Joseph Mbilinyi: Prof Kabudi ashitakiwe kwa kulidanganya taifa juu ya tril 360. Aliunga mkono udikteta enzi za hayati

Ndio, alisema "majalalani kuna tabu sana".
Yaani humu JF kuna watu wana majibu ya ajabu sana!! .....sijui nadhani wengi ni watoto wadogo! wa sec. hivi! hapo nisaw......... mna bahati umri umefichwa! km wewe utakuwa ni baba una watoto! ntacheka sana mpaka ninye!

juhudi zinafanywa PC kuwatambua waandishi! Paschael tu ndo kajiweka wazi kwa avatar moja lkn anazo nyingine tatu nafanya utoto huko!! hizi ameficha identity yake!

lkn hii ya ukweli anajibu kiukweli kweli!
 
Maneno umeandika mkuu.
1. Sikulinganisha hao wawili kwa maana ya Kabudi na Sugu. Kwani hao wenye makaratasi na Sugu wanatofauti gani katika kujenga hoja?
 
Tuanze na wao chadema waliokua wanabeza kurekebisha mikataba ya unyonyaji na Lisu wao!!…
Hizo bil700 na Twiga company zingetoka wap??? Kwa wanaofatilia mambo ataonekana poyoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…