Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Hao walio vaa mask itakuwa wamevuta Millioni ngapi?Noma sana, kuna Mwehu Jana alikua anaulizia mishahara ya hao wajomba nikamwambia wakipata Dili chafu km hizo ndio zinawalipa zaidi hawachezi bure Dili chafu km hizo hapo tayari kamanda Awadhi na hao wavaa mask tayari account zao zinacheka balaa
Watafute uwaulize mwenyewe unaogopa nini kwani?Hao walio vaa mask itakuwa wamevuta Millioni ngapi?
Hahitaji kushinda kubaki madarakani; kwa nini huelewi?Mm nilisema na narudia tena kusema. Mama 2025 hashindi! Yani kiufup amejichimbia kaburi lake mwenyewe
Kwao Gen Z na Wewe unataka mabanzi kutoka Songwe mpaka Dar au?Ndo tumefikia huku?Kiongozi kupigwa adi kuumizwa kisa tu maagizo?Hata kama ni upinzan wana haki zao ya kuandamana bila kudhurika bwana.
Ndiyo maana akina sugu wanapata vipigo vya mbwa koko kwa kushindwa kuheshimu mamlakaUbaya aliutengeneza mwenyewe.
JAMANI NISHASEMA KAMA KUNA KIKUNDI CHA KIHARAKATI CHOCHOTE KINACHOLENGA KUFANYA MAPINDUZI YA KISIASA MIMI NIPO TAYARI TUINGIE MSITUNI TUWEKE KAMBI TUJIFUE, NIPO TAYARI JAMANISUGU YUPO MAHUTUTI HOSPITALI,DAR ES SALAAM.
1.Sugu anaongea kwa taabu sana na Sauti ya chini sana, kutoka Hospitali binafsi aliyopelekwa leo asubuhi.
2.Sugu alivamiwa na kupigwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Awadhi binafsi siyo kwa kutuma askari wa chini,
Kuanzia nje ya ofisi za Kanda ya Nyasa, Mkoani Mbeya kwa kushambuliwa kwa makofi baadae akawa anatumia rungu kabla ya askari wengine kuja kujumuika na Kamishina Awadhi Haji
3.Kamishina Awadhi Haji aliacha Kumpiga Sugu baada ya Askari wengine wengi kuja kuja kumsaidia kumshambulia Sugu sehemu mbalimbali za mwili wake.
4.Kamishina Awadhi Haji alipoacha kumpiga Sugu alihamia katika kumpiga Katibu Mkuu John Mnyika, ambapo alikuwa Mnyika anavutwa kwa nguvu na askari wanamuita mheshimiwa
Kamishina Awadhi ndiyo alikuwa mtu wa kwanza pia kumpiga Katibu Mkuu Mnyika huku akiwafokoea askari wengine kuita Mnyika Mheshimiwa,
"Waheshimiwa wapi hawa, hawa ni wahuni tu, wanataka kuvuruga amani ya nchi. Wanachezea nchi."
5. Katibu Mkuu John Mnyika na Sugu walipandishwa katika Landcruiser hardtop Pickup kwa kuwalaza kifudifudi na juu askari zaidi ya 8 waliokuwa nyuma waliwakanyaga kuanzia Mbeya hadi Makambako
Njiani, Mnyika na Sugu walipokuwa wanajitahidi kutengeneza mazingira ya kuweza vichwa vyao vizuri waweze kupua walipigwa sana marungu ya miguuni na migongoni.
6. Katibu Mkuu Mnyika alishushwa Makambako, kisha Sugu aliendelea na safari akiwa amelazwa pale chini kifudifudi vilevile.
7.Muda wote wa safari, askari waliokuwa wanawasindikiza Mnyika na Sugu walikuwa wamevaa vinyago "mask"
8.Sugu alifikishwa Iringa Juzi majira ya Saa 9 :00 usiku na kuwekwa mahabusu ya pekee yake.
9.Jana majira ya Saa 9 : 00 Jioni walimchukua Sugu kutoka Mahabusu ya Kituo cha Polisi Central, Iringa kwenda Dar es Saalam wakiwa na gari ndogo.
10 Majira ya Saa 5 :00 usiku Polisi walimfikisha Sugu katika kituo cha Polisi Central, Dar es saalam, akiwa anaumwa kiasi cha wao kuogopa kumuweka Mahabusu wala kumpa neno lolote.
11.Polisi Central, Dar es saalam walioona hali mbaya ya sugu tangu ashushwe katika gari kutokea Iringa waligoma kumpa PF (Kibali cha kwenda kutibiwa) na Waligoma wao kumpeleka Hospitali, Walimuitia teksi wakailipa Tsh 7,000/= Dereva atafute sehemu ya kulaza wageni ampeleke Sugu.
12. Kwa sasa Sugu yupo katika Matibabu, baada ya kupata majeraha sehemu za Mgongoni, Mbavuni, Kichwani na Miguuni sehemu ya ugoko.
13.Mwisho, sugu na Mnyika wameibiwa simu zao zote pamoja na fedha kiasi cha Dollar elfu tano na shilingi milioni 3 za Kitanzania.
Boniface Jacob (Ex Mayor)
=====
UPDATES: 1830HRS
======
View attachment 3068821
JamiiForums, imezungumza na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mrema, anaelezea:
Taarifa za Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi (Sugu) pamoja na Katibu Mkuu John Mnyika ni kati ya walioumiza wakati Polisi wanawakamata kwenye Ofisi zetu Mbeya, hatua ya sasa wameenda kwenye matibabu.
Bahati mbaya Jeshi la Polisi halikuwapeleka kwenye matibabu hata walipolalamika wana maumivu makali, Mnyika akipelekwa nyumbani kwake Dar, Sugu pia aliletwa Dar licha ya kuwa nyumbani kwake ni Mbeya. Wote hawana simu kwa sasa.
Sugu alipelekwa Hospitalini ndio lakini kama bado yupo amelazwa au ametoka hizo taarifa sina kwa sasa hadi niende nikamuone.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Hii nchi yetu sote Mbeya siyo Kizimkazi.Ndiyo maana akina sugu wanapata vipigo vya mbwa koko kwa kushindwa kuheshimu mamlaka
Duh! Kamanda Awadh katili sana!Hii nchi yetu sote Mbeya siyo Kizimkazi.
Nimerudia kusoma mara 4,nilipoangalia ID, nikajua hayo uliyoyaandika ni sababu fulani.Hongera zake Sugu kwa kupata kipigo cha mbwa koko. Nadhani sasa wataelewa maana halisi ya mamlaka ya rais. Alipofariki Dkt Magufuli sugu na genge lake walifanya sherehe za kupongezana na kumsifia sanaaa Dkt Samia. Ila wakasahau kuwa aliyefariki ni mmoja na mfumo wote upo kama ulivyo. Sasa naona watakumbuka na kumkumbuka Dkt Magufuli alivyokuwa anawapenda. Tunamtakia afya njema aje ashuhudie. Na hapo unaweza kuta mbowe ndiyo kaagiza apigwe mpaka afe ili asigombanie nafasi ya uenyekiti
Anajipendekeza apate u IGPDuh! Kamanda Awadh katili sana!
Bosi ukweli tunaelewa kabisa wapinzani wanaonewa ila ilikuwaje wakashangilia kifo cha Dkt Magufuli???? Inakuwaje wanaanzisha vikundi vya kumtukana Dkt Samia. Wakome kabisa. Tunahitaji taifa linalofuata misingi ya kuheshimiana na kuvumiliana.Nimerudia kusoma mara 4,nilipoangalia ID, nikajua hayo uliyoyaandika ni sababu fulani.
Pole sana na nakuombea kwa Yehova akufunulie kweli yake utoke umbumbuni.
Hivi huyu samia, abdul na genge lao wanataka kuleta maafa gani kwa nchi yetuSUGU YUPO MAHUTUTI HOSPITALI,DAR ES SALAAM.
1.Sugu anaongea kwa taabu sana na Sauti ya chini sana, kutoka Hospitali binafsi aliyopelekwa leo asubuhi.
2.Sugu alivamiwa na kupigwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Awadhi binafsi siyo kwa kutuma askari wa chini,
Kuanzia nje ya ofisi za Kanda ya Nyasa, Mkoani Mbeya kwa kushambuliwa kwa makofi baadae akawa anatumia rungu kabla ya askari wengine kuja kujumuika na Kamishina Awadhi Haji
3.Kamishina Awadhi Haji aliacha Kumpiga Sugu baada ya Askari wengine wengi kuja kuja kumsaidia kumshambulia Sugu sehemu mbalimbali za mwili wake.
4.Kamishina Awadhi Haji alipoacha kumpiga Sugu alihamia katika kumpiga Katibu Mkuu John Mnyika, ambapo alikuwa Mnyika anavutwa kwa nguvu na askari wanamuita mheshimiwa
Kamishina Awadhi ndiyo alikuwa mtu wa kwanza pia kumpiga Katibu Mkuu Mnyika huku akiwafokoea askari wengine kuita Mnyika Mheshimiwa,
"Waheshimiwa wapi hawa, hawa ni wahuni tu, wanataka kuvuruga amani ya nchi. Wanachezea nchi."
5. Katibu Mkuu John Mnyika na Sugu walipandishwa katika Landcruiser hardtop Pickup kwa kuwalaza kifudifudi na juu askari zaidi ya 8 waliokuwa nyuma waliwakanyaga kuanzia Mbeya hadi Makambako
Njiani, Mnyika na Sugu walipokuwa wanajitahidi kutengeneza mazingira ya kuweza vichwa vyao vizuri waweze kupua walipigwa sana marungu ya miguuni na migongoni.
6. Katibu Mkuu Mnyika alishushwa Makambako, kisha Sugu aliendelea na safari akiwa amelazwa pale chini kifudifudi vilevile.
7.Muda wote wa safari, askari waliokuwa wanawasindikiza Mnyika na Sugu walikuwa wamevaa vinyago "mask"
8.Sugu alifikishwa Iringa Juzi majira ya Saa 9 :00 usiku na kuwekwa mahabusu ya pekee yake.
9.Jana majira ya Saa 9 : 00 Jioni walimchukua Sugu kutoka Mahabusu ya Kituo cha Polisi Central, Iringa kwenda Dar es Saalam wakiwa na gari ndogo.
10 Majira ya Saa 5 :00 usiku Polisi walimfikisha Sugu katika kituo cha Polisi Central, Dar es saalam, akiwa anaumwa kiasi cha wao kuogopa kumuweka Mahabusu wala kumpa neno lolote.
11.Polisi Central, Dar es saalam walioona hali mbaya ya sugu tangu ashushwe katika gari kutokea Iringa waligoma kumpa PF (Kibali cha kwenda kutibiwa) na Waligoma wao kumpeleka Hospitali, Walimuitia teksi wakailipa Tsh 7,000/= Dereva atafute sehemu ya kulaza wageni ampeleke Sugu.
12. Kwa sasa Sugu yupo katika Matibabu, baada ya kupata majeraha sehemu za Mgongoni, Mbavuni, Kichwani na Miguuni sehemu ya ugoko.
13.Mwisho, sugu na Mnyika wameibiwa simu zao zote pamoja na fedha kiasi cha Dollar elfu tano na shilingi milioni 3 za Kitanzania.
Boniface Jacob (Ex Mayor)
=====
UPDATES: 1830HRS
======
View attachment 3068821
JamiiForums, imezungumza na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mrema, anaelezea:
Taarifa za Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi (Sugu) pamoja na Katibu Mkuu John Mnyika ni kati ya walioumiza wakati Polisi wanawakamata kwenye Ofisi zetu Mbeya, hatua ya sasa wameenda kwenye matibabu.
Bahati mbaya Jeshi la Polisi halikuwapeleka kwenye matibabu hata walipolalamika wana maumivu makali, Mnyika akipelekwa nyumbani kwake Dar, Sugu pia aliletwa Dar licha ya kuwa nyumbani kwake ni Mbeya. Wote hawana simu kwa sasa.
Sugu alipelekwa Hospitalini ndio lakini kama bado yupo amelazwa au ametoka hizo taarifa sina kwa sasa hadi niende nikamuone.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Naona wakati huu inawezekana ikawa hatari zaidi maana unaumizwa huku wanasmile πππWote walioshangilia kifo cha Magufuli laana iwatafune
Kwani wewe ni Afande nani?duh na ubonge wote ule kapigwa hadi mahututi? kwa maana kumpeleka mtu over weight kama yule chini unahitaji equal and opposite amount of force au zaidi, kweli duniani kuna mambo β¦
Unaacha siasa na kwenda kula zako tunda kimasikhara au sio?Ila mimi ningekuwa sugu kwa maendeleo aliyopata walahi ningeacha siasaaa..!
Hata Omar Mahita aliteuliwa kuwa IGP kwa sababu ya kuwapiga Wapinzani kwenye Siasa za Mwaka 1995.Anajipendekeza apate u IGP
Wewe utakuwa ni shetani la kizanzibari, pagani lisilo na akiliHongera zake Sugu kwa kupata kipigo cha mbwa koko. Nadhani sasa wataelewa maana halisi ya mamlaka ya rais. Alipofariki Dkt Magufuli sugu na genge lake walifanya sherehe za kupongezana na kumsifia sanaaa Dkt Samia. Ila wakasahau kuwa aliyefariki ni mmoja na mfumo wote upo kama ulivyo. Sasa naona watakumbuka na kumkumbuka Dkt Magufuli alivyokuwa anawapenda. Tunamtakia afya njema aje ashuhudie. Na hapo unaweza kuta mbowe ndiyo kaagiza apigwe mpaka afe ili asigombanie nafasi ya uenyekiti