Uchaguzi 2020 Joseph Selasini, aviangukia vyama kuwasamehe vijana walioshindwa kura za maoni baada ya kuvihama vyama vyao

Ujue nayeye kwenye siasa alifuata ridhiki tu wala siyo wito wa kuwaongoza wananchi kwenye maendeleo.
Yaani Selasini anaamini bila siasa vijana watakufa njaa.
 
Kwi kwi kwi kwi naona unafurahia kuwachiwa kazi ya kufanya usafi hapo lumumba [emoji23][emoji23]
Nipo safirini beirut wacha nikuchekie zawadi yeyote nikikwambia uchague utanitia aibu kama kipindi kile brunei mtu utaagizaje koti la mvua na bips
 
Ukiwa mwanasiasa mtaji wako ni kupendwa na watu na sio dola au mtawala.
Awakujiuliza ni Nani amewahi toka upinzani akang'ara ndani ya ccm, si kaburu, Lamwai, Mpendazoe, Lamwai ukienda ccm Ni lzm ufe kisiasa.
Usipoaminika upinzani huwezi aminika ukienda ccm
 
Hao waliwahi siti za mbele kwa kudanganywa eti upinzani utakufa na Hakuna atakayerudi bungeni hivo wakawahi kubebwa. Kumbe wamekufa wao kisiasa
 
Haswaaa ndiyo target yake na sasa wasaliti woote walio pigwa za shingo kwenye teuzi za ndani ya ccm watakimbilia huko NCCR
Naona anatuandaa kuwapokea vijana hao kama wagombea ubunge kupitia nccr
 
Ila nimeamini Freeman Mbowe ni jabali la siasa hapa Tanzania. Pamoja na kumtusi kote sasa wanampigia magoti hadharani.
 
Ila nimeamini Freeman Mbowe ni jabali la siasa hapa Tanzania. Pamoja na kumtusi kote sasa wanampigia magoti hadharani.View attachment 1530030
Nawaonea huruma wale viti maalumu walioandikiwa barua na kuhamia nccr huku wakitusi ,mbatia kawa mkiwa baada ya kuona kasimamishiwa wabunge pote
 
Waunga juhudi watamlaani jiwe maisha yao yote kawauza. Waendelee kuunga juhudi.
 
Huyu mzee vip? Kwani huko walikohamia hakuna vijana? Wapambane....na hilo liwe funzo la kupenda hela za muda mfupi kwa hawa vijana
 
Vijana wa CCM wakazieni ...hakuna mbeleko wakati nyie ndiyo mnakesha kukijenga chama wao wanakuja na mafungu yao mfukoni wanataka tena...mshawapa za uso safi sana...
 
Kama namuona Lijualikali anavyo jipanga kwenda kujiunga na NCCR-MAGEUZI
Vijana wa CCM wakazieni ...hakuna mbeleko wakati nyie ndiyo mnakesha kukijenga chama wao wanakuja na mafungu yao mfukoni wanataka tena...mshawapa za uso safi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…