Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Kama ujawahi kuniona nikichangia kwenye mada za field yako maana yake nina limited knowledge huko.Kijana huwezi kuwa mjuzi wa kila kitu hata wewe nikikuleta kwenye field yangu utajionea mazingaombwe tu. Kuna vitu havihitaji terminology nyingi kama unavyotaka kuaminisha umma kwa viterminology vyako.
Hili nimechangia kwasababu linanihusu moja kwa moja. Wala sihitaji kuwa na PhD ya uchumi kutambua kikokoto cha sasa kina umiza mtumishi wa umma.Kama ujawahi kuniona nikichangia kwenye mada za field yako maana yake nina limited knowledge huko.
Halikadhalika na wewe utakiwi kuchangia mada ambazo unajua una limited knowledge kibaya zaidi unakebei watu, ilhali uwezi justify hoja zako.
Sijawahi ata siku moja kusema najua kila kitu, hayo ni mawazo yako tu.
Ukisoma uwezo wako wa asili wa uelewa unaondoka/kufutiwa na unaingia/kupokea kichwani kwako mawazo ya watu wengine.Kile ulichosoma.Elimu yetu imeshindwa kutusaidia, Bunge Lina watu wanaojiita wasomi ila hakuna wanachoisaidia nchi, mtu kama Msukuma mnaomwita Kilaza sio msomi ndio anaongea vitu vya kueleweka kuliko hata hao wanaojiita wasomi
Upo sahihi kabisaHajawahi kuwa mjinga,ni vile tu tumeamua asiye na vyeti vya darasani aitwe mjinga.
Kama ungenambia niingie bungeni kuchagua wabunge ambao michango ni relevant na maisha halisi ya wananchi,ningeanza na musukuma halafu kishimba.
Hawa wasomi wenu hakuna kitu wanafanya humo bungeni zaidi ya kugonga meza.
We jamaa chenga na boya kweli. Kwa taarifa yako wafanyakazi ndiyo walipa kodi wakubwa kuliko wafanyabiashara na nyie watu wa mtaani. Tena wafanyakazi hawana pa kukwepea hiyo kodi kama walivyo wafanyakazi na watu wa mtaani. Unawaonea husda wafanyakazi kwao wao ndio waliokutuma uache shule na hivyo kukosa ajira rasmi?Msiwafanye wananchi wajinga nyie wafanyakazi wa serikali
Wananchi inabidi tuingie mitaani kupinga asilimia 15 serikali iliyowachangia michango ya pension kila mwezi kutokana na kodi zetu iondolewe kwenye kikokotoo h8cho kioya haraka
Haiwezekani mnalipwa mishahara wengine hata ajira hawana mnachangia mifuko ya pension asilimia 5 tu halafu serikali inakamua tena walipa kodi inawachangia asilimia 15 kila mwezi mifuko ya pension Huo ni wizi .Hizo asilimia 15 kama zimo humo.kwenye kikotoo zitolewe zirudi hazina zipelekwe kwa vijana wasio na ajira wakajiajiri nyie chukueni pension asilimia tano tu mlizochangia
Kodi zetu hizo asilimia 15 tunazitaka wananchi ..Mnalipwa mara mbili nyie wafanyakazu wa serikali kwanza mnalipwa mishahara halafu tena mnalipiwa asilimia 15 ya michango ya pension .Hilo haliko sawa .Hizo asilimia 15 ziende kwenye mfuko wa kusaidia wasio na ajira wakiwa naxo nao watachangia asimia tano
Nyie wafanyakazi wa serikali na wabunge ndio mnaokula sana keki ya nchi.Wafanyakazi tunataka asilimia 15 hiyo irudi hazina msiichukue chukueni asilimia tano yenu hiyo ndio haki yenu
Kikokoto kipya kitoe hizo asilimia 15 mtakapolipwa sio zenu hizo zenu asilimia 5 ndio zenu
Kikokotoo cha sasa kijizi kinaibia kodi za wananchi asilimia 15 wanazochangiwa na serikali mifuko ya pension .Hiyo asilimia 15 iondolewe kwenye kikokotoo
Kwa mtizamo wako ni wastaafu watarajiwa wangapi wanaoingia kwenye hilo kundi la kupata hizo benifits? Acha porojo za google kwenye uhalisia wa maisha ya mtanzania.Yaani anmtetea mtu ambae amekaa nyumba ya serikali miaka 30 bure kashindwa kujenga ndani ya muda huo. Watanzania inabidi tujifunze wengine wanavyoishi huko.
Nchi zilizoendelea ukipata benefits zifuatazo bure, kama nyumba, gari full time, mafuta, furnishing, matunzo ya nyumba. Tax man atakwambia hizo ni ‘benefits in kind’.
Nyumba itaangaliwa thamani yake ya kukodisha sokoni utalipa percentage fulani ya market rent value kama kodi, mafuta utapigiwa bei ya mwezi unayogharamiwa utalipa kama kodi, furniture za nyumba zikizidi kiwango kinachoruhusiwa excess utalipa kama kodi.
Hakuna vya bure bure huko na bado mtu anastaafu na nyumba nzuri tu kwa sababu akiwa kwenye benefits za taasisi anaokoa hela nyingi tu. Yaani Tanzania mtu anataka kumuhurumia mtu alieishi miaka 20-30 kwa benefits luluki ambazo free.
Anahitajika mtu wa kuwabadili fikra watanzania.
Ideal ungeweka hizo evidence tujadili.
Anyway jioni njema JF nayo ukiendekeza ufanyi shughuli zingine.
Ciao 👋
Mishahara kuwa midogo ndio tatizo! mishahara ingekuwa inakidhinwalau nusu ya mahitaji ya watumishi, ningeungana na wewe.
Mimi sipo kutetea upokwaji wa haki za watu, natoa tahadhari tu CAG amesema mara kadhaa ‘financial position’ ya mifuko ipo hatarani.Mishahara kuwa midogo ndio tatizo! mishahara ingekuwa inakidhinwalau nusu ya mahitaji ya watumishi, ningeungana na wewe.