BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mtakatifu Joseph Selasini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana nmeliona pale Hongera baa linakata masangaZee hovyo Sana hili
Linaonekana zee huni huni tu Hili jizi si jizi..tapeli si tapeli...wewe age hiyo.unabadilisha marangi kichwani kweli?Jana nmeliona pale Hongera baa linakata masanga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1529782
Nilipomuona tu ameanza kupaka kalikiti hivi amefanana na Bi Gudencia Kabaka nikajua hakuna kitu ataongea zaidi ya utopolo mtupu
View attachment 1529817
Pole mkuuHuyu mzee ni mpumbavu aliyepindukia. Mods nisameheni. Kwa iyo siasa zinazobeba hatma ya maisha yetu watanzania yeye anataka tuzichukulie kama fursa za kimaisha?????
Huyu mtu bora aliondoka Chama makini chadema. Kwa akili hizi anastahili kuwepo huko NCCR au CCM ambalo watu wanachukulia hatma za maisha zetu kama fursa zao za kiuchumi.
Kanipa hasira sana. Ndo mana nchi hii hatuendelei kwa kweli. Akili kama hizi hazitakiwi kabisa kuwepo kwenye kada ya uongozi
Lol hivi umefikiria nini aisee!! Nimecheka kinyamaa!! Ha ha ha haaa!!View attachment 1529782
Nilipomuona tu ameanza kupaka kalikiti hivi amefanana na Bi Gudencia Kabaka nikajua hakuna kitu ataongea zaidi ya utopolo mtupu
View attachment 1529817
Hicho ndicho walichobakiza kwa Sasa.Wasubiri teuzi
Kiongozi bora ni yule mwenye maono na msimamo thabiti. Hao vijana pamoja na Selasini wameonyesha wazi hawana sifa hizi. Waache wavune walichopanda.Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.
Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.
"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.
CC: Lijualikali.
JF raha sana 😂😂😂😂😂View attachment 1529782
Nilipomuona tu ameanza kupaka kalikiti hivi amefanana na Bi Gudencia Kabaka nikajua hakuna kitu ataongea zaidi ya utopolo mtupu
View attachment 1529817
Word of wisdomKwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
Mbunge wetu wa zamani sasa zilipendwaHuyo kishapotea jumla
Jamaa kanuidhi sana ndugu. Ndo mana wanacheza na maisha yetu hawa wahuniPole mkuu
Kuitwa Mheshimiwa nako ni rahaMtu ana 250M halafu bado unalialia nini?Hivi kujiajiri huwa anaimbiwa nani?mbona watu wakitemwa uongozi wanaanza kulia hovyo,Umeshapata exposure na mtaji kwanini usijiajiri na kuajiri wenzako.