Sugu Mkoloni huyo kutoka nje ya mbeya kaja kutawalawa wana mbeya safari hii Sugu lazima afungishwe virago mbeya sio koloni la wakinga
Ndiyo sisi mkuu, tulimuimbisha Jiwe nyimbo za peoplessssss powerrrrrrrr pale mwanjelwaKuna maeneo hapa nchini, hata hivyo vyombo vya dola vinashindwa vianzie wapi kufanya uharifu wao.
Mbeya ni moja ya eneo hilo. Heshima nyingi ziwaendee wana Mbeya.
Sugu mkinga wa sae tulia mnyakyusa wa tukuyu so tulia arudi tukuyu ndio wanamjua
Mnaingia kwenye uchaguzi kwa tume ile ile na sheria zile zile
Mkifuliwa msije kutupigia kelele
Mbeya mjini siyo ya wanyakyusa, Mbeya ni ya wasafwa
Kuna wanaume wana roho ngumu aisee!
Lakini msema kweli mpenzi wa Mungu, Sugu amebadilika sana. Sasa hivi akiongea unaona kabisa kiongozi anaongea. Na ukimsikiliza kwa makini unaona haiba na sauti yake inavutia/inashawishi kumsikiliza zaidi.
Sugu arudi akagombee makete kwa wakinga wenzie huko ndiko wanamjusSwadakta
Sugu arudi akagombee makete kwa wakinga wenzie huko ndiko wanamjus
Safari him mbeya mjini hashidi wafanyabiashara wakinga hawako tayari kumchangia na wengi biashara zao ziko hoi ikiwemo biashara ya hoteli ya sugu mwenyewe iko hoi inapumlia mashine safari hii pesa za mafisadi wakinga waliokuwa wakihonga watu wampigie sigh hazitakuwepo Aanze tu kujiandaa kisaikolojia na mideni aliyokopa kujenga hotel I ajiandae kukutana na madalali wa mahakama wa kuinadi kwa bei chee ya kutupwa
NI HIVI MTALETA MGAMBO WENU, MTALETA POLISI WENU, DED ATATANGAZA MATOKEO AKIWA AMEZUNGUKWA NA WANA WA MBEYA AMBAO TAYARI WATAKUWA NA MATOKEO YA VITUO VYOTE, TUNAJUA HIZO FIGISU MNAWEZA SANA KWENYE CHAGUZI ZA MARUDIO LAKINI HIZI CHAGUZI AMBAZO KUANZIA RAIS MPAKA DIWANI ANAKUWA ANAPAMBANA NA HALI YAKE, HAPA MBEYA TUTAZAA NA MTU, NA USHINDI NI ASUBUHI TU KABLA YA KUNYWA SUPU! TUTATUMIA MITA MIAMBILI KULINDA KURA LAKINI TUTAZAA NA MTU ATAKAYEPINDUA MAAMUZI YA WANA MBEYAMwaka huu sugu hapiti mbeya. HASHINDI MARK MY WORDS.
Sugu arudi akagombee makete kwa wakinga wenzie huko ndiko wanamjus
Safari him mbeya mjini hashidi wafanyabiashara wakinga hawako tayari kumchangia na wengi biashara zao ziko hoi ikiwemo biashara ya hoteli ya sugu mwenyewe iko hoi inapumlia mashine safari hii pesa za mafisadi wakinga waliokuwa wakihonga watu wampigie sigh hazitakuwepo Aanze tu kujiandaa kisaikolojia na mideni aliyokopa kujenga hotel I ajiandae kukutana na madalali wa mahakama wa kuinadi kwa bei chee ya kutupwa
Kwel izo akili nazoo.Huyu mama anabebwa na dola lakini tume ikiwa huru hata akigombea na kichaa kichaa atapita kwa kura nyingi sn
Hatimaye lile pambano la kisiasa la uzito wa juu ngazi ya ubunge Mbeya mjini sasa limethibitishwa.
Chizi maarifaMwaka huu sugu hapiti mbeya. HASHINDI MARK MY WORDS.