smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Yaani humu JF kuna watu wana majibu ya ajabu sana!! .....sijui nadhani wengi ni watoto wadogo! wa sec. hivi! hapo nisaw......... mna bahati umri umefichwa! km wewe utakuwa ni baba una watoto! ntacheka sana mpaka ninye!Ndio, alisema "majalalani kuna tabu sana".
juhudi zinafanywa PC kuwatambua waandishi! Paschael tu ndo kajiweka wazi kwa avatar moja lkn anazo nyingine tatu nafanya utoto huko!! hizi ameficha identity yake!
lkn hii ya ukweli anajibu kiukweli kweli!