Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi

Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi

Your stupid.. imagine Daktari bingwa wa upasuaji Moyo/ ubongo/ tumbo/ akina Mama.. muda wote anawaza kutibu watoto wako... hana biashara huko nje ... hana mambo mengi.. yeye anawqza kufanya operation kuokoa maisha yako.. leo unamtukanA....!!!
Kueleweshana na watanzania ni sawa na kutangwa maji kwenye kinu.

Mimi naomba mungu hiyo mei mosi huyo ‘bi-tozo’ aamuru mpewe hiyo 50%, halafu muone in five years kama hiyo mifuko itaweza kulipa hata 10% withdrawal achilia mbali 33%.

Unalipa 20% kwa sasa ukistaafu malipo yako kwa mwezi upewi hata 11% ya mshahara wako tena wanakupa kwa miaka 12.5 afadhali ata ingekuwa wanakulipa for the remaining life. Maana yake nini hawana hela.

Serikali aitaki kuwaambia ukweli tu mfuko chali na pengine awawezi peleka hiyo 15% au kulipa madeni. Wamekuja na salvage plan ya walau watu waambulie kitu zaidi ya 5% ya michango yao wanapostaafu kama malipo ya mwezi na mpate 33% ya entitlement kama kiinua mgongo..

Very shortsighted people kila mkielezwa with diplomatic language amtaki kuelewa. Wawape hiyo 50% halafu tuone watakaostaafu in 5 years time kama watapata hata hiyo withdrawal ya 10% kwa hali ya sasa ya mfuko. Ni watu ambao you can’t use your imagination to see the long impact hatua zisipochukuliwa mapema kunusuru madhara zaidi ya mbeleni.

Wapewe halafu huko mbele uweke hii post kichwani yakitokea awawezi lipa ujiulize mimi na wewe nani selfish.

Mambo mengine ni kama tairi la formula 1 ukiambiwa ili ni la kwenda 20 laps only kwa speed ya 200mph. Sasa kama utaki kuelewa somo ukapitiliza 20 laps ukiwa 200mph likikupasikia kupona ni wewe na mungu wako.

CAG kila siku anawaambia mifuko chali kuna investments za hovyo na madeni ya serikali ya miaka hayajalipwa, michango kucheleweshwa amtaki kuelewa. Mpewe hizo 50% mnazotaka very rigid thinking people.
 
Yaani anmtetea mtu ambae amekaa nyumba ya serikali miaka 30 bure kashindwa kujenga ndani ya muda huo. Watanzania inabidi tujifunze wengine wanavyoishi huko.

Nchi zilizoendelea ukipata benefits zifuatazo bure, kama nyumba, gari full time, mafuta, furnishing, matunzo ya nyumba. Tax man atakwambia hizo ni ‘benefits in kind’.

Nyumba itaangaliwa thamani yake ya kukodisha sokoni utalipa percentage fulani ya market rent value kama kodi, mafuta utapigiwa bei ya mwezi unayogharamiwa utalipa kama kodi, furniture za nyumba zikizidi kiwango kinachoruhusiwa excess utalipa kama kodi.

Hakuna vya bure bure huko na bado mtu anastaafu na nyumba nzuri tu kwa sababu akiwa kwenye benefits za taasisi anaokoa hela nyingi tu. Yaani Tanzania mtu anataka kumuhurumia mtu alieishi miaka 20-30 kwa benefits luluki ambazo free.

Anahitajika mtu wa kuwabadili fikra watanzania.
Wewe na mashaka na kichwa chako.
 
Msiwafanye wananchi wajinga nyie wafanyakazi wa serikali

Wananchi inabidi tuingie mitaani kupinga asilimia 15 serikali iliyowachangia michango ya pension kila mwezi kutokana na kodi zetu iondolewe kwenye kikokotoo h8cho kioya haraka

Haiwezekani mnalipwa mishahara wengine hata ajira hawana mnachangia mifuko ya pension asilimia 5 tu halafu serikali inakamua tena walipa kodi inawachangia asilimia 15 kila mwezi mifuko ya pension Huo ni wizi .Hizo asilimia 15 kama zimo humo.kwenye kikotoo zitolewe zirudi hazina zipelekwe kwa vijana wasio na ajira wakajiajiri nyie chukueni pension asilimia tano tu mlizochangia

Kodi zetu hizo asilimia 15 tunazitaka wananchi ..Mnalipwa mara mbili nyie wafanyakazu wa serikali kwanza mnalipwa mishahara halafu tena mnalipiwa asilimia 15 ya michango ya pension .Hilo haliko sawa .Hizo asilimia 15 ziende kwenye mfuko wa kusaidia wasio na ajira wakiwa naxo nao watachangia asimia tano

Nyie wafanyakazi wa serikali na wabunge ndio mnaokula sana keki ya nchi.Wafanyakazi tunataka asilimia 15 hiyo irudi hazina msiichukue chukueni asilimia tano yenu hiyo ndio haki yenu

Kikokoto kipya kitoe hizo asilimia 15 mtakapolipwa sio zenu hizo zenu asilimia 5 ndio zenu

Kikokotoo cha sasa kijizi kinaibia kodi za wananchi asilimia 15 wanazochangiwa na serikali mifuko ya pension .Hiyo asilimia 15 iondolewe kwenye kikokotoo
Kisicho riziki akiliki kijana, mtumishi wa umma ana haki ya kuwekewa mazingira rafiki ya ufanyaji kazi pamoja na motisha ili kuongea ufanisi katika kazi.
 
Kodi zetu hizo asilimia 15 tunazitaka wananchi ..Mnalipwa mara mbili nyie wafanyakazu wa serikali kwanza mnalipwa mishahara halafu tena mnalipiwa asilimia 15 ya michango ya pension .Hilo haliko sawa
Anza na Salma Kikwete anayechangia 0% PSSSF lakini analipwa Millions for nothing
 
Wewe na mashaka na kichwa chako.
Kichwa changu hakina impact katika maisha yako ya kila siku uhitaji kukifikiria surely una mambo mengine ya kuweza ku-occupy kichwa chako kuliko kufikiria in details members wa JF.

Elewa tu hadi kufikia hayo maamuzi ya kikotoo washafanya ‘time series forecasting’ zao wana estimate ya michango ya mbele, forecasts za future interests earned kutokana na investments zao, reserve cash needed to meet current and future obligation na kuona uwezo wao wa kumudu hadi kukupa hiko kikokotoo.

Sasa wewe jifanye unajua sana unataka 50% withdrawal meli inazama hiyo usije kulia humu huko mbele ukiwa unaenda kudai pension yako wanakusumbua rudi kesho hadi mwaka unaisha.

Wazungu wanamsemo ‘it’s only easy if you know it’, sasa ngoja ‘bi-tozo’ ajipindue ndio huko mbele mtaelewa watu kama sisi tupo upande wa serikali au watumishi wasijekosa kabisa.
 
Kichwa changu hakina impact katika maisha yako ya kila siku uhitaji kukifikiria surely una mambo mengine ya kuweza ku-occupy kichwa chako kuliko kufikiria in details members wa JF.

Elewa tu hadi kufikia hayo maamuzi ya kikotoo washafanya ‘time series forecasting’ zao wana estimate ya michango ya mbele, forecasts za future interests earned kutokana na investments zao, reserved cash needed to meet current and future obligation na kuona uwezo wao hadi kukupa hiko kikokotoo.

Sasa wewe jifanye unajua sana unataka 50% withdrawal meli inazama hiyo usije kulia humu huko mbele ukiwa unaenda kudai pension yako wanakusumbua rudi kesho hadi mwaka unaisha.

Wazungu wanamsemo ‘it’s only easy if you know it’, sasa ngoja ‘bi-tozo’ ajipindue ndio huko mbele mtaelewa watu kama sisi tupo upande wa serikali au watumishi wasisumbuliwe.
Kuna hatua nyingine wanaweza kuchukua tofauti na hiki kikokoto kuhakikisha sustainability ya mfuko. Wafanye hivyo
 
Yaani anmtetea mtu ambae amekaa nyumba ya serikali miaka 30 bure kashindwa kujenga ndani ya muda huo. Watanzania inabidi tujifunze wengine wanavyoishi huko.

Nchi zilizoendelea ukipata benefits zifuatazo bure, kama nyumba, gari full time, mafuta, furnishing, matunzo ya nyumba. Tax man atakwambia hizo ni ‘benefits in kind’.

Nyumba itaangaliwa thamani yake ya kukodisha sokoni utalipa percentage fulani ya market rent value kama kodi, mafuta utapigiwa bei ya mwezi unayogharamiwa utalipa kama kodi, furniture za nyumba zikizidi kiwango kinachoruhusiwa excess utalipa kama kodi.

Hakuna vya bure bure huko na bado mtu anastaafu na nyumba nzuri tu kwa sababu akiwa kwenye benefits za taasisi anaokoa hela nyingi tu. Yaani Tanzania mtu anataka kumuhurumia mtu alieishi miaka 20-30 kwa benefits luluki ambazo free.

Anahitajika mtu wa kuwabadili fikra watanzania.
Uwe muelewa.Ni watumishi wangapi Tanzania wanaishi nyumba za bure za serikali?Ndiyo maana huwa nakuuliza maswali ya kipuuzi ili ujifunze kitu.Fumbua macho wewe balozi wa nyumba kumi mkusanya michango ya misiba kitongojini(siyo meya)!
 
Kuna hatua nyingine wanaweza kuchukua tofauti na hiki kikokoto kuhakikisha sustainability ya mfuko. Wafanye hivyo
Hatua gani?

Unafahamu time series forecasting lengo ni nini? Au unadhani hiko kikotoo wamejipangia.

Vinginevyo ili uje na counter argument yao unahitaji data za wachangiaji wa leo, historical data za final year average of various groups, current investments portfolio and interest earnings, risk za payments delays kutoka serikalini na mambo luluki ili uweze kufanya time series forecasts zako uone kama una uwezo wa kulipa zaidi.

Haya sio mambo ya kuropoka tu wanaweza bila ya kutumia data. Sasa CAG ambae anakagua anakwambia pension sio sustainable actions are needed to save it.

Pension wamefanya wanavyoweza to limit the risks of failing to meet their obligations completely, wewe unajua zaidi yao they can do better.

Nikikuuliza how so? Najua Una maelezo yenye financial logic. I don’t nani wakutiliq mashaka kati ya kichwa chako na changu.

Ni watu mnaoshi kwenye dunia, thinking things just happen by wishful thinking. Mwambieni huyo mama yenu athubutu kwenda na hiko kikokotoo tuone huko mbele kama mtapata hata hayo malipo.

👋
 
watumishi wafundishwe manufaa ya kikokotoo, mbona kuna mbunge alisema ni kizuri sana
 
Uwe muelewa.Ni watumishi wangapi Tanzania wanaishi nyumba za bure za serikali?Ndiyo maana huwa nakuuliza maswali ya kipuuzi ili ujifunze kitu.Fumbua macho wewe balozi wa nyumba kumi mkusanya michango ya misiba kitongojini(siyo meya)!
Sasa nifanye kazi gani kila siku unanipa wazo jipya mara nikusanye michango ya misiba, leo niwe balozi wa nyumba kumi kumi huko hata sijui kuna michango gani ya kukusanya; hasa huku uswahilini kwetu buku tu mną analalama kutoa.
 
Sasa nifanye kazi gani kila siku unanipa wazo jipya mara nikusanye michango ya misiba, leo niwe balozi wa nyumba kumi kumi huko hata sijui kuna michango gani ya kukusanya; hasa huku uswahilini kwetu buku tu mną analalama kutoa.
Jifunze uraghibishi.Fanya ushawishi.Kuvutia hadhira.
 
Hatua gani?

Unafahamu time series forecasting lengo ni nini? Au unadhani hiko kikotoo wamejipangia.

Vinginevyo ili uje na counter argument yao unahitaji data za wachangiaji wa leo, historical data za final year average of various groups, current investments portfolio and interest earnings, risk za payments delays kutoka serikalini na mambo luluki ili uweze kufanya time series forecasts zako uone kama una uwezo wa kulipa zaidi.

Haya sio mambo ya kuropoka tu wanaweza bila ya kutumia data. Sasa CAG ambae anakagua anakwambia pension sio sustainable actions are needed to save it.

Pension wamefanya wanavyoweza to limit the risks of failing to meet their obligations completely, wewe unajua zaidi yao they can do better.

Nikikuuliza how so? Najua Una maelezo yenye financial logic. I don’t nani wakutiliq mashaka kati ya kichwa chako na changu.

Ni watu mnaoshi kwenye dunia, thinking things just happen by wishful thinking. Mwambieni huyo mama yenu athubutu kwenda na hiko kikokotoo tuone huko mbele kama mtapata hata hayo malipo.

👋
Mbona mambo yanajulikana yaliyopelekea mifuko hiyo kutaka kupoteza uwezo wa kuhudumia wateja wake. Kilichofanyika ni kumuwajibisha A kwa kosa la B.
 
Mbona mambo yanajulikana yaliyopelekea mifuko hiyo kutaka kupoteza uwezo wa kuhudumia wateja wake. Kilichofanyika ni kumuwajibisha A kwa kosa la B.
Wewe umesema kuna option wanaweza lipa hiyo 50%. Tuelezee how hiko ndio tunachosubiri sio historia ya mifuko ilipotokea hizo habari kuna source luluki wote tunaweza kwenda kujisomea.

Muhimu ni maelezo ya vipi unadhani wanaweza lipa hiyo lump-sum ya 50%. Kwa hali yao ya sasa.
 
Wewe umesema kuna option wanaweza lipa hiyo 50%. Tuelezee how hiko ndio tunachosubiri sio historia ya mifuko ilipotokea hizo habari kuna source luluki wote tunaweza kwenda kujisomea.

Muhimu ni maelezo ya vipi unadhani wanaweza lipa hiyo lump-sum ya 50%. Kwa hali yao ya sasa.
Nenda kapitie Kutoka kwenye hizo source mbalimbali Utapata majibu ya nini kifanyike badala ya kumuwajibisha A kwa kosa la B
 
Back
Top Bottom