johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeimisi dudu yake, mpelekee hicho kitumbua akakisasambue.Kwan dikteta wenu yule anayeteketezwa kwa moto uko jehanamu alivutia nini zaidi tu ya kufanya uharamia kt uchaguzi.
Na nikutaharifu tu leo uko jehenamu ni zamu ya kuunguzwa kadudu kake mbwa pia muuaji mkubwa yule
LIPUMBA NI mchaga wa wapi?Mbona viingozi wa upinzani na wachagga tu nchi hii kasoro zitto na rungwe
Mtu anapata mtaji 500M, Sisi huku tunatafuta 5m benki Kwa riba kubwa ajabu!Hawa wafanya biashara wamegundua kuwa fursa ziko kwenye Siasa hivyo wanacheza humo humo!!!
Muasisi wake mkuu ni ccm ila kuna siku itakuja kuwarudiHii mbinu ya migogoro wanaitumia Sana, Naona inawalipa
Acha kumuhusisha mwenyekit na hayo manunuzi...ENDELEA kula penshen,pesa imeongezeka ya kulea wajukuu wetu...Watu wanapodai vyama vya Upinzani bill kibiashara zaidi huwa wako sahihi.
Hebu fikiria wabunge wa Chadema walivyohamia kwa kasi CCM.wakati.wa Dr Bashiru ni lazima mwenyekiti wa Chadema alihusika.
Hata hawa akina Halima Mdee na wenzake inawezekana kabisa Ilikuwa ni business
Hongera sana Baba Paroko kea kuweka ukweli mchungu hadharani.
Muhuni tu,wala hajazaliwa hivyo anajifanya DEFAO ili ale Mbususu kimasihara.
Kuna AAFP, kuna ADC, kuna ADA Tadea, kuna CUF, kuna UPDP, kuna UDP, kuna DP, kuna NRA n.k vyote sio WachagaMbona viingozi wa upinzani na wachagga tu nchi hii kasoro zitto na rungwe
Hata hivyo alichoongea sio kweliAcha ukabila wewe, kwanini mnakua na hasira na wachagga kiasi hiki? Kwani wao sio waTanzania? Mtu kapigiwa kura na mikoa yote kwani hawakujua ni Mchagga?
Mie kabila la Mama Samia au Majaliwa hata silifahamu na hainihusu maana Halina msaada wowote kwenye utendaji wa mtu, sasa why bother na kabila la Mbatia au Lipumba?
kabisaHuwa nashangaa sana wanacdm wakimtetea Mbatia kwenye hili balaa analokutana nalo sasa. Kwa kiwango kikubwa alitumika na Magufuli kupunguza nguvu ya upinzani. Na kwa kiwango kikubwa alitumika kuihujumu cdm yeye na Lipumba. Hili tulilieza wazi na ushahidi wa matendo yake ulikuwa wazi. Wafuasi wa CDM wanatakiwa wamuache Mbatia ashinde mechi zake.
Alimshinda mbona? ππPamoja na kuandika yote haya lakini ukweli ni kwamba ilikuwa ni ndoto Lissu kumshinda Magufuli kabisa hili jambo ni lazima sote tukubaliane japo ni gumu sana
Mwenyewe niliwaza hivyo ila tatizo ni kuwa huu uhuni wa msajili ukiachwa hivi hakuna chama ambacho kipo salama, labda CCM pekeeHuwa nashangaa sana wanacdm wakimtetea Mbatia kwenye hili balaa analokutana nalo sasa. Kwa kiwango kikubwa alitumika na Magufuli kupunguza nguvu ya upinzani. Na kwa kiwango kikubwa alitumika kuihujumu cdm yeye na Lipumba. Hili tulilieza wazi na ushahidi wa matendo yake ulikuwa wazi. Wafuasi wa CDM wanatakiwa wamuache Mbatia ashinde mechi zake.
Hakuna anayekataa kwamba angeshinda ila ukishapora uchaguzi hakuna atakayeamini hayo. Mfano kata yetu hatukupiga kura ya diwani au mbunge sababu walipita bila kupingwa so hatukushuhudia kampeni yoyote.Pamoja na kuandika yote haya lakini ukweli ni kwamba ilikuwa ni ndoto Lissu kumshinda Magufuli kabisa hili jambo ni lazima sote tukubaliane japo ni gumu sana
Sasa hivi si kabaki π fuvu tuu?Umeimisi dudu yake, mpelekee hicho kitumbua akakisasambue.
hapa kinachoonekana walipopelekwa na Mbatia kwa Bashiru walikubaliana ila Mbatia akakabidhiwa mzigo but hajatoa gawio . Kwahiyo na wao wanamwaga ugali .Kwamba inawezekana kweli Mbatia alienda na kina Komu kwa Bashiru ndio maana Mbatia akaonekana akifanya mikutano nje ya eneo lake kwa uhuru bila kusumbuliwa na polisi, naamini hii ilikuwa ni ruhusa aliyopewa toka juu, akaenda mpaka Mbeya.
Huyu Selasini hapa ana hoja ya msingi hasa nikiunganisha na matukio yaliyopita, lakini nae kwanini hakuyasema haya wakati ule? atuambie waliahidiwa nini mpaka wakakaa kimya? nadhani aliambiwa atapewa ubunge ndio maana, hivyo hii hoja yake kwa wakati huu inakosa uzito.
Fursa ipi?Meko alihangaika kutembeza blank cheque ili Chadema wajiandikie bei yao na wakachomoa, wangetaka si wangeshalamba, waliofika bei ndio hao wako huko chama chakavu, Unafikiri mpaka alipoamua kutumia bunduki alipenda?Hata mbowe alisaidia sana CCM 2015 kwa kumleta Lowassa fisadi na kutupa wapambanaji.Wapinzani wote njaa tupu ukiona mtu anapiga kelele jua hajapata furusa.