Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Kwa mazingila ya wakati ule, tutakuwa tunamuonea bure Kabudi. Hali ilikuwa tete. Hata wale waliokuwa WANAUNGA MKONO JUHUDI, haikuwa kutoka moyoni. Mkamia naye, alishatoa ushuhuda wa yule Bwana, alivyokuwa hatari!