Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Chadema kufuata ratiba tu hawawezi,

Wanaweza endesha nchi kweli??
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
kwahiyo hata kenya,Rwanda, Uganda,walichelewa ila Burudi tu ndio walio wahi?
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Makene anasema vingine kabisa. Ahh mambo haya balaaaa. Nani ni nani hapo.
 
Wakati mabeberu yamo ndani ya Chama tawala yanajinufaisha kwa kujaza matumbo, umaskini wa wagogo na wasukuma ndio mtaji wa mabeberu ya CCM.


TAL hajawahi kuwa balozi wa mabeberu ila amewahi kuikosoa serikali ya CCM hadi wajumbe wakaadhimia moyoni kuwa huyu ndugu hapaswi kuishi wakamtandika risasi lkn bahati mbaya Mungu sio Bashite TAL hajafa amerudi ili kuendelea na harakati za kuikomboa TZ iliyoharibiwa na mabeberu meusi ya CCM hakika lazima yaondolewe na waondoaji ni ss wananchi kitaeleweka tu Oct 28
Hii ni kweli kabisa.
Hata Kama Wakoloni hawakujilimbikizia Mali zisizo na faida kwa umma kama wanavyofanya watawala wetu na CCM wanavyofanya Leo.
Wanashindana kutumia fedha za umma kujenga mahema utafikiri wataishi milele. Bora wangeanzisha viwanda vikatoa ajira kwa wananchi.
Bora wangeanzisha mashamba makubwa yakatoa ajira.

Ubinafsi mtupu.
Kila mmoja anawaza kujenga kijijini kwake kwa kutumia fedha za ofisi ya umma. Huku ni kuendekeza ukabila na sio utaifa. Wenzetu wana maeneo rasmi ya viongozi wa umma na hata maeneo ya kuzika viongozi wa Umma .
Sio kila MTU kijijini kwake na kaburi lake. Serikali inapata gharama kubwa kulinda maeneo yasoyo na uzalishaji zaidi ya magofu ambayo hata watoto wao hawakai.

Afrika tumelogwa kwa ubinafsi.
Walijimilikisha nyumba zote za umma zilizokuwa maeneo bora kabisa lakini haikutosha wanataka na vijiji vyao viwe ni maeneo rasmi ya makazi yanayohudumiwa na kodi ya walalahoi wanaoishi kwa mlo mmoja kwa siku.
Woga wao ni kuhisi kuwa ipo siku wataishi maisha yao halisi kwa vipato vyao bila kubebwa na serikali. Lakini wamesahau kuwa watakufa siku moja na ufahari wao na kila aina ya dhulma waliyoihubiri na kuisimamia vitakua vimefika mwisho na waliojiona bila wao kuwa madarakani nchi haitatawalika watakua wamefikia mwisho na nchi itasonga mbele kizazi baada ya kizazi.

Haki huinua Taifa.
Tundu Lisu Mungu amjalie siku moja afikie mahali watu wamsifu Mungu kwa Wema wake. Hakika ni muujiza unaoishi. Ifikie mahali aondoe aibu awaite waandishi wa habari awaonyeshe Makovu ya Risasi yaliyopo mwilini mwake aliyoyapata kwa ajili ya kutetea hoja zake kwa mdomo aliopewa na mwenyezi Mungu.
Simuungi Mkono Mbowe kamwe kwa uovu anaoufanya ndani ya Chadema akishirikiana na Waovu ndani ya CCM wanaowaza fedha na Kujilimbikizia Mali kupitia Siasa Lakini napinga sana wale wasiojulikana Waliofanya unyama kwa Tundu Lisu MTU Wa watu na asiye sita kusema ukweli anaouamini.

Kuna vichaa bado wanamsakama Lisu kwa ajili ya kutetea mifumo miovu ya Kidhalimu na ubeberu wa watu weusi ndani ya CCM.Hao watatuletea shida sana kwenye nchi mana kizazi kipya hakiipendi CCM zaidi ya Wazee na Wajumbe wao.

Tumemuomba Mungu Korona ikatoweka sasa tumwombe Mungu amalize Tatizo la wakurugenzi kutuletea huzuni na vurugu na hata vifo na majeruhi kwa sababu ya kubadili matokeo ya uchaguzi. Hili ni tatizo kama ilivyo Korona. Linatugawa na kutupa viongozi waovu wabaowaza dhulma na rushwa ya madaraka kwa ubinafsi wao huku wakijisahau kuwa wao nao ni binadamu watakao toa hesabu zao mbele za Mungu siku moja.
 
Chadema uache utoto na kulialia
Walitaka waingie mwisho ili kuinua watu majukwaani
Sijui mshauri wao Ni Nani hawa wahuni
 
Mungu ataiondoa CCM kama alivyoiondoa Corona TZ
Hii ni kweli kabisa.
Hata Kama Wakoloni hawakujilimbikizia Mali zisizo na faida kwa umma kama wanavyofanya watawala wetu na CCM wanavyofanya Leo.
Wanashindana kutumia fedha za umma kujenga mahema utafikiri wataishi milele. Bora wangeanzisha viwanda vikatoa ajira kwa wananchi.
Bora wangeanzisha mashamba makubwa yakatoa ajira.

Ubinafsi mtupu.
Kila mmoja anawaza kujenga kijijini kwake kwa kutumia fedha za ofisi ya umma. Huku ni kuendekeza ukabila na sio utaifa. Wenzetu wana maeneo rasmi ya viongozi wa umma na hata maeneo ya kuzika viongozi wa Umma .
Sio kila MTU kijijini kwake na kaburi lake. Serikali inapata gharama kubwa kulinda maeneo yasoyo na uzalishaji zaidi ya magofu ambayo hata watoto wao hawakai.

Afrika tumelogwa kwa ubinafsi.
Walijimilikisha nyumba zote za umma zilizokuwa maeneo bora kabisa lakini haikutosha wanataka na vijiji vyao viwe ni maeneo rasmi ya makazi yanayohudumiwa na kodi ya walalahoi wanaoishi kwa mlo mmoja kwa siku.
Woga wao ni kuhisi kuwa ipo siku wataishi maisha yao halisi kwa vipato vyao bila kubebwa na serikali. Lakini wamesahau kuwa watakufa siku moja na ufahari wao na kila aina ya dhulma waliyoihubiri na kuisimamia vitakua vimefika mwisho na waliojiona bila wao kuwa madarakani nchi haitatawalika watakua wamefikia mwisho na nchi itasonga mbele kizazi baada ya kizazi.

Haki huinua Taifa.
Tundu Lisu Mungu amjalie siku moja afikie mahali watu wamsifu Mungu kwa Wema wake. Hakika ni muujiza unaoishi. Ifikie mahali aondoe aibu awaite waandishi wa habari awaonyeshe Makovu ya Risasi yaliyopo mwilini mwake aliyoyapata kwa ajili ya kutetea hoja zake kwa mdomo aliopewa na mwenyezi Mungu.
Simuungi Mkono Mbowe kamwe kwa uovu anaoufanya ndani ya Chadema akishirikiana na Waovu ndani ya CCM wanaowaza fedha na Kujilimbikizia Mali kupitia Siasa Lakini napinga sana wale wasiojulikana Waliofanya unyama kwa Tundu Lisu MTU Wa watu na asiye sita kusema ukweli anaouamini.

Kuna vichaa bado wanamsakama Lisu kwa ajili ya kutetea mifumo miovu ya Kidhalimu na ubeberu wa watu weusi ndani ya CCM.Hao watatuletea shida sana kwenye nchi mana kizazi kipya hakiipendi CCM zaidi ya Wazee na Wajumbe wao.

Tumemuomba Mungu Korona ikatoweka sasa tumwombe Mungu amalize Tatizo la wakurugenzi kutuletea huzuni na vurugu na hata vifo na majeruhi kwa sababu ya kubadili matokeo ya uchaguzi. Hili ni tatizo kama ilivyo Korona. Linatugawa na kutupa viongozi waovu wabaowaza dhulma na rushwa ya madaraka kwa ubinafsi wao huku wakijisahau kuwa wao nao ni binadamu watakao toa hesabu zao mbele za Mungu siku moja.
 
Ilikuwa hivi. Kulikuwa na hisia kwamba huenda Liisu akiingia uwanjani na viongozi wa Chadema kwenye kuaga mwili wa Mkapa watu wangelipuka kwa kelele na vifijo, na hiyo ingempa kiki sana ya kisiasa ukizingatia vyombo vya habari vilikuwapo na Watanzania wengi walikuwa wakiangalia tukio hili kupitia television.

Basi uamuzi ulifanywa kwamba hilo lizuiwe kwa namna moja au nyingine.

Ndipo pendekezo likatolewa. Chadema wapewe muda wa kufika uwanjani ambao utawafanya wafike baada ya Raisi Magufuli kuingia, na hivyo waambiwe kwamba hawaruhusiwi kuingia. KIla mtu akashangilia jinsi mpango huo ulivyokuwa wa kijinias!

KIlichofuatia ni utekelezaji.

Lakini tuawaambie wazi wale waliopanga mpango huu - kwamba nadhani inafikia mahali mnavuka mpaka katika kukabiliana na upinzani. Huu ni utoto na uonevu. Mnamwogopa Lisu?
 
Ilikuwa hivi. Kulikuwa na hisia kwamba huenda Liisu akiingia uwanjani na viongozi wa Chadema kwenye kuaga mwili wa Mkapa watu wangelipuka kwa kelele na vifijo, na hiyo ingempa kiki sana ya kisiasa ukizingatia vyombo vya habari vilikuwapo na Watanzania wengi walikuwa wakiangalia tukio hili kupitia television.

Basi uamuzi ulifanywa kwamba hilo lizuiwe kwa namna moja au nyingine.

Ndipo pendekezo likatolewa. Chadema wapewe muda wa kufika uwanjani ambao utawafanya wafike baada ya Raisi Magufuli kuingia, na hivyo waambiwe kwamba hawaruhusiwi kuingia. KIla mtu akashangilia jinsi mpango huo ulivyokuwa wa kijinias!

KIlichofuatia ni utekelezaji.

Lakini tuawaambie wazi wale waliopanga mpango huu - kwamba nadhani inafikia mahali mnavuka mpaka katika kukabiliana na upinzani. Huu ni utoto na uonevu. Mnamwogopa Lisu?
Ngumu kumeza
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Waambie
 
Ilikuwa hivi. Kulikuwa na hisia kwamba huenda Liisu akiingia uwanjani na viongozi wa Chadema kwenye kuaga mwili wa Mkapa watu wangelipuka kwa kelele na vifijo, na hiyo ingempa kiki sana ya kisiasa ukizingatia vyombo vya habari vilikuwapo na Watanzania wengi walikuwa wakiangalia tukio hili kupitia television.

Basi uamuzi ulifanywa kwamba hilo lizuiwe kwa namna moja au nyingine.

Ndipo pendekezo likatolewa. Chadema wapewe muda wa kufika uwanjani ambao utawafanya wafike baada ya Raisi Magufuli kuingia, na hivyo waambiwe kwamba hawaruhusiwi kuingia. KIla mtu akashangilia jinsi mpango huo ulivyokuwa wa kijinias!

KIlichofuatia ni utekelezaji.

Lakini tuawaambie wazi wale waliopanga mpango huu - kwamba nadhani inafikia mahali mnavuka mpaka katika kukabiliana na upinzani. Huu ni utoto na uonevu. Mnamwogopa Lisu?
Umemalizaaaaaah
 
Hakuna binadamu aliye sahihi, hajazaliwa bado
Hata usiseme hivyo! Mimi tu Nyarusare ndiyo siyo mnafiki Duniani, sIjawahi kuwa mnafiki , na sinto.. tatizo ni wale wanao niona mimi ni Mnafiki, na kutafakari akilini na Myoyoni mwao hivyo wanionavyo!
 
Back
Top Bottom