stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi leo bado mnawanunua ,mnachezea hela za walipa kodi ,mnatakiwa mkamatweratiba hii apa
View attachment 1557827
Nasi watanzania wenye mapenzi mema tunaomba kujua wapi 1.5 trillion?Tunaomba mtupe mapato na matumizi ya sadaka zetu mnazotozea kwenye mandoo meupe ya Lita 20.
Yaaaaniii hatuwaelewiiii, hatamkitoa matusi kwa kiasi ganiiii.
Kwanza mtuambie nani mtunza hazina wazile sadakaaa?
Kipindi hiki zitawatokea puaniii
Dawa ya wasaliti ,nasikia Yuda Iskarioti aliishia kujinyonga.
Hiiiii kiki ilshabumaa siku nyingiiiii, atajamaa yenu haitajiii tenaaa.Nasi watanzania wenye mapenzi mema tunaomba kujua wapi 1.5 trillion?
Tatizo siyo kutajwa, kinachotakiwa ni tujulishwe mliitumia vipi? Yaani ukimya wa watanzania ndiyo mfanye kuhalalisha maovu yenu?Hiiiii kiki ilshabumaa siku nyingiiiii, atajamaa yenu haitajiii tenaaa.
Tujadiliiii utozaji wa sadaka za kikumiii kwaanzaaaa.
Hakuna ofisi wala taasisi walakikundi kilichoibiwa hiyo trioni moja nanuuu. Ilikuwa kiki ya kiisiasa kati ya zito na yulee jaaa wakuhesabu kipindikilee
Kwani kunaofisi inayolalamikiwa kupoteza hiyo fedha?Tatizo siyo kutajwa, kinachotakiwa ni tujulishwe mliitumia vipi? Yaani ukimya wa watanzania ndiyo mfanye kuhalalisha maovu yenu?
PolisiiiAliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725
PolisiiiAliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725
Kumbe upo kibishi zaidi, ok endelea na ubishi wako maana naona napoteza mudaH
Kwani kunaofisi inayolalamikiwa kupoteza hiyo fedha?
Sisi tunataka mapatona matumizi ambayooo jamaaa yenu anatoza sadaka kwenye ndoooo nyeupe za Rita 20
Hadi leo bado mnawanunua ,mnachezea hela za walipa kodi ,mnatakiwa mkamatwe
Hadi leo bado mnawanunua ,mnachezea hela za walipa kodi ,mnatakiwa mkamatwe
Kila kiki yenu hapa inabumaaaKumbe upo kibishi zaidi, ok endelea na ubishi wako maana naona napoteza muda