Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Sijui ratiba zenu za uchomaji zimekaaje

ratiba hii apa
1599162665864.png
 
Tunaomba mtupe mapato na matumizi ya sadaka zetu mnazotozea kwenye mandoo meupe ya Lita 20.
Yaaaaniii hatuwaelewiiii, hatamkitoa matusi kwa kiasi ganiiii.
Kwanza mtuambie nani mtunza hazina wazile sadakaaa?
Kipindi hiki zitawatokea puaniii
Nasi watanzania wenye mapenzi mema tunaomba kujua wapi 1.5 trillion?
 
Nasi watanzania wenye mapenzi mema tunaomba kujua wapi 1.5 trillion?
Hiiiii kiki ilshabumaa siku nyingiiiii, atajamaa yenu haitajiii tenaaa.

Tujadiliiii utozaji wa sadaka za kikumiii kwaanzaaaa.
Hakuna ofisi wala taasisi walakikundi kilichoibiwa hiyo trioni moja nanuuu. Ilikuwa kiki ya kiisiasa kati ya zito na yulee jaaa wakuhesabu kipindikilee
 
Hiiiii kiki ilshabumaa siku nyingiiiii, atajamaa yenu haitajiii tenaaa.

Tujadiliiii utozaji wa sadaka za kikumiii kwaanzaaaa.
Hakuna ofisi wala taasisi walakikundi kilichoibiwa hiyo trioni moja nanuuu. Ilikuwa kiki ya kiisiasa kati ya zito na yulee jaaa wakuhesabu kipindikilee
Tatizo siyo kutajwa, kinachotakiwa ni tujulishwe mliitumia vipi? Yaani ukimya wa watanzania ndiyo mfanye kuhalalisha maovu yenu?
 
Mmawia na unaweza kukuta hawa Wote ( Nyomi lote ) hili tunaloliona hapa ni wana 'Ukoo' wake Watupu ' tu aliowaahidi' Pilau na Gongo baadae.
 
H
Tatizo siyo kutajwa, kinachotakiwa ni tujulishwe mliitumia vipi? Yaani ukimya wa watanzania ndiyo mfanye kuhalalisha maovu yenu?
Kwani kunaofisi inayolalamikiwa kupoteza hiyo fedha?

Sisi tunataka mapatona matumizi ambayooo jamaaa yenu anatoza sadaka kwenye ndoooo nyeupe za Rita 20
 
H

Kwani kunaofisi inayolalamikiwa kupoteza hiyo fedha?

Sisi tunataka mapatona matumizi ambayooo jamaaa yenu anatoza sadaka kwenye ndoooo nyeupe za Rita 20
Kumbe upo kibishi zaidi, ok endelea na ubishi wako maana naona napoteza muda
 
Hadi leo bado mnawanunua ,mnachezea hela za walipa kodi ,mnatakiwa mkamatwe

jinsi gna chama chepesi sana icho, chama kina laaana mpaka mwanzilishi wa chadema anamkana lissu, daah kazi mnayo
 
Hadi leo bado mnawanunua ,mnachezea hela za walipa kodi ,mnatakiwa mkamatwe

kwenu nyie polisi wabaya, nec wabaya, media wabaya, hata mwanzilishi wa chadema mbaya!! daah
 
Naona mafuriko hapo,Daah siasa inaweza kukuchosha ukakomiti susaidi kabisa
 
Back
Top Bottom