiga hii maana kwa ku copy vitu yuko vizuri
Maskini Warumi! Aendelee kupumzika kwa aman as Nifah anajitahid kuziba pengo lake.View attachment 2975932
Ni Joe Kusaga tena…
Waswahili husema mwenye nacho huongezwa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezwa.
Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikita zaidi kwenye tasnia ya burudani, Joseph 'Joe' Kusaga yuko mbioni kuja na App itakayokuwa katika mtindo unaoshabihiana na App maarufu ulimwenguni, Netflix.
Ni App ya burudani…
Maudhui makubwa yatakayopatikana ndani ya App hiyo ni burudani. Zikiwemo series na movies za kibongo, habari za michezo na kutakuwemo pia na vipindi vya matukio ya wanamuziki wa Bongo Flava kama vile matukio wakati wa kuchukua video za nyimbo zao (behind the scenes)
Ni uwekezaji mkubwa!
Taarifa zinasema Joe Kusaga amefanya uwekezaji mkubwa sana katika App hiyo, kuanzia ununuzi wa vifaa vya kisasa vinavyosemekana kuwa na uwezo sawa na App nyingine kubwa za kimataifa kama Prime Video, Hulu, Netflix n.k
Pia itakuwa inapatikana kwenye TV za Smart na Android kama zilivyo hizo App nyingine.
Ni mradi wake binafsi.
Huu ni mradi binafsi wa Joe Kusaga nje ya miradi ya familia yake ambayo wanamiliki miradi mingi kwa pamoja ukiwemo Clouds Media Group.
Pia ni mradi wake bila ya ushirika kama ilivyo Wasafi n.k
Kuzinduliwa June mwaka huu
Mpango wa awali wa uzinduzi ulikuwa tarehe 9 June ambayo ni siku ya kuzaliwa ya Joe Kusaga, lakini kuna mambo yalitokea yakapelekea uzinduzi kusogezwa mbele.
Licha ya changamoto hizo zilizojitokeza, bado uzinduzi utafanyika tarehe yoyote ndani ya mwezi huohuo (June).
Kupitia chanzo changu nyeti,
Nifah.
Kwamba uliweka andiko, alafu diomond akasoma na alafu akabadilika???Hadi afya yake imeimarika! Nimeliona hilo na ni jambo la kheri.
Nashukuru kama unaamini andiko langu lilimgusa.
Hukuona nilivyomwambia nashukuru kama anaamini andiko langu lilimgusa?Kwamba uliweka andiko, alafu diomond akasoma na alafu akabadilika???
Hizi ni bangi au?