Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

sasa kuna mropokaji kama lissu? yaani nyie hadi wanachama wenu wenyewe mnaowaona wabaya sasa mtaishi na nan? mahakama wabaya, polisi wabaya, nec wabaya, wanachama wenu wenyewe wabaya sasa mnataka kuishi vp
Huyo futuhi ni shida ni comedy joti cha mtoto
 
sasa kuna mropokaji kama lissu? yaani nyie hadi wanachama wenu wenyewe mnaowaona wabaya sasa mtaishi na nan? mahakama wabaya, polisi wabaya, nec wabaya, wanachama wenu wenyewe wabaya sasa mnataka kuishi vp
Tuachie uzi wetu nenda kwenye nyuzi za. johnthebaptist.
 
NCCR chama kikuu Cha upinzani!!!! Hehehe, huhuhu! Hihihihi, hhohohoho.hjvxfhnxgjjzeyikbcfjk
 
huyo kikaragosi wenu amekoswa mawe kilimanjaro, wataharibu huo mguu uishe kabisa
Ndo anaowafanya msilale hadi mnawabeba watu kutoka mikoa mbali mbali na fuso kama mpunga halafu hamwarudishi mkiwatumia ,vipi kesho matrekta na fuso ngapi zitasomba watu
 
Nimecheka sa..........................................................ana. Naona watu wamemchoka.
 
Kumbuka alikuwa mbunge wa jimbo la Rombo kwa tiketi ya CDM akaunga mkonop juhudi za JPM na huondoka kabisa CDM na kujiunga na NCCR - Mageuzi waliomteua kuwa mgombea wao Rombo. Hiyo nyomi ni kwenye jimbo lake mwenyewe.
 
Kumbuka alikuwa mbunge wa jimbo la Rombo kwa tiketi ya CDM akaunga mkonop juhudi za JPM na huondoka kabisa CDM na kujiunga na NCCR - Mageuzi waliomteua kuwa mgombea wao Rombo. Hiyo nyomi ni kwenye jimbo lake mwenyewe.
Duu bora angebaki kule kule avumilie tuu sasa anakosa ugali kabisa
 
Back
Top Bottom