ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Watia huruma weye kwa kuishiwa na kulazimika kuokoteza cha kusemamara mia huyu kuliko yule alierushiwa mawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watia huruma weye kwa kuishiwa na kulazimika kuokoteza cha kusemamara mia huyu kuliko yule alierushiwa mawe
Watia huruma weye kwa kuishiwa na kulazimika kuokoteza cha kusema
Polisiii
Hii ni tsunami.....huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono. Wamefurika kweli kweli.Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725
Pension ya ubunge uliyoipata Sasa naona unaichezea,ulibebwa 2015 na upepo wa Lowasa Sasa umenisahau.poleAliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725
Naona hadi maafandeAliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725
Mpaka uchaguzi ufike, mtaona rangi zote za kwenye upinde.Sasa mbona picha ni kama wanapita mitaani kutangaza!
Bado hajazinduaTuwekee na picha za mgombea wa Chadema tulinganishe!
Fisiemu kazini. Hata huyo selasini alisema hivi kaenda huko kwenye sera kaambulia kusikilizwa na watoto wa darasa la tatu A