Tatizo wanasiasa wanawza sababisha nchi kupata shida kwa kupenda cheap politics kuliko true hard facts na kuzingatia utaalamu
Hungary serikali iliangushwa baada ya serikali kukosa pesa za pension watu wanastaafu pesa hazipo na waliostaafu hawalipwi
Serikali iwe imara sana kwenye hilo kuna nguvu kubwa ya kutaka kumsambaratisha Mama Samia ayumbe na mifuko iyumbe .Mbio za 2025 zimeanza magenge ya wahuni yamejipanga kutafuta mwanya raisi aonekane mbaya kwa kumbeagia zigo la kikokotoo wakati bunge hilohilo ndilo lilipitisha
Wabunge wanaopinga ni sehemu ya hilo kundi lililojipanga kuhakikisha Mama Samia anachafuka aonekane kuwa yeye ndie 9isa chs kikokotoo kibaya na kuwa wao wameshauri ila yeye hataki kubadilisha Na hao wahuni hilo genge liko bungeni na CCM .Unasikia na huko kwenye chama wameanza wanasema ohh tumesikia tutampelekea Mama ili aamue. Ni.msikivu Yote hiyo kukulenga kukutwisha tu zigo lielekee kwako kana kwamba wewe tu ndio mwenye kauli na sio wataalamu Badala ya kusimama waxi na kutamka kuwa kikokotoo kilipitia hatua mbalimba za kitaalamu sio za kisiasa pekee kufikia hapo
Ushauri kwa Mama Samia tulia .Hili kundi linalopiga yowe huko ndani ya bunge na CCM ni la wahuni wachache genge linalotaka usirudi 2025.Ni wachache .TAKE NOTE.
La pili Mama Samia tulia kundi la watu wanaostaafu sasa hivi ni wachache mno ambao hawana uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa kura 2025.Kelele ni nyingi kuliko idadi ya wapiga kelele.Waweza omba idadi ya watu wanaostaafu kuanzia sasa hadi 2025 ni wachache mno.Usiumie kichwa sana as if ni big issue
Tatu Utulie kwa sababu pia katika hao wanaostaafu asilimia kubwa hicho kikokotoo wanakifurahia sana.Wanafurahi kwa sababu moja wao kabla ya hiki kikokotoo walikuwa wanalipwa asilimia 25 lakini baada ya hiki kikokotoo kipya kuja wanalipwa asilimia 33.Hivyo hako kagenge kanakolilia kulipwa asilimia 50 ni ka watu wachache sana ambao hata kikura hawana impact yeyote kwenye uchaguzi .Hata wasipokupigia kura sawa tu
Nchi kutulia ni pamoja na mifuko ya Pension kuwa na utulivu kwa kuwa na pesa endelevu za kulipa wanaostaafu na watakaostaafu mbeleni.Kikokotoo kipya kinaweka huo utulivu.Kukiyumbisha kutayumbisha mifuko
Raisi usikubali kundi la watu wachache wayumbishe mifuko .Maana ya uongozi kuna wakati lazima kusimama kwenye mstari bila kuyumba ili mifuko isiyumbe.Ukilala unalala for ukijua pesa za pension za malipo kwa wastaafu wa sasa zipo na za wa baadaye zipo Be very stable kwenye hili Simba jike kama unavyojiita
Sio wanasiasa, ni sheria ya kimataifa, wewe hopeless huna maana
Sheria ndio inataka mwajiriwa alipwe mafao yake, sio wanasiasa na hizo 15% ziko kisheria, sio hisani ya wanasiasa.
Na sbb hujui kitu kabla ya sheria hii mpya, watumishi wa Umma thru PSPF yaani Central Government walikuwa wanapata kwa mkupuo 73% wakistaafu, wewe pumbafu hujui kitu..!!
Na sbb wewe unaangalia asilimia tu, kabla ya sheria hii mbovu mpya, kikokotoo kilibadiliwa denominator, from 540 to 580 in the formula ambayo ukipewe sasa 25% ya zamani ni kubwa kwenye mafao kuliko 33% ya sasa kwa formula ya denominator kubwaa walioeka, so wakacheza na formula sio asilimia tu toka 25% kwenda 33% ukidhania asilimia kupanda na mafao yalipanda, sbb wewe nyoko hujui kitu, hiyo 33% ya sasa sbb walicheza na formula ni ndogo kwa hela unazopata kuliko 25% kwa formula ya zamani, kumbuka kimahesabu ukibadili formula huwezi tena linganisha percentage za zamani na sasa, sbb formula ni tofauti, hivyo ukipewa 25% ya malipo kwa formula ya zamani ni kubwa kuliko 33% ya formula mpya, yaani wameongeza denominator kuwa 580 from 540 hii imeharibu kabisa mafao na kupata kiwango kidogo sana sanaa, sijui wewe nyoko kama unaelewa, hivi unanielewa wewe mjinga, don’t compare the current percentage of 33% with previous one of 25% sbb formula ni tofauti, huwezi linganisha hapo, formula mpya inaibiwa watumishi sbb wameweka denimonator kubwaa kupunguza mafao, so hakuna kulinganisha %, ni vitu viwili tofauti, hivi wewe blind minded unaelewa?
Na watumishi wa umma wa Serikali Kuu, walikuwa wanapata kwa mkupuo 73% ya mafao yao kwa formula ya zamani, sio hiki kikokotoo kimya chenye formula tofauti, hivyo sio kuangalia tu asilimia % eti 33% imepanda wakati formula wamebadili kushusha mafao ya watumishi, formula ya zamani ndio itakupa mafao nafuu kwa watumishi, wewe nyoko kazi yako kungalia asilimia tu, sbb ni punguani mkubwa, hujui % ni zao la formula, so ukicheza na formula kupunguza mafao ya watumishi, asilimia nao inabadilika, formula ndio tatizo, sio asilimia..!! Na huwezi linganisha ya zamani na sasa kwa % sbb ni formula tofauti, umeelewa you shithole.
Na acha kukariri eti mwajiri asichangie wastaafu 15% ya mshahara, hii ni internatinal law, sio wanasiasa wameweka, kuna sheria zinalinda haki za watumishi, sbb wewe hujui kitu, kichwa kibuyu, unafikiria ni wanasiasa ndio wameweka, eti ukapinge mahakamani, hivi unafikiria majaji huko courts ni wapuuzi kama wewe, tahira kabisa