Uchaguzi 2020 Joseph Selasini, aviangukia vyama kuwasamehe vijana walioshindwa kura za maoni baada ya kuvihama vyama vyao

Huyu Selasini tangu alivyoleta bungeni hoja ya ombi kwa wanaume wa Kenya wakuwasaidia kingono wake za watu huko Rombo nimempunguza pakubwa sana! Ni tapeli wa siasa haaminiki!
 
Pole mkuu
 
Yeye alihama CHADEMA kwenda nccr kwa mbwembwe, hivyo naye anaomba asamehewe arudi CHADEMA au wanaotangatanga ni vijana peke yao?!
 
Kiongozi bora ni yule mwenye maono na msimamo thabiti. Hao vijana pamoja na Selasini wameonyesha wazi hawana sifa hizi. Waache wavune walichopanda.
 
Mtu ana 250M halafu bado unalialia nini?Hivi kujiajiri huwa anaimbiwa nani?mbona watu wakitemwa uongozi wanaanza kulia hovyo,Umeshapata exposure na mtaji kwanini usijiajiri na kuajiri wenzako.
 
Mtu ana 250M halafu bado unalialia nini?Hivi kujiajiri huwa anaimbiwa nani?mbona watu wakitemwa uongozi wanaanza kulia hovyo,Umeshapata exposure na mtaji kwanini usijiajiri na kuajiri wenzako.
Kuitwa Mheshimiwa nako ni raha
 
Huyu Meku katumwa?

Ama ni kiherehere chake tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…